Mimi ni mfanya biashara ya chakula cha mifugo kama pumba na mashudu.
Ukinunua mashudu au pumba,ili kusafirisha kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine inatakiwa kuwa na kibali ambacho kinatolewa na wizara kwa kuomba kwenye mfumo wa Mifugo Integrated Management Information System(mimis) ambao ulikua...