mchango

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Serikali inatambua mchango wa Chuo cha IAA katika kuendeleza Michezo nchini

    Serikali inatambua mchango wa Chuo cha IAA katika kuendeleza Michezo nchini Na Eleuteri Mangi-WUSM, Dodoma Serikali inatambua na kuthamini mchango unaotolewa na Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) katika kuendeleza na kuimarisha sekta ya michezo nchini hatua inayosaidia kutoa ajira kwa vijana na...
  2. KENZY

    Ulichonacho kinatakiwa kiwe mchango kwenye mapenzi yenu

    Wacha niwape somo dogo kwa leo. Kwa mtu unaempenda na kwa mapenzi unayoyapenda. Vipaji vyako,elimu yako,kazi yako,pesa zako,ujuzi wako n.k hivi vyote vinatakiwa kuwa mchango katika mapenzi yako aiti ukiona mtu anatumia vipaji vyake kwaajili ya kukutesea ama kukulingia kaa ukijua huyo ni...
  3. Gotze Giyani

    Kwanini wasomi wengi ni masikini tena waliopo sekta za umma

    Wadau habari za mida naomba mchango wenu wa mawazo kwanini wafanyakazi wengi wa umma ni masikini unakuta mtuu ana bachelors degree ila unakuta anaishia kumiliki nyumba na gari moja tuu ambapo ukiangalia ni vitu vya kawaida sana yani hata hakuna maajabu wanauofanya kama wenzetu ukichukulia...
  4. L

    China yatoa mchango mkubwa katika kupunguza pengo la kidigitali barani Afrika

    Na Fadhili Mpunji Katika miaka ya hivi karibuni sekta ya Tehama imekuwa na maendeleo makubwa katika nchi mbalimbali za Afrika, maendeleo ambayo si kama tu yamekuwa na manufaa kwenye mawasiliano, habari na utangazaji, bali pia yamekuwa na manufaa makubwa kwenye sekta za afya, elimu, biashara na...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Tuache lawama! Kila mtu hupokea kulingana na Mchango wake katika jamii

    Kumekuchwa! Ukitoa Mia utapokea Mia. Ukilima mahindi bila Shaka utavuna mahindi! Maisha ni mfano wa kioo, ukicheka yanacheka ukinuna yananuna! Taikon siku zote atasema ukweli hata Kama unauma, ukweli ni ukweli tuu. Hili la Profesa Jay kuchangiwa limezua minong'ono kwenye jamii, hata hivyo hii...
  6. Countrywide

    Sitamchangia pesa Mwanasiasa yoyote

    Moja ya vitu ambavyo hushangaza kwa sisi watu ambao tupo kwenye ulimwengu wa 3 ni namna tunavyofanya maamuzi. Ukweli usiopingika ni kuwa tunahitaji wanasiasa watuongoze na ndio mfumo upo hivyo na wala sio jambo baya. Siasa katika nchi zetu ni biashara kubwa pengine kuliko zilivyo biashara...
  7. Komeo Lachuma

    Mbunge Mstaafu na Mtu Maarufu anahitaji Mchango wa matibabu, wewe unadhani uta survive vipi?

    Nimejiuliza hili swali sana si kwa nia mbaya. Kwa nia njema kabisa. Prof Jay. Joseph Haule amekuwa Mbunge kwa miaka 5 akilipwa mamimilioni ya pesa. Baada ya kumaliza kipindi chake amelipwa mamilioni mengine ya kiinuna mgongo. Leo ameumwa na kulazwa kwa mwezi mmoja anadai achangiwe. Je yule...
  8. Linguistic

    Jaji Mkuu Kenya, Martha Koome: Mwanaume anayeishi kwenye nyumba inayomilikiwa na mwanamke anahitajika kuthibitisha mchango wake kwenye nyumba hiyo

    Jaji Koome anasema Mwanaume anayeishi kwenye nyumba inayomilikiwa na mwanamke naye anahitajika kuthibitisha mchango wake kwenye nyumba hiyo. Kucheka tu huku ukiwa kwenye nyumba ya mwanamke ukibadilisha chaneli za runinga haiwezi kumpa haki mwanaume kumiliki sehemu ya mali ya mwanamke. Haya...
  9. Aliko Musa

    Njia mbili (2) za kustaafu ukiwa huru kifedha, ajira ina mchango mkubwa kustaafu mapema

    Kustaafu ni kufikia uwezo wa kifedha wa kuweza kufanya chochote utakacho kulingana na kiasi cha utajiri wako. Kwangu mimi kustaafu sio kuacha kufanya kazi (ajira au biashara). Neno kustaafu nimekutumia kwa lengo la kumaanisha kueleza hatua anayofikia mtu ya kifedha. Sina maana uache kufanya...
  10. Nyani Mzee Snr

    Mchango na uzoefu wenu kwenye Discovery 4 5.0L V8 (Mawazo)

    Kuna jamaa mwamba wangu amenipa sugestion ya hii chuma katika kusakanya mkangafu wa kutunishiana misuri rodini huko.. toka jana nimekua na google nacheki youtube kuhusu hii chuma.. Mie ni mpenzi wa sedan ila huku mikoani ambapo nahamia kubaya sana kila siku kuna uwezekano wa kung'oa au bumper...
  11. ndege JOHN

    Kama harusi imehairishwa ni vema nikadai mchango nilioutoa?

    Naombeni ushauri wakuu kama mnavyojua tarehe mbaya hizi hapa nilipo nimenasa haswa Sina hata mia yaani ikitokea ghafla bill ya maji au umeme naaibika maana kila ninayemgusa analia njaanuary kapeleka watoto shule. Back to the topic Kuna group letu la shule kuna jamaa yangu tumemchangia mchango...
  12. B

    Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

    1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze 2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji 3. Jafo Mbunge wa Kisarawe 4. Kipanga Mbunge wa Mafia 5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa...
  13. DullyJr

    Yanga yazindua kadi za kidigitali zitazokuwa zinatumiwa na Wanachama

    Yanga imeingia mkataba wa makubaliano na Kampuni za KILINET na N-Card kwa ajili ya kutengeneza kadi za kidigitali zitazokuwa zinatumiwa na Wanachama wa klabu hiyo ambayo inaingia katika mfumo mpya wa uendeshaji. “Ni kadi ya kisasa ya kidigitali ambayo itakua na jina la Mwanachama na picha yake...
  14. init

    Uchakavu wa noti uliokithiri katika mkoa wa Iringa na Njombe, je Benki kuu inaweza kuwa na mchango kulikabili hili?

    Awali ya yote nipende kumshukuru yeyote atakaye nusa au kuuweka machoni uzi huu. Nime kuwapo katika mikoa tajwa apo juu kwa vipindi tofauti tofauti. Katika vipindi hivyo vyote nimekuwa shuhuda wa tatizo hilo, noti zinazotumika katika mikoa tajwa zina hali mbaya. Kwa tizama yangu sabubu kuu ya...
  15. MIMI BABA YENU

    Mjadala wa Kitaifa juu ya ukuaji wa Sekta ya Madini na mchango wake katika maendeleo ya Wananchi

    Zoom Saturday Watch Tanzania inakualika kushiriki Mkutano wa Zoom utakaofanyika Disemba 18, 2021 (Jumamosi) kuanzia saa 10 kamili hadi 12:30 jioni. Mada: Mjadala wa Kitaifa juu ya ukuaji wa Sekta ya Madini na mchango wake katika maendeleo ya Wananchi Muda ukifika utaweza kujiunga na kushiriki...
  16. S

    Simba wadhamiria kukamilisha uwanja wao, Mo Dewji achangia Bilioni 2

    Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili. Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji. Kwa...
  17. J

    Yaliyojiri katika Clubhouse Session: Miaka 60 ya Uhuru mchango wa Kidijitali

    Katika siku za karibuni mitandao ya kijamii na Mifumo ya Kidijitali imekuwa maeneo muhimu kwa Jamii ya Tanzania kutumia Uhuru wa Kujieleza na kupigania haki zao nyingine Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za...
  18. J

    #COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

    Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof. Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona. Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe. Source: ITV habari ============= Katibu...
  19. karv

    Nini mchango wa serikali katika kuinua mchezo wa mpira wa miguu nchini?

    Habari wana JF leo naomba nizungumze kitu ambacho binafsi kinanikera sana na huwa sikielewagi Kitu chenyewe ni kuhusu muitikio wa serikali katika kuzisapoti timu zetu za taifa hasa mpira wa miguu Kwanza naomba kurudi nyuma kidogo wakati wa utawala wa rais Kikwete aliajiri makocha wa timu za...
  20. Equation x

    Ukiniona nipo kwenye ndoa na sijawahi kukupa kadi ya harusi kwa ajili ya mchango; usiniletee kadi yako ya mchango wa harusi

    Kutokana na ugumu au vipaumbele vya maisha, watu wengi wanajitahidi kupunguza matumizi ya fedha yasiyokuwa ya lazima. Sasa wewe kipato chako hakitoshelezi kufanya sherehe ya harusi kubwa, huku ukitaka sherehe yako ianzie labda milioni 20, wakati wewe kianzio ulichonacho labda milioni 1; hizo...
Back
Top Bottom