Asante Mungu!!!
Ni miezi 18 tangu Mahakama kutengua ndoa iliyofungwa miaka 8 iliyopita.
Na huu ukawa mwanzo wa maisha mpya, maisha ya utulivu wa akili, amani moyoni na huru wa maamuzi.Na ukawa Mwisho wa maisha ya mateso ya Kihisia, kiakili, na kisaikolojia-hapa wanaume wengi wanapitia mateso...