Nini hatma ya kuwa na mchepuko?
Kila kitu huwa kina mwanzo na kina mwisho pia. Mfano mlikuwa wapenzi...baadaye mkaishia kuoana. Je, unavyokuwa na mchepuko mwisho wake ni nini hasa?
Ni kumuoa awe mke wa pili, au kupindua ndoa iliyopo, au ni kuchapana na kuondoka, au ipi wakuu?
Habarini za leo wana MMU, katika utafiti wangu nimegundua kuwa kuwa michepuko namba D ( mabinti waliozaliwa 1998-2002)wanachangamoto zifuatazo
1. Wana tamaa ya pesa , Kuna tofauti ya kupenda pesa na kuwa na tamaa ya pesa
2. Wana tamaa ya maisha mazuri bila kujua maisha mazuri ni process ya muda...
Mke uliyemtolea mahari na kukabidhiwa na wazazi wake. Amekuzalia watoto, anafua na kupiga pasi nguo zako, anapika chakula watoto wako na wewe hamlali na njaa leo unampa mateso haya.
Leo amekwenda saloon kusuka yeboyebo ingawa hupendi ajichanganye ili asisikie ufuska wako. Amekutana na ule...
Mchepuko umepagawa na huduma.
Kutokana na ninavyomjali; , chuo, matibabu n.k sasa hivi amechanganyikiwa kabisa.
Ananiuliza 'nilikuwa wapi siku zote hadi nikaolewa na yule mbulula'. Mbaya zaidi sasa ananiita mume na ananisihi kama ikiwezekana awe mke wa pili.
Mi nabaki kumuitikia tu sawa,muda...
Wote tumekuwa katika mapenzi. Kwa bahati mbaya mapenzi huwa yanaumiza na watu tunaumia sana hadi baadaye ndio hayo maumive yanatupa mafundisho. Tusaidiane kwa kuandika visa mbalimbali vya tulivyoumizwa na wapenzi wetu.
Mimi Nitaanza:
Mwaka juzi nilimpenda sana mdada mmoja Arusha. Tukawa na...
imarisha mwonekano wako na fufua uzuri wako
kila mtu anangozi nzuri na yenye kuvutia kwa namna yake
lakini kuna mambo yanayo fanya tufubae ngozi zetu zisiwe nzuri kama inavyo takiwa
na haya husababishwa na mazingira.
tsh9000tu.
kama vile
kutokwa na chunusi
kutokwa na utangotango
kuwashwa...
Habari za jioni wanajf,
Waungwana naandika Uzi huu nikiwa na uchungu mwingi sana, na nisijue chakufanya.
Iko hivi;
Nina mchepuko ambao tuna miezi kadhaa sasa ila sijawahi kumuonesha kwangu, kwa upande wangu Nina mke na watoto wawili.
Kwa wiki kadhaa nipo mkoa tofauti na familia yangu, na Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.