Ushauri, mchumba wangu anadai kapoteza Pete ya uchumba, hivi hili jambo, linakaaje yani, limenichanganya mpaka sasa sijaoa, ushauri bha ndugu, nipeni uzoefu hapa,
Mimi ni mwanaume mwenye umri ya miaka 35. Naishi Dar es Salam, ni muajiriwa wa moja ya taasisi ya kiserikali. Natafuta mchumba alie komaa kiakili, hapa namaanisha mwenye muono chanya wa maisha ya familia na hulka za kimaendeleo. Umri min Miaka 18 na max 32.
Akiwa amepata elimu walau kuanzia...
Habari wakubwa zangu na wadogo zangu..Naitaji Mchumba awe na umri wa miaka 19-26,awe anaishi Dar-es-Salaam..awe ana mtoto wala ajawai kuolewa Mengine yote tutaongea private imel yangu Zuherially8@gmailcom...ASANTENI
Ukimtokea mdada wa Kigoma kwamba umempenda na unataka kumuoa basi ataifanya habari hiyo kuwa siri, kwasababu anaogopa kuhujumiwa.
Uhaba huu wa wanaume Kigoma umesababishwa na nini?
Kuna nadharia mbili zinatoa majibu ya swali hili:-
1. Watu wa Kigoma wana asili ya utafutaji sana. Hivyo vijana...
Hello ladies and gentlemen, it is my hope that you're all doing great. As the title says hereinabove, I would like to inform you that I'm now searching for the right one(wife material or my future baby's' mama) ambaye tutaishi pamoja maisha yetu yote mpaka kifo.
Awe na sifa sifuatazo:-
a) Awe...
IGP Saimon Sirro amesema kwamba yeye aliwahi kukimbiwa na msichana aliyekuwa akimpenda kwa dhati ambaye alikuwa Mwanasheria, anaendelea kwa kusema mwanamke huyo ambaye ni mwanasheria alimkimbia kisa tu yeye Sirro ni Mkurya na story alizowahi kuzisikia huyo mwanamke ni kuwa Wakurya wanapiga wake...
Habari ndungu wana JF ,
Karibuni tujadili mada hiyo hapo juu
Ikiwa una mchumba ambae mnapendana kwa dhati lakini lakini hayupo vizuri kiuchumi na amedhamiria kukuoa.
Kutokana na tatizo la kukosa pesa hana uwezo wa kulipa mahari kwenu ili muoane.
Na kwa upande wako wewe kiuchumi upo vizur.i...
Habarini wana JF?
Hatimaye nimenyoosha mikono, upweke unanikondesha hivyo nimeamua kufunguka.
Nahitaji kampani ya kike, sina ubaguzi sana ila yafuatayo yazingatiwe:
1. Uwe mchangamfu. Yaani uwe mdada ambaye unaweza kuwa huru kunitania, kunichokoza, uwe na stori za hapa na pale yaani kifupi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.