mbeya

  1. A

    KERO Magari ya Matangazo Mbeya Jiji hayazingatii Usiku wala Mchana, imekuwa kero sasa

    Leo Jumatatu tarehe 2 Dec 2024, muda huu ni saa tatu na dakika 45 usiku Mitaa ya Forest Mpya kwa Mwamnyange kuna gari la matangazo linatoa tangazo kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji kuhusu mauzo ya Viwanja maeneo ya Nsalaga. Jamani tumekuwa tukilalamikia hizi kero za haya magari ya matangazo...
  2. Cute Wife

    LGE2024 CHAUMMA yapata ushindi wa kiti 1 kati ya viti 181 Mbeya na kuwa chama pekee cha upinzani kilichopata ushindi mkoani humo

    Wakuu, CHADEMA, ACT hola? Wagombea walienguliwa wote au nini kimetokea? CHAUMA upinzani anashinda anamshukuru Rais Samia kwa kushinda? CCM safari hii mmetisher!:KEKLaugh::BearLaugh::BearLaugh: ===== Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimefanikiwa kupata ushindi katika nafasi ya...
  3. gcmmedia

    KERO Mbeya jiji: Kuna Watu wanaotishia waendesha bajaji, hawafanywi chochote na yeyote eneo la geti la Pili kwenye bandari kavu

    Kuna kundi la watu wapo eneo la Geti la Pili kwenye bandari kavu jijini Mbeya, mbele kidogo ya Iyunga unapoelekea Mbalizi. Watu hawa hukamata bajaji mchana kweupe wakiwa na marungu kuzuia bajaji zisiende uelekeo wa Mbalizi. Cha kushangaza, hata kama umekodi bajaji hawa watu hawataki hilo...
  4. The Watchman

    LGE2024 Mbeya: Mgombea CHADEMA akataa matokeo ya uchaguzi asema anakwenda kufungua kesi Mahakamani

    Mgombea Uenyekiti wa Mtaa wa Mtoni, Kata ya Ruanda, jijini Mbeya kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Elisha Chonya, ameyakataa matokeo akidai kanuni zilivunjwa huku msimamizi wa uchaguzi Bi. Winifrida Stanley akitangaza matokeo ambapo Bilali Gembe wa Chama cha Mapinduzi...
  5. Suley2019

    Mbeya: Watu watatu Wafariki na wengine tisa wajeruhiwa katika ajali ya gari na bajaji

    Watu kadhaa ambao idadi na majina yao hayajajulikana wanahofiwa kufariki dunia baada ya ajali iliyohusisha magari matano, bajaji nne na pikipiki moja eneo la Mbembela jijini Mbeya. Ajali hiyo imetokea leo Novemba 27, 2024 ambapo mpaka sasa vyombo vya ulinzi na usalama na uokozi tayari vimefika...
  6. Mindyou

    LGE2024 Mbeya: Mkurugenzi adaiwa kusitisha Uchaguzi eneo la Ubaruku bila taarifa yoyote

    Wakuu, Sarakasi za Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa zinaendelea huko Mbeya mambo yameanza kuchanganya! Zoezi la upigaji kura katika kata ya Ubaruku limesitishwa kwa maelezo kutoka kwa Mkurugenzi. Hadi kufikia saa tatu asubuhi, hakuna taarifa rasmi au maelezo ya kina yaliyotolewa kuhusu sababu ya...
  7. The Watchman

    Mbeya: Mwashambwa na Mwakilasa washikiliwa na Jeshi la polisi kwa kumpiga hadi kumuua mtoto wa miaka minne

    Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mbeya Linawashikilia Watuhumiwa Wawili Ambao Ni Ramadhan Tembo Mwakilasa (28) Na Mariamu Charles Mwashambwa (28) Wote Wakazi Wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya Kwa Tuhuma Za Mauaji Ya Mtoto Wao Chloy Ramadhan (04). Kwa Mujibu Wa Kamanda Wa Polisi Mkoani Mbeya Benjamini...
  8. Mindyou

    LGE2024 Mbeya: Viongozi wa dini wahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura

    Wakuu, Viongozi wa dini mkoani Mbeya wamewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye upigaji kura, wasisitizaumuhimu wa kushiriki kikamilifu katika maamuzi ya kidemokrasia. Soma pia: Uchaguzi Serikali za Mitaa, Tunawapongeze Viongozi wa Dini Wanaokemea Udhalimu.
  9. Mindyou

    LGE2024 Mbeya: Mgombea wa CHADEMA aahidi kutatua changamoto ya barabara eneo la Mashujaa. Atupa dongo hili kwa viongozi wa sasa!

    Wanabodi, Hivi CCM wanaposema wameleta maendeleo huwa wanaamanisha nini? Huyu mgombea wa CHADEMA kaonesha kabisa kuwa kuna ubovu mkubwawa barabara huko eneo la Mashujaa mjini Mbeya. Hawa CCM wanaposema wanaleta maendeleo ni maendeleo gani huwa wanasema wameleta...
  10. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Mbeya: Picha Katibu Mwenezi CHADEMA wa Kata ya Iganjo akiwaombe kura wagombea kwa namna yake

    Ukitazama hii picha kiongozi huyu ameonyesha hisia na hamasa kubwa katika kuhakikisha anatimiza majukumu yake bila kujali hali aliyokuwa nayo. Nyie! kuna watu wanavipenda vyama vyao katika kila mazingira. ============== Katibu Mwenezi wa Kata ya Iganjo, mkoani Mbeya, Muhamed Mwanitwe akiwanadi...
  11. Orketeemi

    Katoro Vs Uyole Mbeya

    Wakuu naileta kwenu miji hii miwili ili kusaidia vijana watafutaji kuifaham vizuri. Uyole ni mji ambao ni sehemu ya jiji la Mbeya Katoro ni mji ambao ni sehem ya halmashaur ya Geita Dc. Je Kibiashara Mzunguko wa pesa Vibe na starehe kiujumla Wapi NI zaidi?
  12. figganigga

    LGE2024 Freeman Mbowe akinukisha Uyole Mbeya Serikali za Mitaa. Kumbe CHADEMA ina Watu

    Mkutano wa kwanza leo Novemba 24, 2024 kwa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mbowe uliofanyika asubuhi leo Uyole, Mbeya. Mwenyekiti ameambatana na mwenyeji wake mwenyekiti wa Kanda Mhe. Sugu, pamoja na viongozi wengine.
  13. Mindyou

    LGE2024 Kada wa CCM Mbeya: Ukivamia mikutano ya CCM umekubaliana na kuumia au kufa, tanapotafuta nafasi roho zetu zinabadilika

    Wakuu, Haya si maneno yangu ni maneno ya kada wa CCM huko Mbeya akiwa anaongea na wananchi kwenye kampeni. Akiongea kwenye kampeni kada huyu amesema kuwa alipata taarifa kuwa kuna kuna vijana wa vyama pinzani walikuwa wamepanga kuvamia mikutano ya CCM na hivyo iwapo vijana hao watavamia...
  14. Hismastersvoice

    Shule ya Meta Sekondari Mbeya ni mali ya serikali, serikali itueleze CCM waliipataje?

    Shule ya Meta Sekondari ambayo miaka kadhaa kabla ya Uhuru ilijulikana kwa jina la N. A. Middle School, ni moja ya shule za boding'i za wavulana tu na baada ya Uhuru ikajumuisha na wasichana wasiolala shuleni. Mji wa mbeya ulikuwa na shule za tatu kati(middle) tatu, yaani N.A. wavulana, Meta...
  15. figganigga

    LGE2024 Mapokezi ya Mbowe Kijiji cha Ndato, hakika Makao Makuu ya CHADEMA yawe Mbeya. Kumbe Chadema haijafa

    Ndato Rungwe imesimama, mapokezi ya mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe. Ni mwendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Serikali za Mitaa mkoa wa Mbeya Kuengua Wagombea, kumewakosesha fursa ya kuchangamana na kubadilishana mawazo kwa Wananchi. Mikutano kama hii inaleta furaha na umoja kwa wananchi...
  16. Mwanongwa

    LGE2024 Jeshi la Polisi Mbeya latoa mafunzo kwa Waandishi wa Habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 nchini, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendesha mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo Waandishi wa Habari mkoani humo kuhusu masuala ya uchaguzi. Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo hayo Novemba 23, 2024...
  17. figganigga

    LGE2024 Freeman Mbowe afanya Mkutano Kata ya Kyela, Mbeya baada ya kutoka Korokoroni

    Mkutano wa asubuhi leo Novemba 23, 2024 uliofanyika katika Kijiji cha Ipinda, Kata ya Kyela, Mbeya na kuhutubiwa na mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe Pia, soma: LGE2024 - Songwe: Viongozi wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti Usiku
  18. Mwanongwa

    Mbeya: Soko la Mwanjelwa lageuka Parking ya magari

    Hivi Kwa gharama za zaidi ya Bilioni 16 zilizotumika kujenga Soko la Mwanjelwa ndiyo tumeamua kuligeuza Parking ya magari? Licha ya gharama kubwa zilizotumika kulijenga Soko hilo lakini limeshindwa kabisa kuwavutia wafanyabiashara kuhamia hapo au kuanzisha biashara hapo. Mwanzo sababu ilikuwa...
  19. A

    KERO Vodacom wamekuwa na makato yasiyoeleweka kwa mawakala wa mitandao ya kifedha hasa Mbeya

    Vodacom wamekuwa na makato yasiyoeleweka kwa mawakala wa mitandao ya kifedha hasa mkoa wa Mbeya, inapokaribia mwisho wa mwezi wanakata pesa kwenye faida ya wakala ambayo angeipata, ukiwapigia na kuwauliza hawana sababu za msingi zaidi ya kusema kuna miamala feki imefanyika, zaidi ukiwauliza...
  20. Waufukweni

    LGE2024 Mwenyekiti wa CCM Mbeya: Changamoto ya maji inaenda kuisha Jijini Mbeya, tunaleta mradi wa bilioni 117

    Mwenyekiti wa CCM Mbeya amesema changamoto ya maji inaenda kuisha Jijini Mbeya ifikapo mwakani (2025), kutokana na kupelekwa kwa mradi wa zaidi ya TSh. bilioni 117. Ametoa kauli hiyo katika uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Pia, Soma: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya...
Back
Top Bottom