mexico

Mexico (Spanish: México [ˈmexiko] (listen); Nahuatl languages: Mēxihco), officially the United Mexican States (Spanish: Estados Unidos Mexicanos [EUM] [esˈtaðos uˈniðoz mexiˈkanos] (listen), lit. 'Mexican United States'), is a country in the southern portion of North America. It is bordered to the north by the United States; to the south and west by the Pacific Ocean; to the southeast by Guatemala, Belize, and the Caribbean Sea; and to the east by the Gulf of Mexico. Covering 1,972,550 square kilometers (761,610 sq mi), Mexico is the 13th-largest country in the world, and with approximately 128,649,565 inhabitants, it is the world's 10th-most populous country and most populous Spanish-speaking nation. Mexico is a federation comprising 31 states, including Mexico City (CDMX), which is the capital city and its largest metropolis. Other major urban areas include Guadalajara, Monterrey, Puebla, Toluca, Tijuana, Ciudad Juárez, and León.Pre-Columbian Mexico traces its origins to 8,000 BC and is identified as one of six cradles of civilization; it was home to many advanced Mesoamerican tribes, most notably the Mayans and the Aztecs. In 1521, the Spanish Empire conquered and colonized the territory from its base in Mexico City, which then became known as New Spain. The Catholic Church played an important role as millions of indigenous inhabitants converted. These populations were heavily exploited to mine rich deposits of precious material, which became a major source of wealth for the Spanish. Mexico became an independent nation state after the successful Mexican War of Independence against Spain in 1821.The War of Texas Independence in 1836 and the Mexican–American War led to huge territorial losses in Mexico's sparsely populated north, contiguous to the United States. The newly instituted reforms that granted protection to indigenous communities, and curtailed the power of the military and the church, were enshrined in the Constitution of 1857. This triggered the War of the Reform and French intervention. Maximilian Habsburg was installed as emperor by France and Benito Juárez kept an opposing republican government in exile. The following decades were marked by instability and dictatorship of Porfirio Díaz, who sought to modernize Mexico and restore order. The Porfiriato ended with the Mexican Revolution in 1910 and the winning Constitutionalist faction drafted a new 1917 Constitution. The revolutionary generals of the winning northern faction dominated the 1920s and served as presidents, but the 1928 assassination of Alvaro Obregón led to the formation of the Institutional Revolutionary Party in 1929, under which Mexico was a one-party state until 2000.Mexico is a developing country, ranking 76th on the Human Development Index, but is considered a newly industrialized state by several analysts. It has the world's 15th-largest economy by nominal GDP and the 11th-largest by PPP, with the United States being its largest economic partner. The large economy, area, population and politics make Mexico a regional power and a middle power, and is often identified as an emerging power. However, Mexico continues to struggle with social inequalities, poverty and extensive crime; the country ranks poorly on the Global Peace Index. Since 2006, the conflict between the government and drug trafficking syndicates lead to over 120,000 deaths.Mexico ranks first in the Americas and 7th in the world for the number of UNESCO World Heritage Sites. Mexico is an ecologically megadiverse, ranking 5th in the world for its natural biodiversity. Mexico receives a significant number of tourists every year; in 2018, it was the 6th most-visited country in the world, with 39 million international arrivals. Mexico is a member of the United Nations (UN), the World Trade Organization (WTO), the G8+5, the G20, the Uniting for Consensus group of the UN, and the Pacific Alliance trade bloc.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    Ushuru wa USA kwa Canada, Mexico na China vimeanza kufanya kazi rasmi

    Baada yakusitisha kwa mwezi mmoja, Trump kasema Canada na Mexico hawajafanya lolote kuboresha hali ya mipakani. Basi ushuru wa 25 percent kwa bidhaa kutoka Canada na Mexico umeanza kufanya kazi rasmi. China imeongezewa ushuru kufikia asilimia 20, toka 10. Waziri mkuu wa Canada ameongea na...
  2. R

    Mbona mapema sana, Siku 3 baada ya Rais wa Mexico kuishupazia shingo Marekani kakubali kutuma wanajeshi elf 10 mpakani kudhibiti madawa na wahamiaji

    Trump aliweka kodi asilimia 25 kwa bidhaa zinazotoka Mexico kama adhabu ya wao kutotia mkazo wa uvushaji wa madawa na wahamiaji haramu kuingia Marekani, Rais wa Mexico hakutaka kuonekana mnyonge akamwaga mboga kwa kuweka kodi asilimia 25 kwa bidhaa zinazotoka Marekani (Tit for Tat), Ni siku ya 3...
  3. Nyani Ngabu

    Wanaandamana kupinga kuondolewa kwa wahamiaji haramu Marekani huku wakipeperusha bendera za Mexico, Honduras, na nchi zinginezo

    Huu ni ujinga. Ni upumbavu wa hali ya juu. Hawa ni waandamanaji wanaopinga sera za Rais wa sasa wa Marekani za kukabiliana na suala na uhamiaji haramu. Wengi wa hawa waandamanaji ni Walatino. Hapa ni katika moja ya viunga vya mji wa Atlanta, GA. Wanaadamana kupigania istihaki [privilege] ya...
  4. chiembe

    Kumbe si Ziwa Nyasa tu, Rais wa Mexico ailalamikia Google kwa kubadili ramani, ghuba ya Mexico waiita ghuba ya America, huu ni ubeberu wa kimtandao

    Rais wa Mexico ameilalamikia kampuni ya Google kwa kuibadili jina ghuba ya Mexico na kuiita Ghuba ya America. Huu ni mwendelezo wa makampuni ya kibeberu kujaribu kubadili ramani ya dunia bila kushirikisha wadau. Hivi karibuni, kampuni hiyo ya kibeberu ilibeba mzega mzega ziwa lote la Nyasa na...
  5. I

    Makampuni ya Korea Kusini kukimbia kutoka Mexico na Canada kwenda kuwekeza Marekani kukwepa vikwazo vya Trump

    Samsung, LG, Kia, POSCO na makampuni mengine mengi ya Korea yamelazimika kutathmini upya gharama za kuendesha viwanda nchini Mexico na Kanada, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kusisitiza ahadi yake ya kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa nchi hizo mbili za Amerika Kaskazini. Trump alisema...
  6. Webabu

    Watanzania waishio Marekani kwanini wasirudishwe nyumbani wakiwa na pingu mikononi kama wenzao wa Brazil na Mexico

    Serikali ya Mexico hapo juzi iliikatalia ruhusa ndege ya kijeshi ya Marekani kutua nchini humo ikiwa na abiria wenye asili ya nchi hiyo waishio Marekani. Hatua hiyo ni baada ya kuapishwa kwa raisi Donald Trump japo huko nyuma ilikwishawahi kuwapokea raia hao kwa mikono miwili ikiwaona kama tunu...
  7. G

    Siku chache baada ya Trump kutishia kuongeza Tozo, Mexico na Canada wametii amri kudhibiti wahamiaji haramu

    Katika muhula wa Biden na Harris, wahamiaji haramu zaidi ya milioni 20 wameingia Marekani, wengi wakitumia mpaka wa Mexico na baadhi Canada, wahamiaji haramu wengi hasa wa wanaoingia kwa mpaka wa Mexico wakiwa ni wahalifu waliokimbia nchi zao ama wahanga wa kutumikishwa kihalifu kuanzia wauaji...
  8. kwisha

    Waziri Mkuu wa Canada na Rais Mexico wamekataa kuwa wanyonge mbele ya Trump

    Baada ya Rais donald trump wa marekani kupost kwenye mtandao wake wa X kuwa bidhaa yeyote inayotoka canada,Mexico na china zitaanza kuliko ushuru wa 25% ya bidhaa izo kabla ya kuingia usa kitu ambacho kwa mawazo ya trump anaamini kitakuza uchumi wa Marekani Na pia kitafanya company nyingi za...
  9. Eli Cohen

    Unaweza kudhani huu ni uzio Trump alijenga border na Mexico ila upo katika Border ya Misri na Gaza. Wamisri hawataki ukorofi wa watu wa Palestine

    Wanajua show wakimbizi wa gaza waliofanya lebanon na Jordan. Wanajua jinsi wakimbizi wa gaza waishio marekani wanavyoondana na kuvunja amani huko. Wanajua #freepalestine ni utapeli
  10. Damaso

    Fahamu chakula cha Escamoles kutoka Mexico.

    Ni majira ya saa tano Bibi Isabella Martinez miaka 60 anaingia jioni kuandaa chakula kwa ajili ya familia, pembeni anasaidiwa na Mjukuu wake wa kike wa miaka 20, Maria. Bibi Isabella Martinez akiwa anatafuta kuni ili apate kuwasha moto basi Mjukuu yeye anaandaa viungo vitakavyokwenda kutumia...
  11. I

    Katika vita vya kibiashara vya Marekani na China, Mexico ndio anaibuka na ushindi mkubwa.

    Kadri uchaguzi mkuu wa nchini Marekani unavyozidi kukaribia ndivyo wachina wanavyozidi kuingiwa na hofu. Ustawi wa uchumi nchini China unaitegemea mno Marekani na ni wazi kwamba bila ya Marekani taifa la China lisingefika hapo ilipo leo kiuchumi. Sasa basi, wagombea urais wa vyama vikuu nchini...
  12. F

    Tanzania kuwa moja ya nchi 10 zenye watu wengi zaidi duniani ifikapo 2100, kuizidi Mexico, Japan na Brazil!

    Ifikapo mwaka 2100 Tanzania itakuwa kati ya nchi 10 kubwa zaidi duniani kwa idadi ya watu. Pia Tanzania itakuwa moja ya nchi zenye uchumi mkubwa zaidi duniani.
  13. ChoiceVariable

    Mexico: Mchungaji wa Kanisa auza Viwanja vya Mbinguni,mita ya mraba TSH. 265,000 adai alipewa kibali na Mungu

    Huko Mexico Kuna mchungaji mmja wa Kanisa la Kilokole ameingiza Mamilioni ya pesa Kwa mauzo ya viwanja vya Kanisa lake vilivyopo Mbinguni. Bwana huyo amedai Alipewa Kibali na Mungu kufanya mauzo hayo mwaka 2017 hivyo Waumini wachangamkie mapema kabla havijaisha. Taarifa hii ililipotiwa 28...
  14. T

    Chile yaungana na Mexico, Indonesia, Brazil na Afrika Kusini kwenye kesi dhidi ya Israel

    Nchi ya Chile imeamua kuungana na nchi za Mexico, Columbia, Brazil, Indonesia na South Africa kwenye kesi dhidi ya Israel kwenye mahakama ya kimatiafa. Rais Chile amesema inachofanya Israel kuua watoto na wanawake haikubaliki kwa mtu yeyote mwenye akili timamu. Chile joins developing nations...
  15. Damaso

    Chapulines: Kitoweo cha Panzi kutoka Mexico

    Chakula ni kipengele muhimu cha maisha ya binadamu, ni bidhaa ambayo wakati mwingi huwa ni matokeo ya jitihada, riziki na starehe. Hata hivyo, linapokuja suala la uchaguzi wa mapishi, mapendekezo yanaweza kutofautiana sana kutoka kwa mtu hadi mtu. Ingawa watu wengine wanaweza kupata sahani...
  16. MK254

    Wahamiaji haramu wa kutokea China wajaribu kutumia Mexico kuingia Marekani

    Kila mtu anataka kuzamia Marekani, hata Wachina wambao tunaambiwa jinsi uchumi wao umeboreka..... Chinese migrants flock to U.S.-Mexico border on economic pressures Their encounters with American authorities jumped 10-fold in 2023 People from China and elsewhere who are suspected of illegally...
  17. Donnie Charlie

    Wafanyabiashara wa madawa ya kulevya wana nguvu sana (Video ipo chini)

    Jalisco New Generation Cartel au CJNG, ambayo zamani ilijulikana kama Los Mata Zetas, ni muungano wa uhalifu uliopangwa wa Mexico wenye makao yake makuu mjini Jalisco ambao unaongozwa na Nemesio Oseguera Cervantes, mmoja wa wafanyabiashara wanaotafutwa zaidi duniani...
  18. D

    MEXICO UFO HEARING ( uwepo wa viumbe vingine duniani )

    they have been discussion of aliens in Mexico congress under oath and here are the details and the Anatomy of the aliens as well as the dna analysis . They are over 1000 years old Here is dr salce in Swahili sehemu yake ya anatomia ilizungumzwa kibinafsi na Dk. Jose Salce Benitez ambaye...
  19. Zacht

    Mexico inataka kujiunga BRICS

    Mexico ambyo ni jirani wa karibu zaidi na marekani inafikiria kujiunga na muungano wa BRICS (Brazil, Russia, India, China, na Afrika Kusini) huku uhusiano wao na marekani ukiendelea kudhoofika chini ya utawala wa Joe Biden. === JUST IN: Mexico Considering Joining BRICS as Relationship Weakens...
  20. JanguKamaJangu

    Mexico: Watu 40 wafariki kwa moto katika kituo cha Wahamiaji

    Watu waandamana nje ya kituo cha wahamiaji cha Mexico baada ya moto kuzuka katika kituo hicho, Machi 28, 2023 Takriban watu 40 wamefariki na wengine 29 kujeruhiwa baada ya moto kuzuka katika kituo cha wahamiaji cha Mexico kwenye mpaka na Marekani. Kituo hicho katika Mji wa Mexico wa Ciudad...
Back
Top Bottom