mda

The dalton or unified atomic mass unit (symbols: Da or u) is a unit of mass widely used in physics and chemistry. It is defined as 1/12 of the mass of an unbound neutral atom of carbon-12 in its nuclear and electronic ground state and at rest. The atomic mass constant, denoted mu is defined identically, giving mu = m(12C)/12 = 1 Da.This unit is commonly used in physics and chemistry to express the mass of atomic-scale objects, such as atoms, molecules, and elementary particles, both for discrete instances and multiple types of ensemble averages. For example, an atom of helium-4 has a mass of 4.0026 Da. This is an intrinsic property of the isotope and all helium-4 have the same mass. Acetylsalicylic acid (aspirin), C9H8O4, has an average mass of approximately 180.157 Da. However, there are no acetylsalicylic acid molecules with this mass. The two most common masses of individual acetylsalicylic acid molecules are 180.04228 Da and 181.04565 Da.
The molecular masses of proteins, nucleic acids, and other large polymers are often expressed with the units kilodaltons (kDa), megadaltons (MDa), etc. Titin, one of the largest known proteins, has a molecular mass of between 3 and 3.7 megadaltons. The DNA of chromosome 1 in the human genome has about 249 million base pairs, each with an average mass of about 650 Da, or 156 GDa total.The mole is a unit of amount of substance, widely used in chemistry and physics, which was originally defined so that the mass of one mole of a substance, measured in grams, would be numerically equal to the average mass of one of its constituent particles, measured in daltons. That is, the molar mass of a chemical compound was meant to be numerically equal to its average molecular mass. For example, the average mass of one molecule of water is about 18.0153 daltons, and one mole of water is about 18.0153 grams. A protein whose molecule has an average mass of 64 kDa would have a molar mass of 64 kg/mol. However, while this equality can be assumed for almost all practical purposes, it is now only approximate, because of the way mole was redefined on 20 May 2019.In general, the mass in daltons of an atom is numerically close, but not exactly equal to the number of nucleons A contained in its nucleus. It follows that the molar mass of a compound (grams per mole) is numerically close to the average number of nucleons contained in each molecule. By definition, the mass of an atom of carbon-12 is 12 daltons, which corresponds with the number of nucleons that it has (6 protons and 6 neutrons). However, the mass of an atomic-scale object is affected by the binding energy of the nucleons in its atomic nuclei, as well as the mass and binding energy of its electrons. Therefore, this equality holds only for the carbon-12 atom in the stated conditions, and will vary for other substances. For example, the mass of one unbound atom of the common hydrogen isotope (hydrogen-1, protium) is 1.007825032241(94) Da, the mass of one free neutron is 1.00866491595(49) Da, and the mass of one hydrogen-2 (deuterium) atom is 2.014101778114(122) Da. In general, the difference (mass defect) is less than 0.1%; exceptions include hydrogen-1 (about 0.8%), helium-3 (0.5%), lithium (0.25%) and beryllium (0.15%).
The unified atomic mass unit and the dalton should not be confused with the unit of mass in the atomic units systems, which is instead the electron rest mass (me).

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Ladha ya tendo inapungua ukiwa na mpenzi mmoja tu mda mrefu?

    Habarini wakuu, Mimi nina mpenzi wangu ambae nimekuwa nae mda mrefu sasa na huduma zote za chumbani huwaga ananipa yeye tu, yaani sichepuki. Ila cha ajabu naona kila siku zinavozidi kwenda, ladha ya tendo inapungua yaan utamu wa siku za nyuma haupo tena sikuhzi. Hivi hii ishawahi kuwakuta...
  2. Ikitokea unawaza kwa sauti juu ya mabadiliko yaliyotokea uongozi wa awamu ya tano na ya sita, kwa huu muda mfupi unafikiri tutasikia maneno

    Kwanza natoa pongezi kwa uongozi wote wa awamu ya sita kwa jitihada kubwa inayofanywa hasa ya kuondoa ujinga kwa watoto wetu kwa kuwekeza nguvu kubwa kwenye kujenga shule na hospitali kila mahali kwa speed ya hali ya juu na kuendana na mahitaji na muda unaotakiwa, jambo ambalo limelazimika hadi...
  3. Kwanini siku hizi Imekua rahisi sana kufanya tendo na mpenzi wako muda mfupi tu baada ya kuwa wapenzi?

    Habarini! Najiuliza sana hili swali nashindwa kupata Majibu kulikoni sasahivi imekua very easy kufanya Mapenzi na mpenzi wako mpya yaani anaweza akakubali asubuhi, mchana akaja mkafanya yenu. Au akakubali leo kesho akaja, hii imeletwa na nini? Kitambo kidogo ilikuwa hadi mkae muaminiane...
  4. D

    Mnaoshangilia kesi ya Makonda mnapoteza muda wenu bure, hakuna kesi pale

    Niaminini ninachowaambia! Misingi ya kesi ya makonda ni tofauti kabisa na ilivyokuwa kesi ya Sabaya!! Ikumbukwe kwamba Punde tu sabaya baada ya kutenguliwa u DC, aliwekwa kitimoto/mahabusu chini ya Takukuru kabla ya kushitakiwa! Sasa ishu ya makonda ukiitazama unaona kabisa waziwazi hakuna...
  5. Aliyeko Black & white Morogoro muda huu ani - DM tuinjoy free

    Wadau mlioko kiwanja hiki, black & white DM tupombeke free
  6. Kunywa Chai ya bangi kuna madhara kwa Mama mjamzito na mtoto?

    Salaam Wakuu, Juzi kati nimeenda kumtembelea Mzazi mmoja huko Kijiji cha Lyamkena Makambako. Nikakuta ile Jamii inampa Chai ya bangi Mama mzazi ili maziwa yatoke. Wanachemsha maji wanaweka majani kadhaa machanga ya bangi kama vile mchaichai then wanaweka Sukari anakunywa kama chai. Wachagga...
  7. M

    Tatizo la marefa wa Kitanzania lilishatengenezwa muda mrefu na TFF awawezi kulikwepa

    Nimeona mapovu mengi sana yakiwatoka mashabiki na wadau wengine juu ya penalty aliyopewa Yanga dhidi ya Namungo, Ni ajabu sana kuitolea macho penalty ya jana wakati matukio kama ayo yanatokea Sana na watu wanakaa kimya kwakuwa tiyali anaefaidika anakuwa keshavuna point zake. Matukio kama haya...
  8. Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

    Kama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya. ==== Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anatarajiwa kufikishwa mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za matumizi mabaya ya...
  9. M

    Kero za Muungano: Ni wakati muafaka kwa Wazanzibari kufanya Referendum

    Nafikiri niwakati sasa umefika Zanznibar wafanye referendum kwamba wanataka muungano Ndio/Hapana. Baada ya hapo ndo tutakuwa na jibu sahihi la kupata ufumbuzi wa kudumu wa hiki tunachoita muungano.
  10. Loan Board mnatutesea Watoto. Jitahidini kwenda na muda

    Nashauri kama hari ndio hii basi vyuo visiwe vinafunguliwa hadi pale Loan Board inapokamilisha ugawaji wa mikopo na kuhakikisha kila anayestahili kupata amepata na kisha kutangaza kufunga dirisha la kupanga mikopo. Wanafunzi wanateseka hawajapewa mikopo/accommodation huku masomo yameshaanza...
  11. Form 4 mwenye ndoto za kusomea IT usipoteze mda wako kwenda form 6, nimekupa ramani nzima hapa

    π™π™Šπ™π™ˆ 4 π™ˆπ™’π™€π™‰π™”π™€ π™‰π˜Ώπ™Šπ™π™Š π™•π˜Ό π™†π™π™Žπ™Šπ™ˆπ™€π˜Ό 𝙄𝙏 π™π™Žπ™„π™‹π™Šπ™π™€π™•π™€ π™ˆπ˜Ώπ˜Ό π™’π˜Όπ™†π™Š π™†π™’π™€π™‰π˜Ώπ˜Ό π™π™Šπ™π™ˆ 6, π™‰π™„π™ˆπ™€π™†π™π˜Ύπ™ƒπ™Šπ™π™€π˜Ό π™π˜Όπ™ˆπ˜Όπ™‰π™„ π™‰π™•π™„π™ˆπ˜Ό π™ƒπ˜Όπ™‹π˜Ό Muhimu; Kama una changamoto za kiuchumi ni vyema ukasome form 6 kwenye shule ya serikali uliyochaguliwa ili umalize form 6 na ujaribu bahati yako kuomba mkopo wa serikali ili usome chuo, Post hii...
  12. F

    Wanaotoka JKT wapewa muda kuomba mikopo ya elimu ya juu

    Kwa wenye madogo wanaomalizia msoto wakujitakia ndani ya JKT, Bodi imewaongezea siku 10 kuanzia tar 20 hadi 30 ili waweze kuomba mikopo ya elimu ya juu.
  13. Tatizo la Umeme kukatika kwa muda mrefu limerudi tena Dar es Salaam

    Habari Ndugu zangu popote pale mlipo Leo nimeingia Ofisini kwangu Mida ya saa 3 asubuhi ninakuta umeme umekatika. Na mpaka sasa ninapo andika ujumbe huu saa 7 na Daakika 55 mchana bado pakavu. Ndo najiuliza je, Tumesharudi Misri kwenye swala la upatikanaji wa umeme Mjini? Maana katika kipindi...
  14. Mwanamke anayesumbua kukukubali, huyo siyo mwanake wa kuoa

    Kwa uzoefu wangu mdada akikuzungusha wakati wa ww kumtongoza bhas huyo Mdada hana hisia za kimapenzi na wewe na kakuona wewe ni option yake ya 867 kama uhusiano alionao ukibuma, akikuzungusha mda mrefu hata akija kukubali baadae, atakukubali kwasababu ya pesa zako akuchune hela yako wee, au...
  15. M

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Habari wakuu, naomba kwa anayeweza kujua hili tatizo anisaidie. Nataka kufanya application ya hizi nafasi za ualimu zilizotangazwa, nakutana na changamoto moja, kila nikijaribu Ku log in naaambiwa unauthorized user, nikafili nakosea password. Nikataka kubadili password ikashindikana, coz ili...
  16. Licha ya ukimya wake kwa mda mrefu, Rayvanny azidi kumburuza Harmonize

    Katika Hali isiyotarajiwa na wengi, C.E.O wa Next Level Music Rayvanny aka vannyboy mtu mbaya amezid kumvuruta mmiliki wa label ya Konde gang Harmonize Mzee wa picha za utupu Rekodi mbali mbali zinaonyesha jinsi Rayvanny anavyomburuza konde boy kuanzia kwenye mziki mpak kumiliki watoto wa zuri...
  17. Natafuta kazi ya kujitolea ili nipate uzoefu ndani ya Mwanza

    Habari wakuu, Naitwa Juma naishi Mwanza umri ni miaka 21, nina taaluma ya ukemia upande wa madini {mineral processing engineer} na elimu yangu ni basic certificate in mineral processing na uwezo wa kukabiliana na udongo wenye changamoto nyingi, pia uwezo wa kusimamia usalama kazini (OSHA...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…