Leo Juni 25, 2024 kuna mgomo mkubwa wa wafanyabiashara, maduka yafungwa Oneway, Majengo mitaa haina watu kabisa hali tete wananchi wanahaha.
CCM imechoka kwakweli.
Pia soma:
Mgomo wa Soko la Kariakoo, Juni 24, 2024
Mgomo wa Wafanyabiashara wahamia Mwanza, maduka yafungwa