mji

Stone Town of Zanzibar (Arabic: مدينة زنجبار الحجرية‎), also known as Mji Mkongwe (Swahili for "old town"), is the old part of Zanzibar City, the main city of Zanzibar, in Tanzania. The newer portion of the city is known as Ng'ambo, Swahili for 'the other side'. Stone Town is located on the western coast of Unguja, the main island of the Zanzibar Archipelago. Former capital of the Zanzibar Sultanate, and flourishing centre of the spice trade as well as the slave trade in the 19th century, it retained its importance as the main city of Zanzibar during the period of the British protectorate. When Tanganyika and Zanzibar joined each other to form the United Republic of Tanzania, Zanzibar kept a semi-autonomous status, with Stone Town as its local government seat.
Stone Town is a city of prominent historical and artistic importance in East Africa. Its architecture, mostly dating back to the 19th century, reflects the diverse influences underlying the Swahili culture, giving a unique mixture of Arab, Persian, Indian and European elements. For this reason, the town was designated as a UNESCO World Heritage Site in 2000.Due to its heritage, Stone Town is also a major visitor attraction in Tanzania, and a large part of its economy depends on tourism-related activities.

View More On Wikipedia.org
  1. Ndebile

    ISIS Wameuteka Mji wa Palma Kaskazini mwa Msumbiji

    Habari ya hivi punde kutoka kituo cha televisheni cha France24, Mungu ibariki Msumbiji, Mungu ibariki Afrika.
  2. comte

    Mama amkataliwa kijana wake kulala kitanda kimoja na mke wake kwenye mji wake waliko kwenda kuomba hifadhi baada ya mafuriko

    https://www.yahoo.com/news/woman-blown-away-mother-law-183710718.html
  3. MK254

    Jameni Westlands ya Nairobi imekuwa mji kivyake, kuna mtu humu aliwahi kuilingansha na Kariokoo ya Dar

    Kwa mnaofahamu Kariokoo ya Bongo, hivi kwa akili timamu unaweza ukalinganisha na hii picha hapa chini, na ifahamike hili ni eneo nje ya mjini, lipo lenyewe, hii labda uilinginishe na Kigali ya Rwanda. One Africa Place Building in Westlands, Nairobi Nairobi’s Westlands area is regaining its...
  4. Erythrocyte

    Mbeya: Wenye nyumba za tope mjini kuhamishwa

    Agizo hilo limetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Mh. Mariam Mtunguja alipokuwa anazungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri hiyo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani. "Ni aibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope " Alisema.
  5. N

    Wengi hatuifahamu Chato kumbe, tunaponda tu! Makusanyo ya zaidi ya bilioni 40 si mji mchache!

    Hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea. Wengi nafikiri hatukulifikiria hili. Source: Star Tv (habari saa 2)
  6. Edsger wybe Dijkstra

    Mji wa Mwanza umekuwa na Joto kali sana

    Wajomba na mashangazi hamjambo? Natumaini mko poa. Ivi wakazi wa mwanza pamoja na wale ambao mmeutembelea mji huu siku za karibuni hamjagundua kuwa jua limekua kali sana likiambatana na joto la kufa mtu katika mji huu? Nimeishi Mwanza toka mwaka 2000 hali haikua ivi , kuna mabadiliko makubwa...
  7. N

    Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mji mdogo wa Masumbwe Mbogwe

    Katika ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 27 January 2021 katika uzinduzi wa Kituo cha afya cha Masumbwe, Mh. Mbunge wa Jimbo la Mbogwe ndg. Nikodemas Maganga ameweka wazi Mambo yanayofanyika Mbogwe. Mh. Rais amewapongeza wananchi wa Mbogwe kwa kuwachagua...
  8. uran

    Ni kwanini mji wa Moshi hauna taa za barabarani za kuongoza Magari?

    Wakuu imebidi niuize ili nijue. Ni kwanini mji wa Moshi ambao ndio makao makuu ya Mkoa wa Kilimanjaro hauna taa za kuongozea magari, ili hali miji midogo kama Singida, Shinyanga na Babati naona wameweka taa za kuongoza magari. Ifahamike kuwa mpaka sasa Manispaa ya Moshi ndio manispaa...
  9. Miss Zomboko

    Uvutaji sigara kwenye maeneo ya wazi umepigwa marufuku katika mji wa Milan nchini Italia

    Uvutaji sigara kwenye maeneo ya wazi umepigwa marufuku katika mji wa Milan nchini Italia. Kulingana na uamuzi wa Manispaa ya Milan, uvutaji sigara hautaruhusiwa katika maeneo ya wazi, bustani za umma, viwanja vya michezo, makaburi na vituo vya mabasi endapo kutakuwa watu wengine waliosimama...
  10. B

    Mji wa Tabora sawa na "Toronto"

    January 20, 2021 TABORA TANZANIA (Unreported) Nimefarijika sana kuona youtuber akifanya kazi nzuri kuitangaza Tanzania na miji yake kwa waTanzania na ulimwengu kwa ujumla. Tulikuwa tunamsikia Regional Commssioner wa zamani wa mkoa wa Tabora mzee Aggrey Mwanri akituambia kupitia vyimbo vya...
  11. MANG'ONYI

    DUWASA mamlaka inayoshindwa kuhudumia mji wa Dodoma

    Ni wiki ya tatu sasa maji hayapatikani maeneo mengi ya mji wa Dodoma hasa Ilazo, Nzuguni na Kisasa. Waziri wa maji amemtumbua mkurugenzi wa DUWASA mhandisi Pallangyo mara tu baada ya kuapishwa lakini tatizo inaonekana ni zaidi ya huyo Mkurugenzi kwani shida ya upatikanaji wa maji iko pale pale...
  12. Magari ya Biashara

    Tunauza Viwanja na Mashamba kwa bei nafuu

    Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga. Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje. Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji. Nauza 1,000,000 Kwa Heka 1. DIRECTION YA SHAMBA LILIPO Ukiwa...
  13. kbm

    Saudi Arabia yatangaza kujenga mji bila barabara

    Ujenzi huo utaanza miezi minne ya mwanzoni mwa mwaka huu wa 2021. Usafiri wote wa umma utakuwa chini. Mwanamfalme Salman ametangaza lengo lake la kuanzisha mradi wa ujenzi wa mji usiokuwa na barabara na usioruhusu magari na kutoa maelezo ya taarifa hiyo siku ya Jumapili. Kwa mujibu wa mwana...
  14. Red Giant

    Kupanga mji ni ustaarabu tu wala siyo utajiri. Cheki hiki kijiji huko Mbeya.

    Hiki kijiji kinaitwa Ifumbo. Kipo wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya. Kimepangwa vizuri sana kuliko sehemu nyingi za jiji la Mbeya. Watu wa mipango miji na vijiji vingine viende vikajifunze kabla hawajachafua maeneo yao. Weka picha ya kijiji kilichopangika vizuri.
  15. Faana

    Morogoro: Stand ya Daladala kuhamishiwa kilomita 2+ kutoka katikati ya mji ni kero kwa Wananchi

    Ndugu wanajamvi, Nimefika mjini Morogoro kwenye hekaheka zangu nikashangazwa na kitendo cha kuhamishia stand ya daladala kutoka katikati ya mji na kuipeleka karibu na Chuo Kikuu cha Sokoine umbali wa kama Km 2+. Ni jambo jema kuboresha huduma kwa jamii kutokana na kukua kwa mji, lakini...
  16. Kinyungu

    Barabara ya Ujerumani kupewa jina la mwanaharakati wa Tanzania, Lucy Lameck. Alikuwa Waziri wa 1 mwanamke wa Tanzania

    Barabara hiyo ya Wissmannstraße inatarajiwa kubadilishwa jina mwaka ujao Madiwani katika mji mkuu wa Ujerumani , Berlin wamepiga kura ya kuondoa jina la barabara moja linalompatia heshima gavana mmoja wa nyakati za ukoloni katika eneo la Afrika mashariki aliyeshutumiwa kwa kuagiza mauaji na...
  17. Analogia Malenga

    Mzozo wa Tigray Ethiopia: Waziri mkuu aamuru mashambulio dhidi ya mji wa Mekele

    Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amesema ameanzisha "awamu ya mwisho" ya operesheni ya kijeshi katika jimbo la Tigray kwanza kushambulia mji mkuu wa jimbo hilo, Mekelle. Amesema wanajeshi watajaribu wasiwajeruhi raia na wito kwa watu katika mji huo kusalia majumbani mwao. Hatua hilo inajiri...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Historia fupi ya Kilwa katika maandishi

    Kilwa Kisiwani ni jina la kijiji kikubwa kwenye Kisiwa cha Kilwa karibu na mji wa Kilwa Masoko katika Mkoa wa Lindi, Tanzania. Ndipo mahali pa mji wa Kilwa ya kihistoria iliyokuwa mji mkubwa kabisa kati ya miji ya Waswahili katika pwani la Afrika ya Mashariki wakati wa karne za 12-15 BK. Kwa...
Back
Top Bottom