Milena Markovna "Mila" Kunis (; Ukrainian: Мілена Марківна Куніс; born August 14, 1983) is an American actress. In 1991, at the age of seven, she moved from Soviet Ukraine to the United States with her family. After being enrolled in acting classes as an after-school activity, she was soon discovered by an agent. She appeared in several television series and commercials, before landing her first significant role at age 14, playing Jackie Burkhart on the television series That '70s Show (1998–2006). Since 1999, she has voiced Meg Griffin on the animated series Family Guy.
Kunis's breakout film role came in 2008, playing Rachel in the romantic comedy Forgetting Sarah Marshall. She gained further critical acclaim and accolades for her performance in the psychological thriller Black Swan (2010), for which she received the Marcello Mastroianni Award for Best Young Actor or Actress, and nominations for the SAG Award and the Golden Globe Award for Best Supporting Actress. Her other major films include the action films Max Payne (2008) and The Book of Eli (2010), the romantic comedy Friends with Benefits (2011), the fantasy film Oz the Great and Powerful (2013) as the Wicked Witch of the West, and the comedies Ted (2012), Bad Moms (2016) and its sequel (2017).
MHE NDUGA, SPIKA MSTAAFU ALIVUNJA MILA NA DESTURI ZA CCM NDIYO MAANA WENGINE IMEWACHUKUA MDA KUELEWA.
Na Elius Ndabila.
0768239284
Kwanza nianze kwa kumpongeza Mhe Ndugai kwa kujiuzulu nafasi ya Uspika. Ametimiza moja ya nguzo mhimu kiongozi bora kuwa anapokosea anapaswa kuwajibika...
Salamu, Heri kwa siku kuu ya Krisimasi.
Ndugu zangu ,leo tunaadhimisha
Dominika ya Familia Takatifu.
Katika muktadha huo, nimependa tujadiliane juu ya malezi ya watoto wetu hasa kuwafundisha mila na desturi njema za wazee wetu.
Wazazi tunawajibu huo kwasababu wengi wetu tumeacha kuwafundisha...
Miaka mingi iliyopita nikiwa bado mdogo sana familia zetu yaani baba mkubwa baba baba zangu wadogo shangazi yangu walikua wana utaratibu wakukutana kila mwaka mwezi wa 12 ambambo walikua wanasherekea birthday ya baba yao na sikukuu za xmas na mwaka mpya hivyo hata sisi binamu na ndugu wengine...
Mila kandamizi zimetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la Ukatili dhidi ya Wanawake, na jambo hilo linapaswa kukemewa ili kumaliza Mila hizo
Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kimetaja baadhi ya Mila hizo kuwa ni pamoja na Wanawake kuzuiwa kufanya kazi Migodini kwa madai wanapokuwa...
kiukweli ili jamo kwa utanda wazi linaleta mambo magumu.
mahali za kimila na pande mbili kutaka kujuana ndio chimbuko la matatizo.
unakuta wazazi ni watanzania na mtoto ni china. ila kwa akili zetu zilivo jinga wazazi wanataka kwenda china kutoa mahali.
vijana wengi kizazi hiki tuanze nchi...
Rais Samia: Nakushukuru Waziri wa Maendeleo ya Afya, Jinsia, Wazee na Watoto pamoja na Uongozi wa baraza la Mashirika yasiyo ya kiserikali kwa kunialika kwenye mkutano huu wa mwaka wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali nataka nikiri kuwa nimefurahi sana kushiriki katika mkutano huu.
Rais Samia...
Wakati nasoma chachi histori mle ndani nilikuta vitu vya kushangaza na ilichukua miaka mingi kuelewa, zamani nyuma ya kalne ya 16 kule ulaya kulikuwa hakuna uhuru wa kuabudu, napo sikuelewa uhuru upi wa kuabudu kwani tayari Yulopa zilikuwa nchi za kikrito. Lakini baadaye nilielewa kuwa haya...
Rais Samia Suluhu Hassan leo Septemba 8, 2021 atashiriki Tamasha la Utamaduni, Mila na Desturi za Tanzania lililoandaliwa na Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) katika Viwanja vya Redcross - Magu, mkoani Mwanza.
UPDATES
- Katika Viwanja vya Redcross - Magu tukio linaendelea huku Machifu...
Mila na desturi zimetufundisha ya kwamba masuala ya rushwa ya ngono hayazungumzwi, hivyo tuvunje ukimya kuanzia ndani ya vyombo vya habari mpaka katika jamii yetu kwa kuwa tunajua tatizo lipo tulifanyie kazi liweze kumalizika" Dk Rose Reuben: Mkurugenzi Mtendaji - TAMWA
Takwimu za Ofisi ya...
Mambo vp jamiiforums.
Sisi wajaluo mila zetu zinamruhusu mwanaume kuoa wanawake mpaka watatu (3) waliozaliwa tumbo moja (mama yao mmoja). Mama wa kambo ambaye ni ndugu wa mama mzazi anatunza watoto wa dada yake kwa roho ya upendo sana kuliko mama wa kambo ambaye si ndugu.
Wale mliolelewa na...
Muacha mila ni mtumwa lakini kuna baadhi ya mila zinazoendelezwa Afrika ambazo ni nzuri na zinawafanya Waafrika kutambua urithi wao kitamaduni lakini nyingine ambazo zitakushangaza.
Baadhi ya mila hizo zimetajwa kama dhalilishi au zinazokiuka haki za kimsingi za binadamu.
Leo tunaangazia...
Kula katika sahani moja kulijenga upendo na uaminifu. Mtu unaekula nae sahani moja kila siku ni rahisi kumkukumbuka ukaribu wenu mmoja ajipata matatizo.
Leo hata vijijini mtaoakuliwa kila mtu kwenye sahani yake.
Renatus Charles Hangaya ndio jina lake mzaliwa wa Kahama mkoani Shinyanga mwaka 1980. Alifukuzwa shuleni kwa hujuma za kifamilia sababu kuu ikiwa mali za mzee wake.
Kwenye historia amesema alikuwa kamanda wa scout wa kikosi cha Simba, walipelekwa camp Uganda 1994 na kuweza kuwika Afrika kiasi...
Umri wa kuishi huchangiwa na maisha yako ya kila siku. Kuanzia vyakula, pombe, mazingira unayoishi kama ni sehemu yenye hewa safi utaepukana na magonjwa yanayoathiri mfumo wa upumuaji.
Kuna muandishi mmoja alisema maisha unayoishi yanatabiri maisha yako miaka kumi mbele. Maana yake kama wewe...
Je, umewahi kusikia kuwa wachaga pindi wapendwa wao wanapofariki basi baada ya muda fulani kupita huenda kufukua mabaki ya miili ya maiti wao kisha kuwahifadhi sehemu maalumu?
Kwanza kabsa nchi yetu imebarikiwa kwa kuwa na makabila tofauti tofauti ambayo yametofautiana katika mila na desturi...
Mila na desturi zinatajwa kuwa miongoni mwa changamoto katika shughuli za kupambana na ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Utamaduni ambao wananchi wameuzoea umekuwa ukirudisha nyuma jitihada mbalimbali za kujikinga na maambukizi.
Jinsi shughuli za...
Bhanamhala mhu le mhola hene?
Uzi huu mahususi wa kushare ama kushirikishana nyimbo zozote za kisukuma ili kudumisha mila na tamaduni zetu.
Kwa sababu wasukuma tunasifika kwa kuwa wapole na wakarimu. basi uzi huu unaruhusu pia makabila mengine kuweka nyimbo zilizoimbwa kwa lugha zao ili tuweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.