Habari zenu??
Kuna uliusemi unasema "jilipue",ni kausemi fulani kako serious kwa mtu aliyepo serious.
Haya maisha yana formula moja tu take risk,watu wengi walio thubutu formula hii walijikuta wamepiga hatua nyingi kwenye maisha yao.
Mnaweza kusema mleta mada ametake risk gani,kuna kipindi...