ilikuwa tarehe 25 july 2020 baada ya kuamka asubuhi kwa ajili ya kwenda kwenye mizunguuko yangu ya kila siku nakutana na baridi kali sana. Miaka mingi kidogo wakati nakua kipindi cha baridi kilikuwa ni mwezi wa sita, sasa hii baridi ya mwezi wa saba kwenda wa nane veepe?
Utagundua kitu sawa na...
Nina mashaka na shuhuda za wachakata mbususu humu ndani, sifa za mabinti wanazotoa mara zote zinafanana tako la kwenda, uzuri wa sura, sauti nzuri, shepu nzuri, guu la bia n.k.
Kwamba hamjawahi kuchakata za dada zetu wenye sura ngumu? Hamjawahi kuchakata mbususu za wakina dada wenye english...
najua wafanyakaz wengi mtakuwa mmepata nafasi ya kisimamia sensa 2022
chonde chonde sensa ni kwa ajili ya kupanga maendeleo yetu wenyewe ni kama jicho la serikali kujua wapi wapeleke nini
najua kumetokea kanjanja kubwa kwenye mishahara mipya ila isiwakatishe moyo mkaharibu hili zoezi!
kuna...
Wakuu, Mida hii ndo nafika gheto na uchovu mkali wa mwili ingawa mkuyenge bado unasimama simama tu!
Siku ya jana sikuonekana ndani ya jf kuanzia mida ya saa moja jioni kwa kuwa nilimfuata nesi kupata ufumbuzi wa tatizo!
Tulikutana kwenye hotel flani, akawa kaagiza msosi sahani mbili na K vant...
Hapo vip!!
Leo natua kwa huyu mtu anaitwa Tumaini kweka ambaye ni naibu DDP wa serikali,kwanza sitaki nimjue sana kwa sasa napata kichefu chefu.
Niwazi huyu mtu amemgeuza Sabaya kama project ya kujitengenezea pesa kutoka katika kodi za wananchi pasipo Samia kujua hilo.Wananchi na wanaccm...
Maisha haya yana risk nyingi sana.
Jamaa kanipa dili zito sana. Eti huko Ukraine kuna Bunduki kibao zikizotelekezwa, anaziuza kimagendo kuja huku Africa.
Kanishirikisha kwamba nikiweza nimcheki tufanye biashara.
Gharama za kusafirisha mpaka mzigo kunifikia ni juu yake.
Yani nawaza sana hii...
Huu mchongo ni kwayule kijana ambaye amepinda na maisha ya mtaani.
Kuna michongo mingi ya kufanya ili "kusogeza siku" huku ukisubiri inshu ya maana.
Huu ni mmoja wapo.
KUGONGA KOKOTO.
KUGONGA KOKOTO ndoo moja ni 200, kwahiyo ukikomaa kwa siku wastani unaweza kugonga ndoo 30.
200 ×...
Hakika huyu Mwamuzii wa hii mechi ya leo baina ya Simba na Azam ni refaa wa Mchongo.
Unawezaje kukaa penati ya wazi kama ile baada ya mtu kuunawa mpira ndani ya boksi?
Soka la Bongo kama siasa za Bongo.
Azam wamepigwa!
Habari wana economics?
Kuna ishu moja nataka ku share na nyie kwa mtakaoona inafaa mnaweza fanyia kazi.
Nimetonywa na mdau wangu alieko kitengo flani cha Polisi huku DSM, kwamba wanakaribia kuuza pikipiki zilizotelekezwa na watu vituoni (Bila shaka huwa mnaziona zilivyo jazana kwenye yadi zao...
Wakuu habari za majukumu,
Nisiwachoshe nidumbukie kwenye mada. Najua wengi hamko tayari kukiri ila ni ukweli kua wengi huwa tunacheza hii michezo ya kubahatisha ukiwemo huu wa mchongo pesa. Sasa tatizo ni kua mbona wanashinda wengine?
Mimi nina entries zaidi ya 120 lakini kushinda sishindi...
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kushirikiana na asasi ya BRAC-Maendeleo, imetoa kompyuta 120 zenye thamani ya Sh milioni 132 kwa shule tatu za Wilaya ya Temeke kwenye mradi wa “Skills for Their Future”.
Kompyuta hizo zilikabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo, kwenye hafla...
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe
IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano...
Wanaukumbi.
CHADEMA hakina Sera ya chama madhubuti, kila mtu ni msemaji. Vijana wa CHADEMA kumtukana kila mtu anaejaribu kutoa maoni tofauti na chama chao, bila kujua mpiga kura huwa anabadilika kulingana na Sera za wakati uliopo.
CHADEMA wameshindwa kuendesha chama kama taasisi ya umma, kwa...
Leo nawaletea stori fupi kwa njia ya video fupifupi jinsi ambavyo Rais wa mchongo huwa anapatikana.
Rais wa mchongo ni Rais ambae amechongwa au kulazimishwa kuwa Rais na mamlaka ambazo zimepewa jukumu la kulinda demokrasia pamoja na haki za wananchi.
Rais wa mchongo ni Rais ambae hana kibali...
PhD. YA MICHONGO NI KUBWA KULIKO PhD YA DARASANI.
Na. Robert Heriel.
PhD ya michongo ni degree ya heshima ambayo mtu hafundishwi na mtu isipokuwa maisha. Mkufunzi mkubwa wa PhD ya michongo ni maisha, PhD hii ina coursework na thesis papo hapo Kwa pamoja.
Ogopa mtu mwenye PhD ya michongo huyu...
Nawaza hapa kwa nia njema, wadau tunakesha tukiachia software za kishua tu huko nje zinatumika, ina maana hatujafikia kiwango cha kushawishi hizi serikali za ukanda huu, mpka ERP inafuatwa India kwa gharama ya milioni 30 dola za Kimarekani. Hela ndefu sana hiyooo.
=========
A statement...
nimeita kinyaa kwa sababu ya maamuzi yenye kinyaa.
Bila aibu...refa anaamua penati kabisa hata akili ya mtoto mdogo inakataa. Sidhani kama ni hakuona ukweli wa namna beki alivyocheza....refa hakua mbali na tukio... Hata kama refa alisubiria tukio hilo si kwa kwa uwazi ule.
Azam Tv wamewekeza...
Leo nimepata wasaa wa kuangalia local channel clouds tv kwakuwa mimi si mshabiki wa local channel ni nadra kwangu kuangalia hizi channel.
Wakati naangalia porojo za kipindi cha 360 ndipo nikagunduwa hawa clouds kupitia kipindi hiki cha 360 nimebaini kuna utapeli unaendeshwa wameupa jina la pata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.