member

A member of parliament (MP) is the representative of the people who live in their constituency. In many countries with bicameral parliaments, this category includes specifically members of the lower house, as upper houses often have a different title. Member of Congress or Deputy is an equivalent term in other jurisdictions. Another term is Parliamentarian.
Members of parliament seem to tend to form parliamentary groups (also called parliamentary parties) with members of the same political party.

View More On Wikipedia.org
  1. Superbug

    Tengeneza sentensi zenye maana kwa kutumia ID za member wa JF

    Tengeneza sentensi zenye maana kwa kutumia ID za member wa JF. Mfano: Bab fei hali mbaya huko kwenu vipi tunda tamu ni Ni Sheeeda
  2. Chizi Maarifa

    Mwanachama humu amenikumbusha nilivyomfanyia jamaa mmoja aliyekuwa anajiona kafika kazini

    Huyu jamaa alifika kazini akawa anajiona yeye ndo yeye. Kazi anaipenda sana kuliko sisi wengine. Basi ikawa kila mfano mzuri boss anamsema yeye. Kila jambo jema mfano yeye. Jamaa akaanza kupewa pewa safaris nyingi sana. Akawa anapewa bonus kila mara, yaani kiufupi jamaa alianza kupendeza. Akawa...
  3. Pang Fung Mi

    Tunaochapiwa, waliowahi kuchapiwa wake, wapenzi, wachumba zao na Member (s) wenzetu wa JF tujuane

    Maisha hapa duniani kila sehemu kuna wazuri na wabaya, katika hali ya kawaida tunapokuwa na wake, wapenzi, na wachumba, huwa hatuwafugi wala kuwachunga kama mifugo, na pia katika maisha kuna kuwa vizuri kiuchumi, kufulia na Kuyumba, kuna kuwa na gari, pikipiki etc vyote kama kishawishi au mvuto...
  4. M

    Nimegundua kuna member humu anatembea na mke wangu, nitakachomfanya tusilaumiane

    Nimegundua kuna member humu ndani anatembea na mke wangu kutokana na uzi aliouandika humu. Uzi wenyewe ni huu Nimejikuta nina mahusiano na mke wa mtu ila kuna kitu nimejifunza na wengine itawafunza Member alieandika huu uzi anatembea na mke wangu, na mke wangu amemdanganya vitu vingi sana...
  5. Komeo Lachuma

    Hapa kama Mungu hajaingilia kati tunampoteza mwenzetu

    Nimewaza sana, Yaani mwanamke anapiga ngumi kama bondia kwa mwanaume ambaye hajamgusa. Kama roho wa Mungu hayupo karibu nawe, nakwambia kuna watu wanaweza gawana majengo.
  6. Analogia Malenga

    Nape: Mimi ni member wa Jamii Forums

    Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala. Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so...
  7. Zanzibar2014

    Mwanachama mpya

    Habari zenu?
  8. Analogia Malenga

    TANZIA Stekamba Dunia, member wa JF ni mmoja wa marehemu wa ajali ya Ndege Bukoba

    Ajali ya ndege iliyoua watu 19 kule Bukoba imeondoka na mmoja wa member wa JF Stekamba Dunia
  9. Yohana jones John

    New member

    Hello brothers and sisters, I'm John. New here I'm I welcome ?
  10. Slowly

    Huyu member anayejiita UMUGHAKA anatakiwa apewe tuzo ya utunzi wa hadithi

    Jamii forums ina watunzi wengi wa visa vya kubuni na vingine vya kiuhalisia katika maisha yao, Ila huyu mwamba UMUGHAKA ametia fora, sidhan kama kuna member anamzidi Kwa simulizi zake zenye kutisha na kusisimua pia. Thread zake zimekuwa zikifatiliwa Kwa ukarbu Sana na member wengi kuliko...
  11. sondason

    New member, I'm asking for a chance to be accepted

    Together we shall reach our destiny, thank you.
  12. M

    Video: Isije ikawa huyu ni member mwenzetu kafumaniwa huko Juba South Sudan

    Mzuka Wanajamvi! Hii video ni ya huko South Sudan. Na kuna member mwenzetu alisafiri huko. Cc mpwayungu village
  13. N

    Maoni kuhusu Mbunge/Wabunge kivuli/Vivuli (Shadow Member of the Parliament)

    Maoni kuhusu Mbunge/Wabunge kivuli/Vivuli (Shadow Member of the Parliament) Inaletwa kwenu nami Kelvin Nyagawa (Mwanasheria) Kwani Prof. Rwekaza ni Professor wa sheria? Kwanini hakupewa chairman Prof. wa sheria? Tukimuuliza Prof. Rwekaza ili tuwe na tume huru kisheria nini inahitajika...
  14. GENTAMYCINE

    Ewe mwana Yanga SC mtaje JF Member mwana Simba SC uliyempania kumnanga mno leo Yanga SC ikifuzu Makundi

    Mimi hakyanani nimempania sana huyu Member aitwae SAGAI GALGANO, kwani anatuchukia mno sisi wana Yanga SC, na kila siku ni lazima tu aanzishe nyuzi za kuisema tu vibaya Yanga SC yetu.
  15. R

    Bila uchawa, kusema uongo, kuwa praise team member hutoboi

    Hili Mulamula, I guess and I say I guess lilimshinda na limemuondoa. Nilikuwa simsikii akipaza sauti za uchawa wa kusifu na kusifia mamlaka ya uteuzi wake. Nasema inawezekana hili limemuondoa maana may be alitaka kusema ukweli badala ya utaratibu wa kusema uongo unaokubalika ndani ya CCM...
  16. FLAVOR

    Nauza gari yangu, GX100 kwa member haina udalali

    Done
  17. Mwizukulu mgikuru

    Namtafuta huyu ndugu yangu member wa JF

    Namtafuta ndugu yangu jidu la mabambasi au jidu reli popote ulipo...ukiupata ujumbe huu popote pale nitafute
  18. Poker

    Naombeni kujuzwa hali ya member mwenzetu kama alipona au la!

    Ningependa kujuzwa kwa mwenye taarifa za member mwenzetu mama sabrina atujuze anaendeleaje maana kuna mtu nilimsikia akisema alikuwa akiumwa sana na jino na hali yake ilikuwa mbaya sana mpaka kulazwa ila ghafla naona kimya kimetanda! Kwa mwenye taarifa zake naombeni mtujuze anaendeleaje?
  19. Powder

    Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

    Nimeona Post ya Senior Member mmoja akilalamika, nikapata wazo la kuandika hii Thread. Kuna member humu tunawachukia kutokana na Maandishi yao, Namna ya Uandishi wao, kuna wengine wakiona Uzi mpya umetoka kwa huyo member hawana Muda hata wa kuufungua, zaidi ya Kusonya kimoyomoyo. Mtaje member...
  20. mutu murefu

    SoC02 R.I.P ip_mob, JF member aliyebadili maisha yangu

    Habari za leo wakuu. Siku ya leo nimeguswa sana kutambua mchango wa member mwenzetu ip_mob aliyetangulia mbele za haki. Ame play part kubwa sana katika mafanikio yangu, kwa bahati mbaya ametangulia hata kabla hajasuhudia matunda ya mchango wake kwangu. Kama mnakumbuka around mwaka 2018 na 2019...
Back
Top Bottom