Habari za wakati huu Wana JF.
Leo nimerudi tena Ndugu Zanguni, Nauza Milango MITANO (5) ya MNINGA.
Ni mipya kabisa, bei ni tsh Laki mbili na elf hamsini (250,000/=) kwa mlango MMOJA. Maongezi yapo KIDOGO.
Napatikana TABATA KINYEREZI Dar Es Salaam
Karibuni SANA 0768 838320.
Kwa anayeitaji...