mchele

Samuel Mchele Chitalilo (born June 15, 1965) is a former Member of Parliament in the National Assembly of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Mchele ndiyo nafaka inayoliwa zaidi duniani ikifuatiwa na ngano

    Mchele uligundulika miaka 15,000 iliyopita katika mabonde nchini ya milima huko China na Brazil. Mbegu za awali Brazil zilipotea wenyeji hawakuwa makini sana katika kilimo cha mpunga. Mchele ni nafaka iliyowatajirisha wafanyabiashara kwa miaka mingi. Miaka ya mwanzoni mchele ulikuwa ni...
  2. S

    Napendekeza tukatwe kodi ya Tsh 50/= kwa kila kilo ya mchele na unga wa mahindi/ngano badala ya laini za simu

    Tukifanya hivi tutakuwa tumepanua wigo wa makusanyo ya Kodi kwa maana ya idadi ya walipa kodi wangeongezeka. Tutapata hela nyingi, na karibia kila mtanzania atashiriki ktk ulipaji wa Kodi na ujenzi wa taifa kwa ujumla. Tutachangia hela kidogo sana (Tsh 50/= per kilo) lkn fedha itakuwa nyingi...
  3. P

    INAUZWA Biashara ya mchele kutoka Morogoro

    Ninauza mchele super 1500Tshs kwa kilo. Nakusafirisha mzigo kuanzia kg100 kwa wateja wa Dar es Salaam utapokea mzigo wako Mbezi. Pia, kwa wanaohitaji kununua mchele/mpunga kwasasa kwaajili ya uwekezaji, nipe oda. UPDATES Jipatie mchele super unaochambuka vizuri kwa 1700Tshs@ 1kg. Ndani ya Dar...
  4. S

    Taratibu za kuingiza Mchele nchini Kenya

    Habarini Wadau Naomba msaada kufahamu taratibu kwa yoyote aliyewahi kufanya biashara ya kusafirisha Mchele kwenda Kenya. Wasalaam
  5. buyoya419

    Kusafirisha Mchele kutoka Mbeya kuja Dar es Salaam

    Kwa wanaofahamu lengo langu nataka ninunue gunia za mchele kutoka Mbeya kuja Dar es salaam kwa ajili ya biashara. Nataka nifahamu bei ya usafirishaji. Na pia nifahamu sehemu nitakayopata magari ya kusafirishia. Na pia nataka nijue vibali vya kuwa navyo ili nisisumbuliwe na bei zake zote. Na...
  6. OllaChuga Oc

    Ushauri: Biashara ya mchele kutoka Kahama Kupeleka Arusha

    Niaje Mabroo na Masista. Maisha yanaendelea poa, mimi niko Kahama hapa kuna mishe nilikuja kufanya ila mda siyo mrefu nageuza kurudi A Town, aka A City, Geneva of Africa, City of God[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ..ni hivi wakuu tuachane na mbwe mbwe za majina. Ni Kwamba katika muda niliokaa...
Back
Top Bottom