Dar es Salaam. If you believe that growing rice, maize and other crops that have traditionally been grown for food would not make business sense, then you far off the mark.
While it is true that Tanzanians have traditionally grown rice, maize, sweet potatoes, bananas, beans and sorghum mostly...
Nimesikia Serikali kwenye bajeti kuwa kodi imeondolewa/punguzwa kwenye kununua malori yenye friji ndani. Hii ni habari nzuri kwa upatikanaji wa fresh foods. Mtufanyie wepesi basi tupate dagaa mchele na pweza na sisi huku mikoani. Nasi tutafanya mpango mpate ulanzi, sungura, matunda na mnafu fresh.
Wakuu,
Nataka nianze kuuza ugali na dagaa mchele wale wa kukaanga, nitaweka na kachumbari kunogesha au mboga za majani.
Nimefikiria ugali na nyama ya kukaanga lakini nimeona itanikost sana kwenye nyama. Kwahiyo mbadala nimeona ni dagaa mchele ambao kuwapata ni hapa hapa Kigamboni. Kuna mwenye...
Taarifa ya NBS iliyokusanya takwimu za kuanzia Februari 2021 hadi Machi 2021 zimeonesha baadhi ya watanzania wanakosa kumudu huduma muhimu kama Huduma za Afya na Chakula.
Katika vyakula, ikiwemo mchele, mahindi na unga wa mahindi zimeonesha mchele unatumika na 55% ya watanzania huku 29% wakiwa...
-kuweka hamira kwenye wali
-kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu),
-kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande)
-viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo.
-kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe...
Asalamu alykum mandugu,
Mimi ni machinga nilikuwa nauza mchele Moshi, barabara ya manyema, lakin baada ya hili jambo wa kufukuzwa mambo yameenda vibaya na biashara ikaharibika kabisa, nimeamua kujiongeza nimekuja arusha kucheki ramani nimeamua nianze biashara tena ya mchele kwa arusha soko...
Mchele huu ni wa Daraja la kwanza kabisa.
Hauna Chuya
Hauna Punje za mchanga
hauna chenga
unapatikana kwa ubora wa hali ya juu sana
Bei yetu ni 2200 Tsh kwa Kilo
Tunauza kuanzia Tani 1 na usafiri juu yetu.
Tupo Mwanza Mkuyuni
0713096076
Baada ya hapo jana mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga kutoka DRC, Fiston Kalala Mayele kuzawadiwa ng'ombe mwingine na mashabiki huko Mwanza, ni wazi sasa viongozi waanze kutafuta mchele, kwani Mayele anaendelea kutafuta mboga hili siku ya mwananchi day mashabiki wakale uwanjani, mpaka ligi...
Habari Ndugu zangu,
Napatikana Dar es Salaam nahitaji kuanza biashara ya kununua mchele kutoa mikoani kuleta kuuza jumla DSM, hivyo naombeni msaada kwa mwenye uzoefu wowote na biashara hii ili nami kijana mwenzenu nipate kujiajiri katika biashara hii.
Nina mtaji wa chini ya million 5...
Habari ya asubuhi ndugu zangu, yoyoye anaemjua supplier mzuri wa mchele anichek kwa number: 0783 242247
Tumepata emergency therefore is very urgent to get it today or tomorrow.
Vigezo ni kama ifuatavyo:
1. Awe in Dar Es Salaam
2.Mchele uwe in packs of 25kg
3.Mchele uwe na sticker/lable...
Habari mbaya sana Mtaani kila Kona Rais anasemwa vibaya na mambo yanaenda Kombo, Bei ya Vyakula kama Mahindi na Mchele vimepanda maradufu Ndani ya Awamu ya Samia.
Mafuta ya Kula Bei imeongezeka karibia nusu, Diesel imepanda na kusababisha Nauli kuongezeka Vijijini, Nguo na vitu vya kawaida...
Mifuko yetu ni imara haina shida aina yeyote, haitoki rangi zake na inadumu muda mrefu.
Kama huna nembo tunakudesignia.
Mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa.
Tunapatikana Dar Es Salaam.
call& Whatsapp 0683557564
Kiongozi mkuu wa waislamu Mufti Sheikh Zuberi aitisha maombi ya siku tatu kwa Waislamu wote kuombea mvua yenye heri kuanzia kesho Alhamisi.
Maaskofu wakristo naona wanashindana tu kuvaa barakoa hawaitishi maombi kulikoni?
Kijana wenu baada ya kumaliza chuo nikaona nijimix kwenye harakati za maisha nipo Dar es Salaaam japo Nina mda mfupi sana hapa.
Nimezunguka masoko yote hapa dsm kuanzia mabibo mpaka mbagala nilikuja na idea nyingine kwa sababu mtaji sikua nao mkubwa nikashindwa kwa sababu ilihitajika sehemu ya...
Naomba kuuliza wapi nitapata chimbo la mchele mzuri maeneo ya Morogoro.
Mimi ni graduate nimejipiga piga nimepata mtaji kidogo around 600k (laki sita) soko la kuuza Dar nimepata maeneo ya Tandale Sokoni nilikua naomba kufahamishwa chimbo la Mchele kwa Morogoro.
Nilikua nafikiri niende mbali...
Hi guys,
Kwa mchele mzuri kabisa, ambao ukipika kiubwabwa chako kwanza kinakuwa kitamu pili kinanukia mpaka mtaa wa 7 huko, usisite kutuagiza, bei inaanzia 1500/= tu kwa kilo moja.
Pia tuna mafuta safi na khalisi kabisa ya alizeti Lita 3 kwa tsh. 17,000/= na Lita 5 kwa tsh. 28,000/= tu za...
A woman who was part of a drinks spiking gang had a taste of her own medicine when she unknowingly took a drink that she had laced with a stupefying substance and passed out!
In a classic case of the hunter becoming the hunted, Leah Mwenja, 31 was found unconscious together with 3 men at...
Nauza mchele nipo Mbeya
1. Kiasi - kuanzia 1kg hadi tani utakazohitaji
2. Bei - kuanzia sample ya 1000 kwa 1kg, 1200 kwa kg, 1400 kwa kg, 1500 kwa kg na kuendelea
3. Pia mpunga na pumba laini za mpunga zinapatikana
4. Nje ya mbeya tunatuma hadi ulipo kwa gharama nafuu
Karibuni sana
Habari ,ninauza mchele super kwa 1700, hakuna haja ya kuuchambua ni wakuosha tu na kupika ,pia unanukia na kuchambuka vizuri ukipikwa.Ninakufikishia mzigo kokote ndani ya dar es salaam kuanzia 10kgs na kuendelea.
Kwa wauzaji wa jumla ,karibuni store kwangu (chanika) ujipatie gunia la kilo 100...
“UKIWA Dar es Salaam wauzaji wa maduka ya mchele huwa wanajinadi kwa mbwembwe, ‘mchele safi kutoka mbeya’. Ukishafika Mbeya unakutana na wauzaji wa maduka ya mchele wakijinadi, ‘pata mchele safi kutoka Kyela'. Na ukifika hapo mjini Kyela utakutana na wauzaji wa maduka ya mchele wakijinadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.