1. Mgeni siku ya kwanza,
mpe mchele na panza,
mtilie kifuuni,
mkaribishe mgeni.
2. Mgeni siku ya pili,
Mpe maziwa na samli,
Mahaba yakizidia,
Mzidishie mgeni.
3. Mgeni siku ya tatu,
Nyumbani hamna kitu,
Mna vibaba vitatu,
Pika ule na mgeni.
4. Mgeni siku ya nne,
Mpe jembe akalime,
Akirudi...