Leo nauliza swali fupi tu
CCM ni kichwa ngumu...au ni jiko la kupikia fitina?
Tangu mwanzo kabisa, kelele hizi za Bandari zetu na wawekezaji toka Emirate yaani DPW , tumekuwa tukikataa ubovu wa mkataba na siyo kumkataa mwekezaji, kwa nini ccm hamuelewi???
Matokeo yake sasa, CCM wamekuwa...