mchele

Samuel Mchele Chitalilo (born June 15, 1965) is a former Member of Parliament in the National Assembly of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwachiluwi

    Mkate wa mchele au wakumimina

    Hellow simba pole leo mlikuwa mnakomaa kiume na tumejua kuwa bila marefa hamtoboi 😂 Turudi class Kwanza andaa mchele wako vizuri chambua kama unaweza kuloweka loweka mimi sikuloweka kwasababu nilikuwa na haraka zangu binafsi Hapo nilikuwa nimeweka mchele sukari hamira na irick ya unga...
  2. Dr leader

    Mchele

    Habari wana Jf Wakazi wa magugu, Naomba kufahamu bei ya mchele magugu mashineni Na unapatikana mwingi ?
  3. SAYVILLE

    Kwa nini bado wafanyabiashara wa rejareja wanauza mchele na karanga ambazo hazijachambuliwa?

    Hili swali nimejiuliza kwa muda mrefu sana na sijawahi kupata jibu. Inakuwaje unaenda dukani unakuta muuzaji anauza mchele au karanga ambazo hazijachambuliwa? Inafikirisha sana karne hii na zama hizi bado tunanunua mchele wenye mawe, na kwa kuwa unapimwa ule uchafu nao pia unalipia. Hivi...
  4. C

    Mchele super 2800

    Mchele super kabisa Bei:2800 Location: chamazi jirani na uwanja wa azam complex 0682528220 Delivery ipo
  5. C

    Nauza mchele kwa bei rafiki

    Baada ya kujidunduliza na kujinyima nyima nikapata kamtaji ka kupata nusu tani ya mchele Nauza mchele kwa bei ya 1600 ,1800,2400 na 2800 Flem yangu ipo chamazi jirani na uwanja wa azam complex,pia nafanya delivery kwa wale ambao watakosa muda wa kufika ninapouzia Namba yangu ni 0682528220.
  6. 5523

    BBC: Korea Kaskazini kupata tani 700,000 za mchele kwa kupeleka silaha na wanajeshi Urusi

    Kwenu wadau njaa mbaya: Gazeti la Korea Kusini la Korea Herald linaripoti, likimnukuu balozi wa zamani wa Korea Kusini nchini Urusi, kwamba badala ya usambazaji wa risasi na kutuma wanajeshi kushiriki katika vita vya Urusi na Ukraine, viongozi wa DPRK watapokea kutoka Moscow takribani tani...
  7. aBuwash

    Naomba ushauri kuhusu biashara yangu inakoelekea inaenda kukata roho sio muda

    Habarii wana JF natumai wote mko salama. Mimi ni mfanyabiashara wa mchele hapa Dar es Salaam Nauza jumla na rejareja. Ila nasikitika toka nifungue hiii baishara yangu nimepitia changamoto nying sana mpka leo na nimekuwa mtu ambaye sikatii tamaa nikijipa moyo kwamba ndo napata experience maana...
  8. GENTAMYCINE

    Haya sasa Wakulima wa Mchele Tanzania Kazi Kwenu kwani Wanyarwanda wanavutiwa na Mchele wenu kuliko wa Kwao kutoka Bugarama

    Na hawajaishia tu Kuupenda bali wameenda mbali zaidi na kusema kuwa pia unapatikana kwa Gharama nafuu mno. Chanzo Taarifa: BBC Dira ya Dunia hivi punde tu. Ngoja nami sasa nipate Elimu ya Kilimo kidogo ili nijaribu hili Zao kwani nasikia Mchele wa Tanzania unapendwa EAC.
  9. Dr leader

    Bei za mcheleNzipoje katika maeneo mbalimbali?

    Habari wana jf tupeane machimbo ya mchele wa bei nzuri ya chini Hapa mbeya mjini kuanzia 1200 kuendelea Kwa ubaruku kuanzia 1300 kuendelea Wewe hapo ulipo bei ikoje.
  10. J

    SI KWELI Waandamanaji Nigeria wapewa mchele ili wasitishe maandamano yaliyoanza Agosti 1, 2024

    Nimena video inasambaa mtandaoni ikionesha waandamanaji Nigeria wakisitisha maandamano yao baada ya kupewa mchele. Nadhani kwa Afrika ni Kenya pekee ndiyo vijana wake wanajielewa vizuri kuliko wengine.
  11. Wauzaji wa containers

    Huku Tabora kilo moja ya mchele imefika 800 (mia nane)

    Nitashangaa kusikia MTU analalamika kuhusu njaa wakati mchele umeshuka Sana bei. Nunua chakula cha kutosha uweke ndani itasaidia kuishi vizuri wewe na familia yako. Tuwe Kama wazungu sio kila siku MTU unawaza chakula na kodi tujitahidi kuishi kwa mipango na mikakati ya Muda mrefu.
  12. B

    Kati ya Mpunga na Mchele, kipi kinawahi kuharibika?

    Habari zenu wadau. Naomba kujua tafadhali. Kipi bora kati ya hivi : 1. Ninunue mpunga nikoboe zitoke kilo elfu moja niweke ndani kwa ajili ya matumizi ya familia. Au ninunue mpunga, niweke ndani then niwe nakoboa debe kumi kumi za mpunga kila baada ya miezi miwili au mitatu. Debe moja la...
  13. Wakusolve

    Mchele kutoka Mbeya

    Karibu mchele grade 1 kutoka Mbeya Kwa jumla Debe 45, 000 , 35000 Mawasiliano 0627109582
  14. ndege JOHN

    Kiasi cha mchele kinachopendekezwa ukile

    Hii sio kutoka kwa janabi hii ni kutoka kwa Wataalamu wanasayansi wa mambo ya lishe wanapendekeza Saizi ya kawaida ya mchele kwa watu wazima ni ½ kikombe cha mchele uliopikwa. Size hio ni sawa na ukubwa kama wa chungwa Hivi. mchele mweupe huo unatosha kabisa kutoa nyuzi nyingi zaidi, protini...
  15. Senior masai

    Biashara ya mpunga na mchele

    Napenda kuwasanua vijana na madini haya Mikoa ya shinyanga na wilaya zake pamoja na tabora na wilaya zake baadhi pia umeanza uvunaji wa mpunga tokea mwezi wa4 mwanzoni mpak kuendlea!! Manunuzi ya gunia Moja la mpunga lazidi kushuka sasahv ni 45,000/= 50,000/= na Kuna ule supa mabeyenge una...
  16. Mtemi mpambalioto

    DOKEZO Mchele uliopakwa mafuta na athari kwa afya zetu, Serikali itoe tamko tujue usalama wetu

    Kumeingia wimbi la kuuziwa michele ambayo imepakwa mafuta hasa Dar es saalaam na Pwani, Je serikali kupitia wizara na taasisi zao hawajaliona hili? Je, ni mafuta gani hayo yanapakwa kwenye mchele ikiwa na lengo la kuufanya uonekane mzuri je, ni mafuta ya aina gani? Tunashuhudia kansa...
  17. aBuwash

    Nahitaji mtu aliepo Morogoro, Ifakara anipe ABC za mchele sasa hivi?

    Natumai wote mko sawa humu ndani. Naombeni msaada mtu yeyote au mfanyabiashara yeyote aliyepo Dar anipe maelekezo vizuri kuhusu mchele. 1. Bei zipoje sasa mashineni 2. Je ni kweli muda si mrefu bei zitashuka na zikishuka huwa zinafikia bei gani 3. Usafiri mpka dar kwa kilo mia bei gani na...
  18. Dr leader

    Bei ya mchele ipoje Kahama

    Habari ndugu, Kwa kahama mashine bei ya mchele ikoje huko asaivi Kama kuna ndugu anafanya biashara hapo tuwasiliane i wish kuja huko next week kuona namna mzunguko wa mchele huko ulivyo au kama kuna mtu ana mchele mwingi na mzuri tufanye biashara
  19. U

    Tahadhari ili kuepuka gharama uji wa ulezi huchanganywa na unga wa mchele

    Wadau hamjamboni nyote? Nimeona niwape tahadhari kabla ya kuwatakia usiku mwema Ni kwa wale Ndugu zangu wanaopenda kunywa uji wa ulezi kama mimi hapa. Huu ni utafiti usio na chembe ya uongo kuhusu uji wa ulezi unaouzwa kwa kutembezwa barabarani na Wamama hususani hapa Dar es salaam Inadaiwa...
  20. Suley2019

    SI KWELI Ukihisi harufu ya wali au mchele uwapo porini ni ishara kuwa Chatu yupo karibu

    Habari, Kumekuwa na hoja mtaani inadai kwamba ikitokea upo porini na ukahisi harufu ya wali au mchele unapaswa kuchukua tahadhari kwani ni ishara kuwa chatu yupo karibu na anatoa harufu hiyo kukuvuta. Je, kuna ukweli kuhusu hoja hii? Tunaomba ufafanuzi.
Back
Top Bottom