mkandarasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Sheriff

    KERO Kunani matengenezo ya barabara Getifonga-Mabogini-Kahe? Adha ya vumbi, vifusi, barabara hazipitiki na vifaa mmeondoa saiti. Tunataka maelezo

    Mkandarasi aliyepewa tenda ya kutengeneza barabara ya kilometa 31 ya Geti Fonga-Mabogini-Kahe wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro anasababisha kero kwa wakazi wa maeneo inapopita barabara hiyo. Mkandarasi huyo ni Lenana Holding Company Limited yenye makao makuu yake jijini Arusha. Kero...
  2. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Ambana Mkandarasi Kasi Ndogo Ujenzi wa Barabara ya Nyamwage - Utete

    BASHUNGWA AMBANA MKANDARASI KASI NDOGO UJENZI WA BARABARA YA NYAMWAGE - UTETE Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa hajaridhishwa na usimamizi na kasi ya ujenzi wa wa barabara ya Nyamwage - Utete (km 33.7) kwa kiwango cha lami na kumuagiza Meneja wa Wakala ya Barabara (TANROADS) Mkoa wa Pwani...
  3. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Amkabidhi Mkandarasi Ujenzi wa Barabara Kyerwa - Omurushaka (Karagwe)

    BASHUNGWA AMKABIDHI MKANDARASI UJENZI WA BARABARA KYERWA - OMURUSHAKA (KARAGWE). Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemtambulisha kwa Wananchi na kumkabidhi eneo la mradi Mkandarasi Kampuni ya Shandong Luqiao Group atakayeanza ujenzi wa barabara ya Kyerwa - Omurushaka (km 50) kwa kiwango...
  4. S

    Mkandarasi wa barabara ya Mbeya mjini inayokwenda kwenda Zambia amesusa kutokana na kutolipwa na serikali?

    Wakuu, weekend hii nimeingia Mbeya kwa ku-drive toka Dar, na nikashangaa sana kukuta maendeleo kidogo sana ya ujenzi wa hii barabara ya kwenda Tunduma hadi Zambia toka nitembelee hapa miezi minne iliyopita. Nimeuliza wenyeji kwa nini kasi ya ujenzi wa barabara hii uko chini kiasi hiki...
  5. Roving Journalist

    Kamati ya Bunge yamtaka Mkandarasi kumaliza ujenzi wa Uwanja wa Ndege Mikumi kwa wakati

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imemuelekeza Mkandarasi wa mradi wa ujenzi wa kiwanja cha ndege Kikoboga katika Hifadhi ya Taifa Mikumi, Badr East Africa Enterprises Ltd. wenye gharama ya Sh. Bilioni 20.6 kuongeza kasi ili kukamilisha mradi huo kwa wakati. Ujenzi huo...
  6. A

    KERO Askari wanatukamata Wafanyakazi wa SGR kisa tumesema Mkandarasi hajaingiza malipo yetu ya NSSF

    Sisi Wafanyakazi wa Ujenzi wa SGR kwa hapa Lot 1 ambayo inahusisha Dar – Moro baada ya kulalamika kuhusu Mkandarasi Mkuu, Yapi Merkezi kuwaondoa watu kazini kwa gia ya likizo huku wakiwa hawatulipi stahiki zetu ikiwemo, malipo ya NSSF, kumeibuka baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi wanatukamata...
  7. Roving Journalist

    DC Mboni Mhita: Mkandarasi aliyeng'oa milango kisa deni aliirudisha na shughuli zinaendelea kama kawaida

    Imeelezwa kuwa milango ambayo iling’olewa na Mkandarasi katika Kituo cha Afya cha Bulige, Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, ilirejeshwa na shughuli zinaendelea kama kawaida. Awali Mkandarasi aling’oa milango kwa madai ya kuwa hajalipwa gharama za kazi yake kutoka kwa Ofisi ya Mkurugenzi, Mkuu...
  8. Roving Journalist

    Wafanyakazi wa SGR (Lot 1) wafanya mgomo, washinikiza Mkandarasi awalipe stahiki zao ikiwemo NSSF

    Wafanyakazi wa SGR - Lot 1 wameamua kufanya mgomo wakishinikiza malipo yao ya NSSF kuingizwa kwenye akaunti Pia soma ~Yapi Merkezi: Hakuna Mfanyakazi wa SGR atakayefutwa kazi bila kulipwa stahiki zake ikiwemo NSSF ~ Mkandarasi wa SGR (Yapi Merkezi) anawaondoa Wafanyakazi kwa gia ya kuwapa...
  9. Li ngunda ngali

    Huyo Naibu Meya wa Kinondoni ninayo hakika hatomsahau huyo Mkurya

    Jibu moja tu na hakutaka kupepesa aisee! Heraaaaa!
  10. M

    Huko mtaani, wilayani kwako ni mradi gani wa serikali kama ni barabara kiwango cha lami, kiwango cha tope mkandarasi anaendelea na ujenzi?

    Nyie chawa mko na shida sana. Niwaulize hivi kwanini Bakhresa, Rostam hatuoni wakihangaika kumsifia Samia. Hivi ni serikali gani inayohitaji kusifiwa kutokana na ufugaji wa pesa hadi kupelekea kushindwa kuwalipa Wazayuni kwa miezi mi3 sasa. Tokea june 30 mfumo wa malipo wa serikali daktari wa...
  11. BigTall

    Mkandarasi wa SGR (Yapi Merkezi) anawaondoa Wafanyakazi kwa gia ya kuwapa likizo ya lazima, pia hajaingiza malipo ya NSSF

    Sisi Watumishi wa SGR ambao tupo chini ya Mkandarasi Mkuu wa mradi huo, Yapi Merkezi tunasikitishwa na kitendo cha Muajiri wetu kupunguza Wafanyakazi kwa gia ya kuwapa likizo ya lazima. Uongozi wa SGR Lot One inayoanzia Dar es Salaam kwanza ulitutaka kwenda likizo ya miezi minne, wengine...
  12. James Hadley Chase

    DOKEZO Mkandarasi ang'oa milango ya kituo cha afya cha Bulige akilalamika kutolipwa pesa zake

    Muonekano wa milango ya kituo cha afya Bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo Muonekano wa milango ya kituo cha afya bulige baada ya kung'olewa na...
  13. Kitotole

    Wimbo: Blessure D'amour {jeraha La Mapenzi} Mwimbaji: Madilu System :1993 Tafsiri: Sule Mkandarasi

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : BLESSURE D'AMOUR {𝙅𝙚𝙧𝙖𝙝𝙖 𝙡𝙖 𝙢𝙖𝙥𝙚𝙣𝙯𝙞} 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU SYSTEM :1993 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI ~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~ 𝙒𝙞𝙫𝙞...𝙒𝙞𝙫𝙪...𝙒𝙞𝙫𝙪...𝙋𝙞𝙣𝙙𝙞 𝙬𝙞𝙫𝙪 𝙪𝙣𝙖𝙥𝙤𝙥𝙞𝙩𝙞𝙡𝙞𝙯𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙞𝙠𝙪𝙩𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙜𝙤𝙢𝙗𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙢𝙬𝙖𝙖𝙣𝙖𝙪𝙢𝙚/𝙢𝙬𝙖𝙣𝙖𝙢𝙠𝙚 𝙪𝙩𝙖𝙠𝙖𝙮𝙚𝙢𝙪𝙤𝙣𝙖 𝙖𝙢𝙚𝙨𝙞𝙢𝙖𝙢𝙖 𝙣𝙖 𝙢𝙬𝙚𝙣𝙯𝙖 𝙬𝙖𝙠𝙤. 𝙈𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙯𝙖𝙞𝙙𝙞 𝙪𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖...
  14. Roving Journalist

    Bashungwa: Mpasuko Barabara ya BUSUNZU - KIGOMA sio makosa ya Mkandarasi, hakuna upigaji, ni sababu za Kigeolojia

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa uchunguzi umebaini mpasuko wa ardhi na kuporomoka kwa tuta la barabara uliojitokeza katika eneo la Busunzu lenye urefu wa mita 200 haijatokana na makosa ya Mkandarasi kwenye ujenzi bali umesababishwa na sababu za kigeolojia. Amebainisha kuwa...
  15. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa: Nitakuja Kumkabidhi Mkandarasi, Ujenzi wa Lami ya Barabara ya Omurushaka - Kyerwa

    NITAKUJA KUMKABIDHI MKANDARASI, UJENZI WA LAMI BARABARA YA OMURUSHAKA - KYERWA: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) imeshampata Mkandarasi wa kuanza Ujenzi wa barabara ya Omurushaka – Kyerwa kwa kiwango cha lami ambapo...
  16. Kitotole

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: MARIO 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: MADILU & FRANCO 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: SULE MKANDARASI

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: MARIO 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: MADILU & FRANCO 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: SULE MKANDARASI 𝙈𝙖𝙧𝙞𝙤 𝙣𝙞 𝙟𝙞𝙣𝙖 𝙡𝙖 𝙠𝙞𝙟𝙖𝙣𝙖 𝙖𝙣𝙖𝙮𝙚𝙥𝙚𝙣𝙙𝙖 𝙠𝙪𝙡𝙚𝙡𝙚𝙬𝙖 /𝙠𝙪𝙞𝙣𝙜𝙞𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙢𝙖𝙝𝙪𝙨𝙞𝙖𝙣𝙤 𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙬𝙖𝙠𝙚 𝙬𝙖𝙡𝙞𝙤𝙢𝙯𝙞𝙙𝙞 𝙪𝙢𝙧𝙞. 𝙆𝙬𝙖 𝙣𝙮𝙖𝙠𝙖𝙩𝙞 𝙝𝙞𝙯𝙞 𝙠𝙬𝙖 𝙝𝙖𝙥𝙖 𝙏𝙯 𝙫𝙞𝙟𝙖𝙣𝙖 𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙩𝙖𝙗𝙞𝙖 𝙯𝙖 𝙣𝙖𝙢𝙣𝙖 𝙝𝙞𝙞 𝙬𝙖𝙢𝙚𝙥𝙚𝙬𝙖 𝙟𝙞𝙣𝙖 𝙟𝙞𝙥𝙮𝙖 𝙣𝙖 𝙠𝙪𝙩𝙖𝙢𝙗𝙪𝙡𝙞𝙠𝙖 𝙠𝙖𝙢𝙖 "𝙆𝙞 𝙗𝙚𝙣 𝙩𝙚𝙣". 𝙆𝙬𝙖...
  17. Kitotole

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: Djodjo ngonda wa Wenge musica bcbg

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: DJODJO NGONDA 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: WENGE MUSICA BCBG 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍 : SULE MKANDARASI ^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^ 𝙒𝙖𝙠𝙖𝙩𝙞 𝙢𝙬𝙞𝙣𝙜𝙞𝙣𝙚 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙨𝙖𝙛𝙖𝙧𝙞 𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙝𝙪𝙨𝙞𝙖𝙣𝙤 𝙝𝙪𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙩𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙪𝙠𝙖𝙟𝙞𝙠𝙪𝙩𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙗𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞 𝙢𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙪𝙢𝙚𝙖𝙣𝙜𝙪𝙠𝙞𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙥𝙚𝙣𝙯𝙞 𝙯𝙞𝙩𝙤 𝙠𝙬𝙖 𝙢𝙩𝙪 𝙖𝙨𝙞𝙮𝙚𝙟𝙖𝙧𝙞 𝙝𝙞𝙨𝙞𝙖 𝙯𝙖𝙠𝙤 𝙣𝙖 𝙝𝙞𝙫𝙮𝙤 𝙪𝙠𝙖𝙟𝙞𝙠𝙪𝙩𝙖 𝙪𝙢𝙚𝙗𝙖𝙠𝙞 𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙣𝙞...
  18. L

    David Kafulila ni Mkuu wa Mkoa Pekee Nchini ambaye amewahi kumpa Amri Mkandarasi kurudia Barabara kwa gharama zake

    Ndugu zangu Watanzania, Napowaambia kuwa David Kafulila ni Chuma nakuwa namaanisha ni CHuma kwelikweli na Mzalendo wa dhati Wa Taifa letu,ambaye huwa hayumbi wala kuyumbishwa wala kutetereshwa wala kuogopa wala kupoozwa wala kuangalia ni nani anayepambana naye au aliye mbele yake. Chuma David...
  19. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Suma Fyandomo Alia na Barabara ya Mbeya, Ataka Mkandarasi Apewe Fedha kwa Wakati

    MBUNGE SUMA FYANDOMO Alia na Barabara ya Mbeya, Ataka Mkandarasi Apewe Fedha kwa Wakati "Nampongeza Waziri Bashungwa, anafanya kazi nzuri sana, anaitendea haki Wizara ya Ujenzi, endelea na moyo wako huo unaokutuma kufanya kazi za Watanzania, sina mashaka na wewe unafanya kazi kubwa sana...
  20. Kitotole

    Tafsiri ya wimbo 'Centieme dossier' wa Fally Ipupa

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : Centieme dossier 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : FALLY IPUPA 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI "𝙅𝙚 𝙠𝙪𝙢𝙥𝙖𝙩𝙖 𝙢𝙬𝙚𝙣𝙯𝙖 𝙨𝙖𝙝𝙞𝙝𝙞 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙞𝙨𝙝𝙞 𝙣𝙖𝙮𝙚 𝙣𝙞 𝙗𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞 𝙖𝙢𝙖 𝙟𝙞𝙩𝙖𝙝𝙖𝙙𝙖 𝙯𝙖 𝙢𝙩𝙪?? 𝙅𝙞𝙗𝙪 𝙗𝙖𝙠𝙞 𝙣𝙖𝙡𝙤. 𝙄𝙡𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙝𝙞𝙠𝙞 𝙠𝙞𝙗𝙖𝙤 𝙩𝙪𝙣𝙖𝙖𝙢𝙗𝙞𝙬𝙖 𝙠𝙬𝙖𝙢𝙗𝙖 𝙠𝙪𝙣𝙖 𝙢𝙩𝙪 𝙖𝙢𝙚𝙥𝙞𝙩𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙢𝙖𝙝𝙪𝙨𝙞𝙖𝙣𝙤 𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞 𝙩𝙖𝙠𝙧𝙞𝙗𝙖𝙣𝙞 99 𝙗𝙞𝙡𝙖 𝙢𝙖𝙛𝙖𝙣𝙞𝙠𝙞𝙤, 𝙞𝙡𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚...
Back
Top Bottom