Meno (; Greek: Μένων, Ménōn) is a Socratic dialogue by Plato. Meno begins the dialogue by asking Socrates whether virtue is teachable. In order to determine whether virtue is teachable or not, Socrates tells Meno that they first need to determine what virtue is. When the characters speak of virtue, or rather arete, they refer to virtue in general, rather than particular virtues, such as justice or temperance. The first part of the work showcases Socratic dialectical style; Meno, unable to adequately define virtue, is reduced to confusion or aporia. Socrates suggests that they seek an adequate definition for virtue together. In response, Meno suggests that it is impossible to seek what one does not know, because one will be unable to determine whether one has found it.Socrates challenges Meno's argument, often called "Meno's Paradox" or the "Learner's Paradox," by introducing the theory of knowledge as recollection (anamnesis). As presented in the dialogue, the theory proposes that souls are immortal and know all things in a disembodied state; learning in the embodied is actually a process of recollecting that which the soul knew before it came into a body. Socrates demonstrates recollection in action by posing a mathematical puzzle to one of Meno's slaves. Subsequently, Socrates and Meno return to the question of whether virtue is teachable, employing the method of hypothesis. Near the end of the dialogue, Meno poses another famous puzzle, called "The Meno Problem" or "The Value Problem for Knowledge," which questions why knowledge is valued more highly than true belief. In response, Socrates provides a famous and somewhat enigmatic distinction between knowledge and true belief.
KUPIGA MSWAKI, SAYANSI NA UTARATIBU? AU SHAGHALABAGHALA ALIMRADI MENO YAWE SAFI?
Wote tunaweza kukubaliana kuwa kupiga mswaki ni kati ya zoezi rahisi sana kufanya mithili ya kunywa maji au uji, lakini licha ya zoezi hili kuwa rahisi bado magonjwa ya kuoza kwa meno na magonjwa ya fizi yamekua...
Kuna dawa za mitishamba zinauwezo mkubwa sana.
Kama kuna dawa ilikuwa inaitwa ngetwa dfp kama nitakuwa nimekumbuka vizuri, sijui hii dawa imepotelea wapi, iliokoa jino langu.
Nilikwenda hospitali ya meno, dokta akaniambia hili jino ni la kung'oa, ilikuwa miaka kadhaa iliyopita na upachikaji wa...
Tozo zilizoanza kukatwa kwenye miamala ya kifedha kupitia benki zimetajwa kuongeza makali ya ugumu wa maisha kwa watumiaji wa huduma husika.
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba kupitia gazeti la Serikali No.478 lililochapishwa Julai Mosi mwaka huu, alitangaza kuanza utekelezaji wa kodi ya...
HABARINI ZA WEEKEND WANA JF,
Natumai mu buheri wa afya.
Kwa Ufupi Mimi ni kijana wa kiume miaka 22. Ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimojawapo apa Tanzania.
Nimeandika huu uzi kuomba msaada ni dawa gani nzuri ya meno au tiba ambayo itatumika kungarisha meno. Apa tatizo ni meno kuwa na rangi...
MBELE KUNA GIZA NENE, KULIA NA KUSAGA MENO!
Anaandika, Robert Heriel.
Njia imesonga, nuru inazidi kufifia, Kurudi nyuma haiwezekani, mbele nako giza limetanda, twajua tulipotoka lakini hatuna uhakika wa hatma yetu.
Pale nguvu zitakapotuisha, akili itakapo poteza uwezo wake wa kufikiri. Nini...
Mafisadi kwa JPM Walitulizwa wakatulia wahuni na wajanja wajanja walinyoosha mikono waliteseka na walinyanyasika na sababu kubwa ni wizi wao
Magufuli aliogopeka kwa majizi na maharamia ya nchi hii kuanzia kwa wenye vyeti feki mpaka Mafisadi wakubwa
Wazalendo msihofu majizi na mafisadi...
Mtu unasafiri zako mwendo mrefu halafu anapanda Mtu anahubiri Masaa Mawili tena kwa Kelele huku Mwingine nae anakuuzia Mayai na Mahindi hadi Unakereka.
Wadhibitiwe upesi tutawapiga sasa.
Baada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag.
Sababu za wazi baadhi ni :
1. Single mothers wengi wamefikia...
Watanzania wengi Wana sifa kuu Tatu ambazo sio nzuri kwa afya ya Taifa lolote:-
1. Wavivu
2. Wezi na sio waaminifu
3. Wanapenda sana starehe /maisha mazuri kuliko kufanya kazi.
Sasa kwa sifa hizo mbali na kwamba tuna kila kitu ni Ngumu sana kuendelea labda tupate EITHER Katiba inayong'ata watu...
Habari wakuu,
1.Tujuzane hapa kama unawajua waganga wa asili wanaotibu meno,hasa fizi kuvimba na maumivu makubwa ya meno.
2. Dentists wazuri.
3.Hospitali nzuri za meno.
4. Dawa nzuri ya meno.
5. Njia zilizokusaidia.
Mawasaliano yao na bei zao.
Dogo hapa ana shida ya haraka.
Bei ya mafuta imefika 105 USD kwa pipa Tanzania tutafute mafuta Yetu.
Kufuatia Mzozo unaoendelea kati ya Ukraine na Urusi bei ya mafuta imepanda na kuvuka dola mia moja kwa mara ya kwanza tangu miaka saba iliyopita, ambapo ongezeko hilo limesababishwa na hofu baada ya mzalishaji mkubwa Urusi...
Grace Products (Zoa Zoa) yaja na Dawa ya Meno
Ile kampuni maarufu Bongo kwa utengenezaji wa bidhaa mbalimbali za vipodozi, maarufu kwa jina la Zoa Zoa imepiga hatua nyingine mbele kwa kutoa dawa ya Meno iitwayo Zoa Zoa ya Meno.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
fluorosis ni miongoni mwa magonjwa ya kutoboka na kupata madoa kwenye meno. Ugonjwa huu husababishwa na kiwango cha juu cha fluoride.
Moja ya nchi ambazo zinakubwa na Ugonjwa huu ni Tanzania, na meneo mengi yaliyo kubwa na Ugonjwa huu au yenye kiwango cha juu cha fluoride ni Maeneo ya mkoa wa...
Tujikumbushe kidogo!
Wakati wa spika Sitta,serikali ilisimamiwa ipasavyo na bunge!Ilipelekea mijadala mingi kupenya bungeni na kujadiliwa!Viongozi wa CCM walimlalamikia Sitta kwa kuiruhusu mijadala bungeni ambayo inaishambulia serikali!Sitta hakusikia na akaendelea kulisimamia Bunge kwa kufuata...
Mwanaume mmoja kutona nchini Ivory Coastal amng’owa meno mchumba wake kwa kosa la kuvunja televisheni yake aliyonunua bei ghali.
Mwanamke huyo alivunja vitu ikiwemo TV kwa kugundua kua mpenzi wake ana mwanamke mwengine . Wawili hao walikua kwenye mahusiano muda Wa wiki 3.
Baada ya kutambua kua...
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mama!
Kwanza nikupongeze kwa Mafanikio makubwa yanayoonekana kwenye suala la kuwahamisha Machinga na kuwapeleka maeneo rasmi. Na furaha nchi sasa imeanza kupendeza hasa majiji yetu! Nimepita Posta mpya leo na Kweli nimeiona Posta niliyoijua...
Ni hivi jana serikali imepiga marufuku kupanda bei huku kukiwa na sintofahamu ya marufuku iliyotolewa kupanda kwa gesi.
Bei ya Gesi haikupunguzwa baada ya serikali kuingilia kati na kupiga marufuku upandaji huo.
Sasa najiuliza Meno ya serikali ni butu na hivyo hata kwenye petrol watagomewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.