mbeya

  1. Mbeya: Mtu mmoja auawa kwa kukatwa na panga wakigombea goli lilokataliwa uwanjani

    Anyulise Mwamkisu (49) ameuawa kwa kukatwa na mapanga, katika uwanja wa mpira wa miguu wa Kijiji cha Mofwile Halmashauri ya Wilaya ya Kyela, Mkoa wa Mbeya, kulikokuwa na Ligi ya mpira kati ya Nyuki FC na Mofwile FC na kuibuka kwa vurugu baada ya timu moja kushinda goli na kukataliwa, hali...
  2. A

    DOKEZO Mbeya Vijijini kata ya Iwiji umeme unakatika mara kwa mara, mafundi wakija kutengeneza wanadai malipo kutoka kwa wananchi

    Mkoa wa Mbeya, wilaya ya Mbeya Vijijini, kata ya Iwiji baadhi ya vitongoji tuna tuna umeme wa REA, ambao umekuwa kero kubwa kwetu kwani hukatika mara kwa mara. Muda mwingine hata ndani ya dakika 5 unaweza kata na kurudi mara mbili, bila kuambiwa chanzo ni nini. Pia inapotokea kuna shida...
  3. A

    KERO Mamlaka ya Maji Mbeya wanazidisha dawa ya kutibu maji na kupelekea yapoteze ladha

    Idara ya maji mkoani mbeya wanaweka kiasi kikubwa cha madawa water guard hadi maji yanapoteza ladha lakini yanaleta madhara ya kiafya kwa watu maana wanaweka muda huo huo na kutumika. Ukinywa maji hutamani kunywa tena. Wizara ya Maji
  4. Mbeya: Kata iliyokosa Shule, Serikali yaanza ujenzi haraka

    Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera amekagua Ujenzi wa Shule Tarajali ya Sekondari iliyoko Kata ya Kawetele Halimashauri ya Wilaya ya Rungwe na kuwataka Wananchi kuwa Wasimamizi na Walinzi wa Vifaa vya Ujenzi na Kwa wale wasio waaminifu kuacha mara Moja tabia ya Wizi kwa kuwa kufanya Kwao...
  5. B

    Barabara ya Tabora kwenda Mbeya Kuna lami?

    Natoka Mwanza kwenda Mbeya, Kwa private drive. Wenyeji wa njia ya Tabora kwenda Mbeya Kuna lami? Wanafamilia msaada kwenye tuta.
  6. Mbeya: Viongozi walioshinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa warudisha fadhila kwa wananchi

    Wakuu, Viongozi wa mtaa wa Masewe na Ilemi kutoka mkoani Mbeya,Patrick Mwashuma na Lupakisyo Mwasasu, wamefanya hafla ya kuwashukuru wananchi wa kata hizo kwa kuwapigia kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, uliofanyika Novovemba 27.2024. Katika hafla hiyo iliyofanyika leo kwenye viwanja...
  7. Njombe: Amuua mwanamke kwa kumtoa utumbo kwa kuingiza mkono wake njia ya haja kubwa kisa Kukataliwa Kimapenzi

    Bwana Baltazar wa Njombe amemtoa mwanamke utumbo Kwa kuingiza mkono wake kwenye haja kubwa kisa kunyinwa papuchi. Haijaeleweka kama marehemu alikula hela zake au laa ila Polisi wamemtia nguvuni Kwa mahojiano zaidi. -- Polisi mkoani Njombe inamshikilia Baltazari Sonyonda (33) mkazi wa Kijiji...
  8. Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti

    Wakuu, Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM?? ==== Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe ana nguvu za kukitumikia chama hicho. Akizungumza na...
  9. M

    Hata kama Dkt. Tulia unakubalika Mbeya lazima uambiwe ukweli. Kipindupindu Mbeya ni ukosefu mkubwa wa maji

    Mbeya shida ya maji ni kubwa kuliko wanasiasa wanavyojua. Labda Kipindupindu ndiyo kitawaumbua. Pamoja na miradi mikubwa Mbunge Tulia ameileta Mbeya ukweli mradi wa maji umechelewa. Watu watakuwa wamekufa na Kipindupindu. Suala la Kipindupindu Mbeya halihitaji utafiti. Jibu liko wazi Mbeya...
  10. Wagonjwa wa Kipindupindu wafikia 22 Mbeya, na Serikali imepiga kimya!

    Wagonjwa wa Kipindupindu Wafikia 22 Mbeya: Mamalishe na Vilabu vya Pombe Hatarini Katika mji wa Mbeya, Tanzania, hali ya afya imekuwa ya wasiwasi kufuatia ripoti za wagonjwa 22 walioathirika na kipindupindu. Ugonjwa huu, unaosababishwa na bakteria wa Vibrio cholerae, unenea kwa urahisi kupitia...
  11. Wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini,wazidi wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya.

    Uhamiaji na Changamoto za Kijamii Wilaya ya Chunya Katika kipindi hiki, tumeweza kushuhudia mabadiliko makubwa katika hali ya uhamiaji nchini Tanzania, hasa katika maeneo ya vijijini kama Kijiji cha Itumbi, Kata ya Matundasi, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya. Katika muktadha huu, ni muhimu...
  12. Mbeya: Mlima Kawetere bado ni hatari, kwa wananchi

    Mlima Kawetere uliopo kata ya Itezi jijini Mbeya , uliomeguka April 14 ,2024 na kusababisha maafa ambapo nyumba zaidi ya ishirini ,shule , mifugo na mashamba yalifukiwa na tope, umebainika kuwa mlima huo bado ni hatari, kutokana na shughuli za kibinadamu zinazoendelea katika mlima huo, hali...
  13. Dah! Kweli Mbeya mmetisha sana

    Kweli wahenga walikua sahihi waliposema tembea ili uone mengi, yahani mimi na ukubwa wangu huu nilikua sijui Kama uji ni juice ya mahindi mpaka nilipofika MBEYA. Kweli wanyakyusa mmetisha sana kumbe uji ni juice.
  14. KERO Wakazi wa Kijombe, Wilaya ya Wanging'ombe (Njombe), kwenye huduma ya maji tunaisikia kwenye bomba

    Ukosefu wa maji safi na salama kwa sisi Wakazi wa Kata ya Kijombe, Wilayani Wanging'ombe imekuwa kero kubwa sana kwetu. Kuna kipindi unapita mwezi mzima maji hayajatoka Bombani, hivyo tunalazimika kwenda kuchota wenye madimbwi huko mabondeni. Hii kero haijaanza leo, ni ya muda mrefu sana...
  15. DOKEZO Halmashauri Mbeya imetuuzia maeneo yenye Mwekezaji anayehatarisha afya zetu kwa kutumia baruti

    Mimi kama mkazi wa Jiji la Mbeya kuna kitu sikielewi kutoka kwa Viongozi wa Jiji hasa Idara ya Ardhi na Watu wa Mazingira wa NEMC. Huku Mbeya katika Kata ya Nsalaga, Bonde la Uyole, Uongozi wa Halmashauri ulianzisha mradi wa viwanja vipya na kuhamasisha sana Wananchi wajitokeze kununua viwanja...
  16. KERO Inamaana haya mashimo ya kwenye Barabara ya Kyela (Mbeya) mmegoma kuyafukia au mmeamua tu kuyapotezea?

    Hivi ni TANROADS inamaana haya mashimo kwenye hii Barabara ya Kyela kuelekea Junction hamuyaoni au ni ujeuri tu? Hii Barabara imekuwa kero kubwa sana kwa sisi watumiaji maana ina mashimo Hadi basi, kila siku magari yana pasua vioo pamoja na kuvunja vipuri. Kibaya zaidi naye Mbunge wetu...
  17. A

    KERO Mbeya: Kuna usumbufu mkubwa Barabara ya Ilomba - Isyesye - Relini baada ya Mkandarasi kutelekeza mradi

    Ujenzi wa Kalavati umetelekezwa, Mkandarasi alianzaje kukata barabara wakati hayuko tayari kujenga? Mamlaka husika TARURA iko wapi? Wananchi tunateseka sana tunaoipita barabara hii kuelekea nyumbani hasa msimu huu wa mvua. Kalavati hilo lipo jirani kabisa na Kituo cha Radio Ushindi FM. Mamlaka...
  18. Mbeya: Abiria washushwa kwenye mabasi na kurudishiwa nauli zao kisa mabasi kubeba abiria kuzidi uwezo

    Zaidi ya abiria 20 wameshushwa na kisha kurudishiwa nauli zao kutoka kwenye mabasi mawili tofauti yanayofanya safari ya masafa marefu kupitia mkoani Mbeya baada ya mabasi hayo kukaguliwa na kubainika yamezidisha abiria kinyume cha sheria. Abiria hao wameshushwa baada ya kikosi cha usalama...
  19. KERO Mbeya: Kabwe hapafai kuwa Soko Jioni, ni pachafu kupindukia, tunakaribisha Kipindupindu

    Hivi ni nani alitoa wazo la kupafanya Stendi ya Daladala ya Kabwe kila ikifika jioni kupageuza Soko? Moja hili eneo ni chafu kupita maelezo na Wafanyabiashara wamejianzishia Dampo hapohapo. Yaani huku taka zimejaa lakini pembeni yake unaona mama anaendelea na kuuza Samaki, Matunda, Mboga Mboga...
  20. L

    UVCCM yalaani Vikali Mauaji ya Michael Kalinga Mohammed Kawaida kwenda Mkoani Mbeya Kushiriki Mazishi yake hapo kesho

    Ndugu zangu Watanzania, Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga. Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…