Bandari haijakodishwa , bali imeporwa.
Kama ingekuwa imekodishwa tungeambiwa inakodishwa kuanzia lini mpaka lini, na malipo ya mwenye mali yatakuwa kiasi gani, na aliyekodi atabakia na nini wakati ikiwa imekodishwa.
Kuna yeyote ameona kwenye mkataba tumekodisha kwa kiasi gani? Hata kama una...