Habari za kutwa wana jamii forum, Poleni na pilika za kusaka mkate wa kila siku,
Niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi,
Baba na mama walitengana kitambo nikiwa na miaka 2, hivyo sisi tumelelewa na mama pekee,
Mama alikuwa akijishughulisha na kazi mbalimbali kama vile kufanya vibarua kwa...