hapa nazungumzia wale wanatongozeana kupitia mitandao ya kijamii,, maisha yao huwa hivi,,
1)baada ya kukubaliwa ombi mawasiliano huwa matamu sana
2)baada ya kupeana mautamu kwa mara ya kwanza
3)mlipo agana kila mtu kwake 【mikoa tofauti】kila mmoja atakuwa anakesha na simu kukufatilia kama...