member

A member of parliament (MP) is the representative of the people who live in their constituency. In many countries with bicameral parliaments, this category includes specifically members of the lower house, as upper houses often have a different title. Member of Congress or Deputy is an equivalent term in other jurisdictions. Another term is Parliamentarian.
Members of parliament seem to tend to form parliamentary groups (also called parliamentary parties) with members of the same political party.

View More On Wikipedia.org
  1. trudie

    Happy birthday to me Trudie

    Namshukuru sana Mungu kwa kunipa neema ya kuongeza mwaka mwingine. Nashukuru leo nimetimiza miaka kadhaa kwa kuingia floor mpya ya majukumu. Mwaka huu umekuwa wa neema sana kwangu mwenyezi Mungu anazidi kunipigania. Kweli tunazeeka na miaka inaenda sana. Happy birthday to me. Intelligent...
  2. Uboboh

    TBT: Story iliyofanya nikajiunga JF, story iliyofanya nikapata my favorite nickname, Kongole kwa huyu member japo kapotea

    Hahah kwanza ni kitambo kipindi hiko nina kasimu kadogo kwenye batani na browser ya operamini (itel) huduma ya freebasic ilikuwepo Airtel hivyo JF niliipata bure kabisa. Niliisoma hii story for 3yrs (darasa la 5 mpaka darasa la 7 Nilisoma story nyingi humu za mapenzi pia Facebook nilisoma soma...
  3. N

    Member mpya! Naamini tutalishana madini

    Hodi bandugu Nawasalimu kwa jina la tanzania me mgeni wenu naombeni mnikaribishe ndani ya nyumba yenu Bora kabsa tanzania mzima. Nyumba yenye wazee wa busara na vijana wengi wa hovyoo, me ni kjana wa faida. Naimani mtanirisha madini nami ntawarisha yangu pia. Asanteni sana
  4. Pascal Mayalla

    Tribute to Mwana JF Mwenzetu William Malecela Le Mutuz, Alikuwa Mtu wa Watu

    Update ya Msiba wa Mwana JF Mwenzetu, William Malecela (Le Mutuz). Kwanza natoa pole sana kwa familia ya Mzee John Malecela kwa msiba mkubwa na mzito wa mtoto wake, William Malecela, kwa jina maarufu Le Mutuz, aliyefariki leo asubuhi jijini Dar es Salaam. Msiba upo nyumbani kwa Baba yake Mzee...
  5. Intelligent businessman

    Karibu tena JF member "National Anthem", natumai wewe na familia yako mtapona haraka katika hili

    Kila mmoja ana pitia changamoto hapa duniani, iwe changamoto ya kifedha, uchumi,msiba na hata mahusiano. 👉 Ila kumekuwa na tatizo kwa baadhi ya wanna jamii, ambao wamekuwa wakishindwa jinsi ya kukabiliana na changamoto hizo. Na hii hupelekea wao kujiona Kama walioshindwa, laaniwa au kutokuwa...
  6. S

    Member Mpya

    Habari wana JF, Member mpya nipo Uturuki kwa wale watakao kuwa na shida ya kuniagiza bidhaa karibuni pia tuunganishane me ni mwanafunzi huku na pia mtafutaji kwa wale wanaotaka kusoma na kuuliza kuhusu scholarship tafadhali me ni kijana wenu. Natanguliza Shukrani
  7. jastertz

    Member Mpya

    Hello wana JF! Mtanisamehe hili jukwaa sikupita kufanya utambulisho. Karibuni wageni
  8. Exuberant Boe

    Member Mpya

    Hi.Naitwa sadiki salumu a.k.a Exuberant Boe.Ni mwanajamii forums mpya ahsante.
  9. Michael_03

    Marafiki, mi ni new member

    Habari wana jamii, mi ni ndugu yenu mpya, naomba mnipokee Lakini pia ni job seeker, kwa yeyote mwenye connection ya kazi au anaweza kunisaidia kwa namna yeyote naomba tuwasiline.
  10. Intelligent businessman

    Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

    Kwako ndugu na Kaka yangu National Anthem, Tumekuwa marafiki wa muda mrefu katika dunia hii ya Kufikirika. Furaha yako imekuwa furaha yangu pia, nichukue fursa hii kukupongeza wewe na mkeo kwa kufanikiwa kupata watoto mapacha siku ya jana😍😍. Kheri ikawe kwenu na kwa familia yenu, nawa ahidi...
  11. Intelligent businessman

    Hongera JF member "Trudie" kwa kupata mtoto, kheri ikawe kwako na familia yako

    Hi ni yako, rafiki yangu mpendwa trudie Mwenyezi Mungu akubariki katika ulichopewa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa, na uruzukiwe wema wake. Na aliyepongezwa atamuombea aliyempongeza kwa kumwambia: ''Mwenyezi Mungu akubariki na ateremshe baraka juu yako, na Mwenyezi Mungu akujaze...
  12. G

    A new member is here

    Hello, am new here. Nafurahi kuwa hapa, I think nitajifunza mengi hapa JF. Thank you.
  13. Meneja Wa Makampuni

    Member of Parliament Luhaga Mpina, Your Dream of Being a Famous MP in Tanzania has Come True: Nenda zaidi

    Today, if you are asked to name a famous MP in Tanzania who builds logical arguments, you will not fail to mention MP Mpina. He has shuffled his cards well and used his position effectively in this period, and did not choose to sit on the side of honey-lickers. He has decided to stand with the...
  14. Yes INDEED

    New member 😁😁😁😁

    Wakuu za sahizi Nimekuwa nanyi since 2021 December leo nimeamua kujiunga rasmi 😁😁 Mnipokeee please
  15. Mwachiluwi

    JF member tupeane pole na kufarijiana kwa kuambiana siku yako ilikuwaje

    Hello habari, Nimeona niadhishe hii thread kwasababu watu wengine siku zao zinakuwa mbaya wanakwazika lakini hawana watu wakuwapa pole hawana watu wakuwafariji au ata kuwapa ongera kwa hatua waliyo fikia kwa siku hiyo. Nianze na mimi; Mimi siku yangu ilikuwa mzuri sana lakini ilikuja...
  16. Pascal Mayalla

    Kumuenzi Magufuli: Tujikumbushe 'spana' za JF zilivyomsaidia Hayati Magufuli na Taifa. Je, Samia pia tumsaidie kwa 'spana' au tumkune tu tusimpare?

    Wanabodi, Leo siku ya Machi 17 ndio siku Taifa tulipotangaziwa kifo cha Shujaa wetu JPM, hivyo katika kumkumbuka, na kumuenzi, mnaonaje tukijikumbusha baadhi ya mabandiko ambayo tulimshauri JPM na ushauri huo ukafanyiwa kazi, kwa kutaja bandiko husika, ulishauri nini, na nini kilikuja kufanyika...
  17. The unpaid Seller

    Nagafirika kwa kejeli, dhihaka na matusi ya member mpwayungu dhidi ya walimu wetu

    Peace be upon you all, Jamii yetu imekua na vijana wa ajabu sana case study ni kijana humu jf kwa id ya mpwayungu village na kama huyu member ni mzee basi ni mzee mpumbavu. Kumekua na desturi ya kudharauliana hadharani na kwa baadhi ya watu huona fahari kudharau na kudhihaki wengine mfano ni...
  18. Mtuniwatu

    Shukrani kwa member aliyenisaidia

    Habarini wanajukwaa! Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa Tanzania. Kuna muda nilileta ama nilikuja hapa kuomba Msaada kwa mtu anayeweza kunisaidia kwa namna yoyote nipate kazi mkono uende kinywani. Nashukuru Kuna member mmoja alinisaidia na leo ndio siku nimepata malipo/mshahara...
  19. Uwa zuri

    New member

    Hello! Jamani mimi ni mgeni humu mniipokee.
  20. The next JPM

    Ushauri: Ameniacha anataka tuwe dada na kaka

    Habar wakuu, Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania. Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu...
Back
Top Bottom