Kuna wasiaminini , walisema Mungu haonekani, hasikilikani, hupati hisia ya harufu yake, wala hisia ya aina yoyote ya uwepo waje . Kwa hivyo hakuna Mungu.
Jibu alilojibiwa
Jee hayupo au humjui kutokana na upeo wenu mdogo?
Wakaulizwa twambieni, ndani ya chumba kinachofuata mnajua mnanini...