mchele

Samuel Mchele Chitalilo (born June 15, 1965) is a former Member of Parliament in the National Assembly of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. Petro E. Mselewa

    AFL: Pumba zote zimeshajitenga na mchele

    Kabla ya kuanza mashindano haya, wapo waliohoji vigezo vilivyotumika kuwapata washiriki. Pamoja na kusemwa kuwa washiriki walipatwa kwa kutazama mafanikio ya timu hizo kwa miaka mitano kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika, waliokosoa hawakukosea. Wakosoaji, ambao sasa wameonekana ni wakweli...
  2. stan john

    Mchele wa kyela

    Kwa Nini mchele unaotoka kyela mkoani mbeya una bei kubwa na soko Sana hapa dar Kuna tofauti gani Kati ya mchele wa kyela na mbalali??? Na mchele you in soko Sana hapa dar Kati ya mchele wa kyela na mbalali
  3. stan john

    Naomba kujuzwa bei ya maharage na mchele Kyela na Mbeya

    Habari ,naomba kuuliza bei ya maharage na mchela ni sh ngap kwa debe mwezi huu wa tisa (9) mwaka 2023 Bei mchele wa Kyela na mbalali na bei ya maharage ipoje
  4. Lord denning

    Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

    Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana. Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili...
  5. Dr Akili

    Je, upungufu na kupanda bei ya mchele, mahindi na sasa petroli unatokana na bidhaa hizi kuuzwa Kenya kwa TSH?

    Nchi jirani yetu ya Kenya imekumbwa na matatizo makubwa ya balaa la njaa tangia lock downs za COVID na ukame mfululizo. Pia tangia vita vya Ukraine imekubwa na balaa la upungufu na kupanda sana kwa bidhaa ya mafuta ya petroli na dizeli. Machafuko yanayoendelea sasa nchini Kenya yanatokana...
  6. B

    Naomba kujuzwa kuhusu biashara ya mchele

    Habari wakuu, naombeni ushauri, mawazo na msaada wa kupata soko kwenye biashara ya mchele. Natoa mchele wilaya mpya ya songwe, mchele ni mzuri sana. Aliye na uhitaji nao tufanye biashara wakuu tuinuane. Ahsanteni na Karibuni.
  7. P

    SoC03 Wakulima wa mpunga bonde la Kilombero wanufaika na bei ya mchele

    Wakulima wa mpunga bonde la kilombero wanufaika na kupanda kwa Bei ya mchele ambapo kwa Sasa Bei ya mchele imefika elfu 1800 Hadi elfu 2000 kwa kilo Hata hivyo wakulima wamesema kuwa wanafurahi Sana kupanda kwa Bei ya mchele kwani Bei ya Sasa inautofauti na Bei ya mwanzo kwani mwanzo...
  8. stan john

    Biashara ya mchele na maharage ;

    Habari, Mimi ni mfanyabiashara , nina duka la rejareja( fremu) na store, nipo mabibo Dar Nahitaji kununua Mchele na maharage kutoka mbeya, au tunaweza kufanya makubaliano ya kukuuzia maharage ,mchele n.k dukani kwangu Uaminifu 100% , Njoo DM Namba yangu 0788768480 Piga au tuma meseji. Asanteni
  9. Stephano Mgendanyi

    Waziri Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amewaahidi wafanyabiashara wa soko la Mchele la Magugu mkoani Manyara kufanyia kazi kero ya utozaji wa ushuru

    WAZIRI ASHATU KIJAJI AAHIDI KUTATUA KERO YA UTOZAJI USHURU KWA WAFANYABIASHARA WADOGO MKOA WA MANYARA Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewaahidi wafanyabiashara wa soko la Mchele la Magugu mkoani Manyara kufanyia kazi kero ya utozaji wa ushuru wa Shilingi...
  10. R

    Natafuta wateja wa flakes /chenga au mchele wa plastic

    Habari wadau !! Kwanza nitoe shukrani kwa ushirikiano wenu hatimaye nimetimiza agenda yangu ya kufungua kiwanda cha kuchakat plastics na kazi zimeanza haraka sana ila nimepata pigo kwenye swala la kuuza hizi flakes nina tani 10 za flakes nimeenda tazata pale wameniambia kwa sasa hwanunui...
  11. Crocodiletooth

    Aliotuingizia mchele-kande kwa kibali cha kutuletea mchele alaaniwe!

    Upo mchele ambao umeingia katika soko la nchi yetu ni msafi kweli lakini kwa hakika huu sidhani kama ni mchele maana hauna ladha, haukolei mafuta, unaumiza tumbo,mnaopewa tenda za vyakula ndugu zanguni muwe mnaangalia vitu vya kuwaletea Tanzania, sijui wengine mmewahi kudadisi hili? (kuna baadhi...
  12. Binadamu Mtakatifu

    Watu wengi wanasema "Mchele wa Mama" ni mbaya na unalenga kuua soko la mchele wa ndani

    Mliwahi kula huu mchele? Wanawake wengi wanasema mchele huu ni mbaya. Pia wanalalamika serikali kushindwa kuzuia mchele wetu mzuri na kuagiza mchele ule wa nje mbaya. Binafsi siwezi pingana na wapikaji mchele huu sio mzuri. Pia wanalalamika kuwa mchele huu unauzwa bei rahisi ili kuuwa soko...
  13. Wazolee

    Waziri wa viwanda na biashara alitoa vibali vya kuingiza Mchele. Huo Mchele umeshafika au bado maana hakuna mabadiriko sokoni

    Baada ya Mchele tuliolima wenyewe hapa nchini kupanda bila ya sababu za msingi waziri wa viwanda na biashara alisema atatoa vibali vya kuagiza Mchele uje nchini na kupunguza makali ya bei ya bidhaa hiyo. Lakini Cha kushangaza ndio imekuwa kimya na Hadi Sasa haieleweki huo Mchele umeshafika au...
  14. Leak

    Waziri Bashe uko wapi mchele mlioagiza toka nje ya nchi? Bei ya mchele imeshuka? Nani awajibike?

    Hivi karibuni Serikali iliahidi kuingiza mchele toka nje ya nchi ili kupunguza makali ya bei ya mchele na nafaka zingine! Matarajio ya watu wengi ilikuwa ni bei ya mchele kushuka na kuwasaidia watu kuweza kumuda kupata mlo Sasa imepita miezi zaidi ya miwili lakini bado bei iko pale pale lakini...
  15. BARD AI

    Mchele tani 130 wapigwa marufuku kuingia sokoni, TFDA yataja sababu

    Tani 130 za mchele wa Kampuni ya Sahal General Store Zanzibar zimeharibika moja ya sababu ikidaiwa ni kukaa kwenye makontena bandarini muda mrefu bila kushushwa. Tani hizo zimebainika leo Machi 11, 2023 baada ya kampuni hiyo kuhisi kuharibika kwa mchele huo na kutoa taarifa kwa Wakala wa...
  16. Lexus SUV

    Katika mzunguko wa vyakula kweli hakuna mchele wa plastiki?

    Habari, Nimezunguka masokoni huko kuangalia mchele, yaani mchele mwingi umenyooka yaaani punje zote za mchele zimenyoka bila kasoro, sasa nimekuja ulizia hapa hivi hakuna mchele wa plastic? Na ni namna ipi nzuri kutumia kugundua mchele wa plastic?
  17. DR HAYA LAND

    Mchele umeshuka Bei, nipo hapa mtaani naona mchele mzuri bei 2600

    Nimenunua mchele mzuri hapa Temeke 2600 ndio naenda kupika pia kwa pembeni nimeona Mwingine sh 2500 mzuri na wenyewe pia. Hakika Jambo hili ni Jambo Jema Sana kiukweli. Update Mchele ni mtamu Sana ndo napakua Muda huu
  18. USSR

    Serikali imezuia mchele kuuzwa nje? Huyu analeta huyu anauza

    Kuna mwana JamiiForums amesikia habari ya serikali kuzuia mchele kuuzwa nje au wote tumesikia kuruhusu uletwe kutoka nje tu. Serikali haujazuia mchele kuuzwa nje mpaka sasa hivi inamaa kubwa kuwa hawa walioleta mchele kutoka nje wanaweza pia wakauza huko nje baada ya kuuleta hapa Tanzania ikawa...
  19. J

    Sasa huyu Bashe kamsaidia mkulima au kamuangamiza? Huu mchele wa Ruzuku unaweza kuuzwa 1,500/- kwa kilo

    Ninavyowajua Watanzania wanapenda vitu vya bei rahisi Bila kuzingatia ubora Hiyo michele iliyofichwa na Wakulima soon inaenda kuwadodea Bashe ajipime kama anatosha!
  20. saidoo25

    Mchele kutoka nje na hatma ya wakulima wetu

    Mchele kutoka nje. Je tumejiridhisha kwamba uliopo nchini hautoshi? Je uzalishaji wetu wa mchele ni kiasi gani, mahitaji kiasi gani na upungufu kiasi gani Hizo tani elf 90 za mchele zitaingizwa kwa muda gani Je wakulima walioko shamba kwa sasa mchele wao watauza wapi wakikutana na huo wa nje...
Back
Top Bottom