Milena Markovna "Mila" Kunis (; Ukrainian: Мілена Марківна Куніс; born August 14, 1983) is an American actress. In 1991, at the age of seven, she moved from Soviet Ukraine to the United States with her family. After being enrolled in acting classes as an after-school activity, she was soon discovered by an agent. She appeared in several television series and commercials, before landing her first significant role at age 14, playing Jackie Burkhart on the television series That '70s Show (1998–2006). Since 1999, she has voiced Meg Griffin on the animated series Family Guy.
Kunis's breakout film role came in 2008, playing Rachel in the romantic comedy Forgetting Sarah Marshall. She gained further critical acclaim and accolades for her performance in the psychological thriller Black Swan (2010), for which she received the Marcello Mastroianni Award for Best Young Actor or Actress, and nominations for the SAG Award and the Golden Globe Award for Best Supporting Actress. Her other major films include the action films Max Payne (2008) and The Book of Eli (2010), the romantic comedy Friends with Benefits (2011), the fantasy film Oz the Great and Powerful (2013) as the Wicked Witch of the West, and the comedies Ted (2012), Bad Moms (2016) and its sequel (2017).
Kukamatwa watu kula Mchana Zanzibar ~ Watanganyika wasio Waislamu wamezusha Mjadala.
Ni vyema tukafahamu ya kuwa MILA, DESTURI, SILKA na UTAMADUNI ni mfumo wa maisha kamili ya kila jamii. Zanzibar kwa karne nyingi imekuwa ikitajika na kusifika ikafikia kubandikwa jina Tolerance Country. Kwa...
Makabila haya mawili licha ya uzuri wao huws yanakitu kinaitwa Mori. Ukiwachokoza nje ya uvumilivu wao wanapanda mori wanakuwa kama wanyama. Akili zinakuwa hazipo anafanya chochote.
Kwa bahati mbaya licha ya kuwa na sifa hii hatarishi ambayo makabira mengine mengi hayana bado ndio wanaoongoza...
Naipenda sana BBC na Kwa kweli ni mfuatiliaji wa taarifa Kwa miaka na miongo kadhaa. Lakini Kwa Muda mrefu wamekuwa KERO Kwa kupitisha ajenda, tamaduni na Mila za ulaya na Amerika Kwa Waafrika.
Inakera sana Kwa sasa kila taarifa zao wasipotangaza mambo ya mashoga na wasagaji kipindi chao...
Hata wasukuma walioelimika waliachana na utamaduni huu lakini kuna baadhi ya maeneo bado unaendelea kwa kisingizio cha kudumisha mila,
Kuna baadhi ya maeneo ya wasukuma bado elimu ya kuachana na haya mambo haijafika kikamilifu, unawakuta wachungaji wa kisukuma wamevaa mavazi yao ya asili...
Kwema Wakuu!
Nasisitiza, vijana kama ulikuwa ni mpango wako kutaka kuoa mwaka huu kwa kutoa mahari. Sitisha! Usitoe mahari. Ila ni vizuri kwenda kujitambulisha kwao na kwenu. Kama kuna uwezekano fanyeni sherehe ndogo kulingana na uwezo wenu.
Kamwe Usitoe mahari. Mahari ni kununua binadamu...
Kumekuwa na kawaida ya kwenda kinyume na mila, utamaduni na desturi za kiafrika kunakotokana na harakati za kijamii miongoni mwetu.
Ni jambo jema watu kusaidiana, hasa tunapopata matatizo na hatuna uwezo wa kukabiliana nayo kwa wakati huo, lakini hilo lisiende kinyume na maadili yetu.
Baadhi...
Jeshi la Polisi mkoani Mara limesema halitasita kuwachukulia hatua kali wote watakaojihusisha na vitendo vya ukeketaji katika mkoa huo wakati wa likizo ya mwisho wa mwaka.
Musoma. Jeshi la Polisi mkoani Mara limetoa onyo kwa yeyote atakayejihusisha na vitendo vya ukeketaji wakati wa likizo ya...
KWA MAMBO HAYA ACHA VIJANA WA SASA WADHARAU MILA ZA WAZAZI NA WAZEE WAO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Vijana wa sasa wanaonekana kama hawana maadili lakini ukilinganisha na wazazi au Mababu zao utakuja kugundua vijana wa sasa wana maadili kuliko wazazi na wazee wao.
Taikon katika...
"Anayesoma ana mengi sana asiyoyaelewa, asiyesoma hana asichoelewa".
Kama umewahi kusikia kuona au kukutana na mila ambayo kwako ilikuwa ni ya ajabu au haijakukalia sawa lakini ulipoiona au kuikuta ilikuwa ni kitu cha kawaida, itupie uzi huu.
Pia tupia hapa mila ambazo kwako au kwenu ni...
Niliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.
Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa...
Angalia nyumbani kwenu, nyumbani kwako na kwenye familia yenu kama kuna demokrasia ya kiasi gani? Je, wazazi wamewapa watoto demokrasia ya kusema, kutenda na kuamua kiasi gani? Je, baba anaruhisiwa kumuoa mtoto wake? Je, baba anaweza kuvumilia matusi ya mtoto wake? Je, Binti anaweza kumleta...
Makabila yote hapa Afrika au nchi nyingine za Ulaya, Asia na Marekani, wanayo miiko, mila au desturi zilizozoeleka kiasi cha kurithiwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine.
Hapa Tanzania, kwa mfano, kuna mambo fulani ambayo ni mwiko kufanyika katika jamii na ikitokea mmoja wa wanajamii akaenda...
WATANI ZANGU SOMENI SHULE KAMA SISI KUONDOA MILA HIZI POTOFU
Mila ya ‘kumaliza msiba’ ni miongoni mwa mila kandamizi zinazoendelea katika baadhi ya makabila mkoani Mara inayotweza utu wa mwanamke anayetakiwa kujamiiana na mwanaume yeyote pindi anapofiwa na mumewe kwa madai ya kujisafisha...
1. Mwanamke ndio mwenye nguvu watoto ni wa mama na watoto wanawaheshimu wajomba sio wewe baba.
2. Mwanamke wa kiluguru ukimuoa kila mwaka lazima arudi kwao kucheza ngoma na huko lazima akutane na ma X wake agegedwe.
3. Waluguru wanapenda kuishi pamoja ukoo mzima yale maisha ya kijima ya zama...
UNAFIKI UNAOLETWA KWENYE MAMBO YA MILA NA DESTURI.
Anaandika, Robert Heriel.
Mtibeli.
Kwa kweli wengine unafiki ulitupita pembeni. Leo nitauelezea unafiki uliopo katika jamii yetu unaosemwa Kwa Wakubwa na wadogo. Sitamung'unya maneno. Hivyo kama unajiona una Roho nyepesi ingefaa upuuzie andiko...
Muandishi: N. D. Yongolo, 1953
Unaweza kukisoma ndani ya maktaba app. TuPm Kuungwa.
1 WATOTO
2 MICHEZO NA DESTURI ZA WATOTO
3 NDOA
4 DINI NA IMANI YA WANYAMWEZI
5 SHERIA NA HAKI KATIKA NCHI
6 UCHAWI 417 MATUMIZI YA DAWA
8 HOFU NA MIIKO YA VIFO
9 MAMBO YA POMBE 6510 MAMBO YA URITHI
11 JINSI...
MAHARI SIO LAZIMA, NI MILA POTOFU YA KUPIGWA VITA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Moja ya Mila potofu isiyo na maana ni suala la Mahari. Hakuna sababu hata Moja yenye Maana ya MTU kutoa Mahari ndipo akabidhiwe MKE au Mume. Ni ujinga tuu! Na jamii ambayo sio za kiungwana ndio hufanya desturi...
Siku moja kuna rafiki yangu wakaribu alifiwa na baba ake mdogo kama ujuavyo watanzania tuliowengi tunatabia yakushirikiana katika shida na raha basi siku ya maziko nilikaa pamoja na vijana wenzangu, tulikuwa tukipeana habari mbalimbali kama ujuavyo watu wa rika zinzofanana wanapokaa pamoja...
Juzi nimeenda kuzika rafiki yangu huko kijijini kwao, sasa utaratibu ni kua baada ya kuzika mkiwa hukohuko makaburini mzee wa kimila hua anasimama na kumtangaza atakayefuatia kufa.
Mzee huyo aliposimama....kwa kujiamini kabisa akajikoholesha... afu akasema mtu wa kwanza kuondoka eneo la kaburi...
MHE. MARY MASANJA - WATANZANIA WATAKIWA KUENZI MASHUJAA WA VITA VYA MAJIMAJI KWA KUHIFADHI MILA NA TAMADUNI
Watanzania wametakiwa kuendelea kuwaenzi Mashujaa wa Vita vya Majimaji kwa kuhifadhi mila na tamaduni zao kwa kufanya kazi kwa bidii, kulinda rasilimali za Taifa, kupambana na kuzuia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.