Kwa kweli Mungu ni mwema sana na Namshukuru kwa siku hii ya leo. Imekuwa na changamoto nyingi sana hii siku ya leo ila najua nimezishinda na usiku umeingia hapa ni kwenda kulala tu hakuna purukushani za ziada.
Kwanza kabisa wife kasafiri kaenda kwa wazazi wake, leo nimejikuta niko kwenye...