Msanii Nguli, LUIZA MBUTU amedumu kwenye ndoa yapata miongo kadhaa sasa, Hana makeketofauti na wasanii wengi nchini.
Tumeshuhudia ndoa za wasanii wengi kutokudumu ikiwemo Harmonize Vs Kajala, Wema Vs Jumbe, UWOYA Vs Ndikumana, Dogo janja vs Uwoya, **esma Vs petit, esma (Tena) Vs msizwa, Haji Vs...