mishahara

  1. Nyongeza ya mishahara TUCTA wamasema wamepokea malalamiko, watatoa tamko

    Rais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao. Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea...
  2. J

    Watumishi: Hayati Magufuli hakupandisha mishahara mlilalamika, Rais Samia kapandisha mishahara mnalalamika. Hivi mpoje nyie?

    Watumishi wa Umma nchi hii hawajitambui kabisa. Hayati Magufuli aliwapunguzia kodi ili mishahara yao iboreke wakalamika sana. Leo Rais Samia ameongeza moja kwa moja ile Gross salary bado wanalialia Nyie watumishi mkoje lakini? Mnataka nini?
  3. J

    Unaweza kukuta kodi na Tozo tunazolipa zinaishia kulipa Mishahara na Posho za Watumishi!

    Nipo hapa Mwenge nafanya utalii wa ndani kwenye Stendi mpya ya Daladala. Kwa haraka haraka naona hapa patahitajika mwekezaji wa kumalizia kama ilivyokuwa pale Stendi ya Makumbusho Ndugu zangu juzi kodi na Tozo tunazolipa zinaishia wapi? We
  4. S

    Mdee na wenzake, hawawezi amriwa na Mahakama warudishe mishahara na posho walizolipawa pasipo kustahili wakishindwa kesi?

    Iwapo kesi hii haitoingiliwa, na Mahakama ikawa huru, huku hukumu ikiwa ni Mdee na Wenzake hawakuwa wabunge halali. Je, Mdee na Wenzake, hawawezi kutakiwa na Mahakama kurudisha fedha za ubunge walizolipwa pasipo kustahili?
  5. Wastafu wenye vyeo vikubwa na mishahara minono huteuliwa kazi zingine ila watumishi ngazi za chini sasa wanakatwa mafao yao

    Tuache haya ya Mabeyo na mtego wa Loliondo. Rudi kwa akina Anna Makinda, Pius Msekwa, Jaji Warioba na Wengine wengi. Walikuwa wanasiasa wenye mafao bora kabisa ya Ubunge ambayo hupewa yote kwa mkupuo. Na wengine hupokea mafao bora kila mwezi yani asilimia 80 ya mshahara wa Waziri Mkuu au Spika...
  6. Mishahara ya Ngorongoro Conservation Area huwa ni kiasi gani?

    Habari wakuu. Tafadhali naomba msaada kujua mishahara ya ngorongoro conservation area? Naomba kujua hasa NCAA 3, NCAA 4 na NCAA 5. Na je hili jeshi usu huwa inachukua muda gani kuhitimu. Asanteni sana🙏🏾
  7. L

    Mishahara ya Non teaching staff vyuo vikuu ikoje?

    Mfano: Ngazi ya degree Admission officer Examination officer Warden e.t.c Ahsante
  8. Ingekuwa vizuri Serikali ipange mishahara ya wabunge kwa kufuata viwango vya elimu zao

    Ingekuwa vizuri Serikali ipange mishahara ya wabunge kwa kufuata viwango vya elimu zao. Bunge letu tukufu hupata wabunge wa viwango tofauti tofauti vya elimu kama ifuatavyo: 1. Elimu ya darasa la saba 2. Elimu ya kidato cha nne. 3. Elimu ya kidato cha sita 4. Elimu ya...
  9. B

    Kwanini Hayati Magufuli aliwapunguzia mishahara watumishi wa TMAA?

    Wakuu habari Baadhi ya Mambo yaliyofanywa na marehemu Magufuli bado yananishangaza. Hivi ni kwanini alitoa amri ya kuwapunguzia mishahara watumishi halali wa serikali. Kosa lao kubwa ilikuwa na nini. Mama ameamu kutowaonea watu, ni Bora mama aliangalie hili na ikimuwia vema awarudishie...
  10. The state: Hakikisheni kwenye Katiba Mpya, mishahara na posho za kwenye siasa zinapunguzwa Sana na kuelekezwa kwenye miradi ya umma

    Wakuu Binafsi sielewi ni nani HASA alieamua kuwa kazi ya siasa ndio iwe na malipo na posho kubwa sana kuliko taaluma nyingine yeyote hapa nchini. Wataalamu wa taaluma mbali mbali wameacha kada zao na kukimbilia siasa kuliko kujikita kwenye taaluma zao na kutuhudumia wananchi! maprofesa wa...
  11. S

    Vyuo Vikuu Binafsi vinalipa mishahara midogo sana

    Kichwa cha habari chahusika. Vyuo vikuu binafsi nchi hii ambavyo vingi vinamilikiwa na taasisi za dini wanalipa wahadhiri wao mishahara midogo sana. Huwezi amini mishahara ni midogo kuliko hata walimu wa shule za sekondari. Kwa mfano Mhadhiri msaidizi analipwa Tsh Milioni moja kabla ya makato...
  12. S

    Mtazamo: Baada ya mishahara na posho za wafanyakazi kuongezwa, sitashangaa kuona mishahara na posho za wabunge nazo zikiongezwa

    Wakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara.. Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni...
  13. D

    Wafanyakazi wa umma wanaongezewa mishahara. Je, mimi mwananchi wa kawaida nitafaidi nini na fedha za Serikali yangu?

    Wapendwa, hongereni kwa kazi. Najaribu kufikiri kwa kina, kisha naishia kujiuliza maswali yasiyo na majibu. Najiuliza; Fedha au mali za umma ni kwa ajili ya Watanzania wote bila kujali tofauti yoyote. Je, Wafanyakazi wa umma kuongezewa mishahara kwa fedha za umma na Watanzania wengi zaidi ya...
  14. L

    Naomba kujuzwa mishahara ya HRM

    Wadau nataka kufahamu mishahara ya maafisa utumishi kwa level ya degree inaanzia garaja gani
  15. Karani: Ongezeko la mshahara(23.3%) litaniwezesha kumjengea baba yangu nyumba na kumnunulia gari. Bulembo asema mishahara haikuongezwa miaka 6

    Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lililotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali. Akijitolea mfano yeye...
  16. Unaposhangilia kuongezwa kwa Mishahara Usisahau kwamba Umepigwa kwenye Kikokotoo cha mafao

    Nawasalimu kwa jina la JMT. Watumishi wa Umma wako busy kushangilia ongezeko la mishahara kwa kima cha chini huku wakisahau kwamba wamepigwa kwenye Kikokotoo. Ongezeko litasaidia nini ikiwa ukistaafu unapewa pesa kidogo ya asilimia 33.33% tuu? Kwa hiyo hapa mtu anaifanyia Kazi serikali.Juu...
  17. Ni kweli kwamba watumishi wasiopitishia mishahara yao benki ya CRDB hawana nafasi ya mikopo katika benki hiyo?

    Hili suala nimelisikia sehemu ndugu zangu wanajamii forum kwa mnaojua ukweli wa suala hili Basi mtujuze tusiojua vizuri.
  18. Umasikini na ongezeko la mishahara

    masikini ni yule anayejitahidi kutokuonekana masikini. Akipata 10000 akanywee pombe 7000, elfu 3 anunue vocha na chai kesho yake Akipata elfu 5 anunue chakula cha elfu 3, vocha mia 5 na hela ya daladala Hali hii ipo wired kwenye akili za watu katika makuzi. Umezaliwa hivyo na utakuwa hivyo...
  19. J

    Hayati Magufuli alisitisha ongezeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa Bwawa la Nyerere

    Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere. Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine. CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
  20. Angalia picha: Mabehewa ya treni za SGR yanatengenezwa, barabara zinajengwa, meli, madaraja, na mishahara inaongezwa

    Balozi akikagua Mabehewa ya SGR, miradi inaendelea, na watumishi wanaangaliwa maslahi. Awamu Ile ilikwama wapi!? Au korosho ziliwajaa rohoni? Soma pia: Uzi mkuu unaoonesha yaliyojiri kwenye mradi wa SGR tangu kuanza kwake mpaka mradi ulipofikia hivi sasa
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…