Meno (; Greek: Μένων, Ménōn) is a Socratic dialogue by Plato. Meno begins the dialogue by asking Socrates whether virtue is teachable. In order to determine whether virtue is teachable or not, Socrates tells Meno that they first need to determine what virtue is. When the characters speak of virtue, or rather arete, they refer to virtue in general, rather than particular virtues, such as justice or temperance. The first part of the work showcases Socratic dialectical style; Meno, unable to adequately define virtue, is reduced to confusion or aporia. Socrates suggests that they seek an adequate definition for virtue together. In response, Meno suggests that it is impossible to seek what one does not know, because one will be unable to determine whether one has found it.Socrates challenges Meno's argument, often called "Meno's Paradox" or the "Learner's Paradox," by introducing the theory of knowledge as recollection (anamnesis). As presented in the dialogue, the theory proposes that souls are immortal and know all things in a disembodied state; learning in the embodied is actually a process of recollecting that which the soul knew before it came into a body. Socrates demonstrates recollection in action by posing a mathematical puzzle to one of Meno's slaves. Subsequently, Socrates and Meno return to the question of whether virtue is teachable, employing the method of hypothesis. Near the end of the dialogue, Meno poses another famous puzzle, called "The Meno Problem" or "The Value Problem for Knowledge," which questions why knowledge is valued more highly than true belief. In response, Socrates provides a famous and somewhat enigmatic distinction between knowledge and true belief.
Bado naendelea na usafi wa nyumbani kwangu kama kawaida,muda huu ndio nimemaliza kusafisha bathroom yangu na sasa natumia astra badala ya dettol.Leo naongelea dawa ya meno,je wewe mwenzangu unatumia dawa ipi ya meno? Je kwa mfano umenunua dawa ya brand fulani,ikiisha unaenda kununua brand...
Wana JF habari za Jumapili , ikiwa una tatizo la mapengo unaweza tabasamu upya kwa kuwekewa meno bandia ya kudumu kwa gharama rafiki
Tazama jinsi mama wa miaka 67 alivyotabasamu kwa mara ya kwanza tangu apoteze meno yake akiwa na miaka 45 🙌🏿😁
Hapo chini Nimekuwekea Picha Kabla na Baada Ya...
Nyuso za wanadamu zinazidi kuwa fupi zaidi, hii inasababisha kupoteza meno.
Kutokana na mabadiliko katika lishe, nyuso zetu zinapungua ukubwa, na tunakua na taya ndogo hii inamaanisha kuna kua na nafasi ndogo kwa menonkuota
Matokeo yake, watoto wengi sasa wanazaliwa bila baadhinya magego...
Kuna Imani kuwa nyoka huuma na kuacha meno yake kwa muhanga wake. ...ifahamike meno ndo silaha kuu ya nyoka,katika kujitafutia chakula na kujilindA...Asilimia kubwa ya watanzania wanaamini hivyo kuwa nyoka akikuuma anakuachia meno ambapo inakubidi uyatoe haraka kabla madhara hayajawa makubwa...
Haya si maneno yangu:
Yaliwakuta NCCR ya Marando, yakawakuta CUF ya Lipumba na sasa siyo siri, bundi katua chama pendwa.
Kwamba ilihitaji kufunga kumwombea mwenyekiti hekima ya mfalme Suleiman aache kuvutaniana mtoto?
Looh!
Kwani yakitokea huko kwingine nani hakuyaona?
Kama ilivyo kwa...
"Nakupa vinchenchi nakupa visenti mbona hautaki kutulia" wivu mama wivu!
1. Miaka hiyo wakati naingia kwenye tasnia ya mahusiano nilidhani nikimpa🤣visenti ndo atatulia aah nilijidanganya kumbe
2. Miaka hiyo nilidhani kuishi kipole Bila KUMFOKEA pale anapokosea ndio atatulia nilijidanganya
3...
Watoto huzaliwa wakiwa na uwezo wa kunyonya bila kufundishwa (sucking reflex). Kitendo hiki ni muhimu sana kwasababu ndiyo njia pekee ya kumpatia chakula mtoto mdogo. Sayansi imeonesha kwamba mtoto huanza kunyonya (vidole) tangu akiwa tumboni kwa mama, hii inaonekana kupitia picha za ultrasound...
Hivi mmepatwa na nini ndugu zangu Watanzania? Uendeshaji ulio feli wa CCM unaosababisha nchi kuingia madeni makubwa na kuathiri tija kwa taifa hadi nchi kutegemea kuchimbiwa vyoo na nchi wahisani, kutegemea vyandarua vya bure ili kuwakinga na malaria wake zetu wenye mimba nk huku tunaendelea...
Picha kwa hisani ya Google.
Madoa meusi kwenye meno ni hali ya upotevu au kutokuwepo kwa weupe wa kawaida wa meno, hivyo meno kuwa meusi au hata kahawia. Madoa meusi kwenye meno husababishwa na vitu vingi. Mfano
-Umri: kuna watu kadri wanavyozeeka hali ya muonekano wa meno hubadilika kuwa...
Huniambii kitu hata!
Mimi siingilii Uhuru wa maonî ya Watu walah!
Kûna waliniita Mario,
Kûna waliniita Serengeti boy,
Kûna waliniita kibenteni.
Basi kama mjuavyo Siku hizi Vijana Hawana Kazi, na kama nimetoa Ajira Kwa Watu kunitungia Majina na huenda Kwa Mwezi wanapewa Pesa za kujikimu Maisha...
Salaam kwenu, naomba msaada wa kujua dawa ya maumivu ya meno kwa mtoto mwenye umri wa miaka mitano. Nimtoto wajirani yangu amekuwa halali na amevimba shavu kabisa. Jino ni la upande wa chini mwisho.
Katibu mkuu wa jumuiya ya kiarabu mwishoni mwa wiki hii ameitembelea Lebanon na kukutana na kiongozi wa chama kinachoiwakilisha Hizbullah katika serikali ya Lebanon
Bwana Hossam Zaki baada ya kukutana na kiongozi huyo alifanya mahojiano na vyombo vya habari kikiwemo Alqahera cha Misri na kusema...
Jamani naomba ushauri kati ya hivyoi vyuo kipi ni Bora na pia Nina mpango wa kwenda degree na nilisikia kuwa kama unataka kuendelea na degree ni Bora uende chuo Cha private je ni kweli?
Habari wakuu,
Naomba kujua hivi mtu aliyesoma diploma ya dental therapy/ Dental Technology anaruhusiwa kufungua clinic yake mwenyewe kwa kutumia cheti chake?
Naomba pia kujua changamoto kubwa au vikwazo ambavyo unaweza kukutana navyo katka kufungua dental clinic.
Shukrani.
Mbinu hizi zinapunguza utapeli sio full proof guarantee, kila muda zinagunduliwa mpya
Hapa niameorodhesha baadhi ya tahadhari za kuchukua ili kuliepuka hilo:-
01. Usiwe na haraka kwenye kufanya muamala, haijalishi mteja atakuwa na haraka gani. Mruhusu aondoke kama anaonekana ana haraka, kwa...
Benchikha alipokuja tu Simba, niliwahi kuja na nyuzi mbili nikitoa tahadhari kuwa mafanikio yake yanaweza kuwa duni kutokana na hali aliyoikuta Simba. Kwanza niliongelea suala la quality ya wachezaji aliopewa aende nao vitani. Pili nikaja kuongelea athari za kurithishwa migogoro kati ya...
Wakuu,
Kipindi tulipokuwa watoto nilikuwa nasikia hii sana kwamba uking'atwa na mtu ukienda kupaka kinyesi cha kuku basi yule aliyekung'ata meno yake yanaoza yote!
Ni kweli hii au ilikuwa njia ya kufanya watoto wasiwe wachokozi kwa wengine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.