mdomo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TODAYS

    Uganda;Mwandishi apambana na Askari wa Jeshi mwenye AK47, aishika mdomo na kuugeuzia chini

    Katika hali isiyo ya kawaida, hakuna mtu anayeweza kufanya kitendo cha kijasiri kama hiki kwa kutetea haki na uhuru wake wa kuchukua habari. PHOTO: Askali akimsukuma Lawrence ambaye ni mwandishi wa BukedeTV. Waandishi wa habari wanaendelea kupata mateso na ukatili kwenye baadhi ya mataifa...
  2. T

    Hongera kwa Rais kwa kuwaziba mdomo wapinzani kuhusu kuungua kwa Soko la Karume

    Binafsi nimeshangazwa na ukimya wa wapinzani baada ya tukio la kuungua moto soko la Karume. Sijasikia pole yoyote kutoka kwa upinzani si CHADEMA wala ACT walioneshwa kusikitishwa na jambo hilo. Ni kimya kikuu kimetanda. Ni wapinzani hawa hawa ambao polisi wakidhibiti mikusanyiko yao haramu...
  3. Nakadori

    Hakuna mwanamke mwenye mdomo mbele ya mumewe

    Wanaume wamekuwa wakilalamikia baadhi ya wanawake zao kwamba wana midomo na wamekuwa na gubu na ndio sababu kuu ya wengi kuendeleza michepuko. Sasa mimi kwa imani yangu ninaamini kwamba hiyo midomo, kauli chafu na gubu ni matokeo ya mwanaume kuanza tabia chafu, kutomjali mke na kumuoneshea...
  4. J

    #COVID19 Funika pua na mdomo wako unapokukohoa au kupiga chafya ili kuzuia ueneaji wa Covid-19

    Kufunika pua na mdomo wakati wa kukohoa, kupiga chafya na kuongea kunapunguza kasi ya ueneaji wa #coronavirus. Unashauriwa kufunika pua na mdomo kwa kitambaa safi au Kisugudi 'elbow' na kisha ukisafishe au kukitupa ili kuwakinga wengine dhidi ya maambukizi ya corona. Zaidi ya hayo, unashauriwa...
  5. F

    Kaizer Chiefs ametinga fainali ya CAF champions league, kiboko ya vigogo wenye mdomo

    Kaizer chiefs ametinga fainali ya caf kwa mara ya kwanza.. Tutegemee kama chelsea na ma city uefa final Maana upande wa al ahly na esperence yeyote atakaepita ni kigogo.. Kaizer ameshatangulia fainali
  6. S

    Kudhibiti COVID-19 na kuepuka kulishana uchafu, tuweke sheria ya kupiga faini yeyote atayepiga chafya hadharani bila kuziba pua na mdomo

    Hata kabila ya ujio wa Covid, hakuna tabia ambayo huwa naichukia kama mtu kupigya chafya mbele za watu bila kuziba pua na mdomo kwani mbali na kusambaza magonjwa, lakini pia inachangia sana kulishana uchafu(makamasi). Kutokana na ujio wa Covid, ugonjwa unaosambaa kwa njia kadhaa ikiwemo mtu...
  7. Mung Chris

    Mdomo huwa unaanza kunuka wakati gani?

    Bado sijapata jibu maana kuna wakati naamua kutolala ili nijue ni muda gani mida ya usiku ndio mdomo unaanza kutoa harufu. Mwenye uzoefu na hili atueleze mdomo unaanza kunuka sangapi usiku.
  8. Roving Journalist

    Morogoro: Selemani Msindi (Afande Sele) adakwa na kulazwa Korokoroni, mdomo wake wamponza

    Msanii mkongwe wa muziki, Selemani Msindi maarufu Afande Sele, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mjini Morogoro kwa mahojiano baada ya video yake iliyokuwa na maudhui ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kwa kile alichodai hakutenda haki kuruhusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli. Mkuu wa...
Back
Top Bottom