mkeo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Linguistic

    Mkeo anavyomegwa na Wafanyakazi wenzao ofisini

    Mazee Tuelewe kwamba One thing everybody is capable of cheating . Kwa Maana KAmBa What u see happening in the office and at the workplace with ur female colleagues is what happens at ur wives' workplace Mzee Baba. . Hii picha inaleta ujumbe sahihi niliousema hapo Juu, Huku maofisini Watu...
  2. Equation x

    Ulijisikiaje siku ile mkeo alipokuambia ana ujauzito wako?

    Nakumbuka siku hiyo sikukaa nyumbani, ilibidi nitoke mimi mwenyewe nikaenda mafichoni nakujitafakari, kweli mimi nitaitwa baba? Na majukumu yangu yatakuwa wapi? Nikakumbuka msemo wa wahenga, unaosema, 'mwanamke akikuzalia ina maana amekupenda' vinginevyo anaweza akatoa ujauzito wako au...
  3. Beesmom

    Siyo lazima umpige mke/mpenzi wako, mnaweza kuelewana kwa mazungumzo

    Mmeamkaje? Tulizoea wazee wa zaman wakijisifu kuwa kumpiga mwanamke ni kumnyoosha. Sasa cha ajabu kumbe bado ipo hii issue juzi kuna jirani yangu kapigwa night na mumewe yaan kipigo kweli, kiasi kwamba tukajua tukiamka atakuwa ameondoka lakini cha ajabu tunamwona anaenda sokoni huku USO wake...
  4. Mr Chromium

    Unafanyaje kama mkeo ni mbea kupitiliza?

    Hello Jf Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu. Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani Sasa kati ya majirani nilio nao kuna jiran mmoja...
  5. N

    Swali kwa wanaume: Hivi ukimwona au kusikia mkeo au girlfriend uliyempenda ana mtu mwingine na furaha unajisikiaje?

    Kanye West tangia ameachwa amechanganganyikiwa kabisa na juzi mahakama imempa ushindi kim kwa mama officially yupo single . Kanye anatishia kumuua huyo boyfriend wa Kim . Je. wewe unaweza tishia?
  6. love life live life

    Ushauri bora kwa wanaume waliooa/wanaotaka kuoa namna ya kumjua mkeo

    Mjue mkeo. Nimeombwa kutafasri.. tafasri hii sio ya moja kwa moja.. "Omba likizo ya siku 21, nenda nyumbani mwambie mkeo umefukuzwa kazi, Kutokana na upotevu wowote wa hela au sababu zinazofanana na hiyo. Na sasa unatakiwa kutumia akiba yako kidogo uliyonayo ili kujipanga upya. Jaribu kukaa...
  7. yuda75

    Je, upo tayari kupima VVU na mchumba, mchepuko au mkeo na kupokea majibu pamoja?

    Habarini wadau, Swala la kupima limekuwa swala gumu sana mana vijana wanauza mechi, au kuteleza sana pasipo sababu za msingi pia kujisahau sasa ukiambiwa upime na majibu mpewe kwa pamoja vipi wadau? Wa kimasihara na wanunua dada poa na wale wa massage wakushusha mlima vipi mnasalimika? Au...
  8. Mawematatu

    Kama unadhani mkeo au mumeo ndiye msiri wako, unajidanganya!

    Leo ni siku. Salam wanajamhuri. Nianze na ukweli huu. Ndugu zangu waaminifu ni wazazi wetu pekee. Leo hii mnaolala chumba kimoja wakati mwingine kitanda kimoja. 🥺 Usije ukaamini huyo ni muaminifu. Kamwe. Wanawake na wanaume tunapitia wakati mgumu Sana. Ndoa zetu zimejaa udanganyifu. Unaweza...
  9. Equation x

    Mkeo ni mzazi wako

    Wanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Mke wako ni Abigael wa leo? Au je, umemuandaaje binti yako kuwa kama Abigael?

    JE MKE WAKO NI ABIGAEL WA LEO? AU JE UMEMUANDAAJE BINTI YAKO KUWA KAMA ABIGAEL? Anaandika Robert Heriel, Tena hakuna kitu kizuri na kinachopendeza kama mwanamke, mwanamke ni ua katika miiba, ni dhahabu katika matope; naye apataye mke mwema ameyapata maisha yake na kuyaokoa walakini akosaye...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

    MKIGOMBANA NA MKEO, AKAENDA KWAO, USIMFUATE WALA USIMTAFUTE Anaandika Robert Heriel. Leo sina mengi ya kusema ndugu yenu. Nimefanya uchunguzi Kama mnavyonifahamu. Nikisemacho ni kweli tupu. Wala sisemi haya Kwa maslahi yangu, au ya mtu yeyote Yule. Nazungumza mambo ambayo ni kweli kabisa. Na...
  12. sky soldier

    Mkeo akitamaniwa na mwalimu wake wa chuo utafanya nini?

    Tumeoma mara kwa mara kero ya hawa walimu wa vyuoni wakiwa wanatumia silaha ya maksi kulala na wanafunzi. Wanakuwa na nguvu ya kulala na mwanafunzi hata kama mwanafunzi hampendi, wanakuwa ma nguvu ya kulala na wanafunzi bila kulipia chochote zaidi ya kutoa maksi. Sasa ikija kutokea mke wako...
  13. Dit000

    Fahamu wakati ambao mwanamke huwa na ashki kali zaidi

    Nyege kwa mwanamke huwa inakuwa juu sanaa wiki mbili baada ya kutoka mwezini yaani homoni ya ESTROGEN inakuwa iko juu sanaa hadi pale siku za hatari zitakapoishaa sasa huu ni muda wa kunyanduana mpaka basi, kwani mihemo ya mwili wa mwanamke inakuwa iko juu sanaa kupelekea kuwa na hali moja na...
  14. Liverpool VPN

    Hivi unajua ni kiasi gani bosi wa ofisi anayofanyia mkeo anavyomla mkeo?

    Wajumbe mpoo.... Is Mr. Liverpool onces again na ileile kauli mbiu yake MSIOE MSIOE MSIOE ...!!! Twende kwenye mada; 1. 2007 Nilianza kufanya Kazi za ajira 2007 baada tu ya kumaliza form four niliajiriwa kama karani ofisi fulani Dar. Wakati huo nikiwa mdogo (18Yrs) nilikutana na wakubwaa...
  15. 2019

    Kijana ukioa tu lazima wazee wa "Kitonga" wamchukie mkeo tu, chunguzeni

    Nimechunguza mengi sana ndani ya ndoa. Kabla hujaoa ulikua huru kwenda na kurudi muda wowote na tabia za kibachela. Ndugu jamaa walikua huru kukuomba na kuwasaidia bila vikwazo vingi. Ukishaoa kijana lazima ubadilike ili uendane na mwezio, yaani uache tabia ulizokuwa nazo unaze kuishi kutokana...
  16. mjusilizard

    Feeling tamu, kumkuta mkeo akikupikia huku amevaa shati lako oversize!

    Wakuu Hakuna feeling tamu kama umkute mke wako amevaa T-shirt lako oversize, no Bra, Halafu Anakuandalia Chakula Aisee, kama nawe unayo hebu zitaje tuone!
  17. The Eric

    Hivi inaingia akilini mwanaume kuheshimu madanga ya mkeo?

    Wana harakati habarini wote. Jana kijua kilitoka kidogo ikabidi nitoke niote jua nje kidogo maana nilikuwa nimetulia house siku nzima sikwenda job. Sasa nikiwa nasukuma draft na jamaa wawili watatu wa kunipita umri kama kaka hivi. Wakati tuna tia stori mmoja akawa anatujuza anapenda mke wake...
  18. The Boss

    Mkeo ana bodaboda wake?

    Ukisikia mama au dada anakwambia ngoja nitamtuma 'bodaboda wangu' basi ujue huyo Bodaboda wake ni bodaboda wake kweli kweli. Ninamjua mdada ambae anamtuma bodaboda wake kumtolea hela Kwa ATM. Kuna mmoja aliniletea bidhaa nikatakiwa nimrushie zaidi ya 300,000, nikamwambia makato upande wako...
  19. maji ya gundu

    Nimemwambia "Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ugongewe mkeo ili akili ikue"

    Haiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia Mwaka jana yakajirudia...
  20. YEHODAYA

    Kwa wanaume waliooa tupe kero au usumbufu ulioupata hadi kufanikiwa kumpata huyo mkeo

    Kwa wanaume waliooa tupe kero au usumbufu ulioupata hadi kufanikiwa kumpata huyo mkeo. Kuna wengine hadi walikaribia kufirisika wengine ushindani ulikuwa mkali nk. Tupe uzoefu wako
Back
Top Bottom