Baada ya kujidunduliza na kujinyima nyima nikapata kamtaji ka kupata nusu tani ya mchele
Nauza mchele kwa bei ya 1600 ,1800,2400 na 2800
Flem yangu ipo chamazi jirani na uwanja wa azam complex,pia nafanya delivery kwa wale ambao watakosa muda wa kufika ninapouzia
Namba yangu ni 0682528220.