Unakuta mtu uko city centre kulingana na ubora wa nyumba yako anatokea mpangaji anakwambia sijui mbona kwa OMARY anapangisha chumba 50000 na vina umeme na maji wewe tu ndo unapangisha 60000.
kwa OMARY kwenyewe ndo hapo👆
alafu uje kwa ABDALAH 👇utake kupanga kwa bei hiyohiyo,,,,,.
kwa mfumuko...