Mabingwa ni Simba Sc
Mfungaji bora ni John Bocco wa Simba Sc
Mchezaji bora ni Luis Miqsonne wa Simba Sc
Kipa bora ni Aishi Manula wa Simba SC
Beki Bora ni Joash Onyango wa Simba Sc
Hawa Simba ukiwachekea wanachukua kila kitu
Ng'olo Kante, alitamani kombe la dunia lichezwe nchini Ufaransa kila mwaka, kwasababu mwaka 1998, alifanikiwa kuzoa taka nyingi kuliko miaka yake yooote ya kuzoa taka mitaani.
Kante alizaliwa Machi 29, 1991, huko mjini Paris nchiniUfaransa. Wazazi wake walikuwa wahamiaji kutoka nchini Mali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.