Habarini wana jamii wenzangu,
Tangu muda mrefu kumekuwapo na mjadala mrefu juu ya mfumuko wa bei, hasa kwa bidhaa za chakula. Wachambuzi wengi wamekuwa wakilaani jambo hili, hasa ndugu zetu waishio maeneo ya mjini.
Sasa mimi naomba kuelimishwa, kwani kila mfumuko wa bei ni hatari katika...