mchezaji bora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. OKW BOBAN SUNZU

    Na Mchezaji Bora MVP ni Luis Jose Miqsonne

    Mabingwa ni Simba Sc Mfungaji bora ni John Bocco wa Simba Sc Mchezaji bora ni Luis Miqsonne wa Simba Sc Kipa bora ni Aishi Manula wa Simba SC Beki Bora ni Joash Onyango wa Simba Sc Hawa Simba ukiwachekea wanachukua kila kitu
  2. anonymousafrica

    N'golo Kante: Toka kuzoa taka mitaani hadi kuwa mchezaji bora anayetegemewa

    Ng'olo Kante, alitamani kombe la dunia lichezwe nchini Ufaransa kila mwaka, kwasababu mwaka 1998, alifanikiwa kuzoa taka nyingi kuliko miaka yake yooote ya kuzoa taka mitaani. Kante alizaliwa Machi 29, 1991, huko mjini Paris nchiniUfaransa. Wazazi wake walikuwa wahamiaji kutoka nchini Mali...
Back
Top Bottom