mkononi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mom sheena

    Naomba kuifahamu Dawa ya mapunye kwa mtoto

    Habari zenu jamani naombeni mnisaidie dawa ya mapunye, mtoto wangu katokewa na punye mkononi. Ana miaka 4 na miezi 7
  2. Rurakha

    Mrejesho kwa huduma mpya za uwakala kwa Benki ya NMB kupitia simu ya mkononi maarufu kama (NMB Pesa Fasta)

    Salaam Naomba kutoa maoni yangu kwa huduma mpya ya uwakala wa NMB maarufu kama NMB pesa fasta Binafsi ninafanya biashara ya uwakala nina miliki mashine ya NMB kwa ofisi moja pia nilifungua biashara nyingine ya uwakala kama sehem ya kuongeza mapato knilifanikiwa kupata pos ya CRDB na nyinginezo...
  3. Idugunde

    Picha: Mwenezi NCCR Mageuzi akiwa na jiwe mkononi huku akiwafurusha mamluki wa Sisty Nyahoza

    Huyu ndio anajua kupambania chama.
  4. JanguKamaJangu

    Aishi Manula akatwa na kioo mkononi muda mfupi kabla ya mechi dhidi ya Geita Gold

    Kipa wa Simba, Aishi Manula amepata majeraha ya kukatwa na kioo kwenye mkono akiwa katika vyumba vya kubadilishia nguo kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, muda mfupi kabla ya kuanza kwa mchezo wa timu hiyo dhidi ya Geita Gold, leo Mei 22, 2022. Tukio hilo limetokea wakati Manula akiwa ni mmoja wa...
  5. KndNo1

    Changamoto ya kununua magari ya mkononi

    Siku hizi magari yamekuwa bidhaa iliyozagaa kama Madera pale Kariakoo. Kuna gari yard.. Kuna za minada.. Kuna za mikononi.. Gari za mikononi ni pendwa kutokana na bei yake kupoa kidogo.. Ingawa udalali ni mwingi.. Maneno kama AC unaganda.. Gari ya kufugwa.. Gari ya Mhindi..Namba D hiyo...
  6. Subira the princess

    Rai yangu kwa watanzania tujichukulie sheria mkononi.

    Wasalaam Kufuatia kuwapo kwa makundi ya panya road yaliyokatakata raia kwa mapanga na kupora mali zao kisha kuwabaka wanawake, wito wangu kwa watanzania wanaovamiwa wajibu mapigo kwa silaha zozote walizonazo hata ikibidi watangaze vita na hawa vibaka. Tupambane panya road akishikwa tumtie...
  7. CONTROLA

    Ukitaka kufanya biashara, Anzia kuifanya Kichwani mwako na si usubiri ukiwa na Mtaji mkononi

    Huwa nasikitika sana ninapotoa ushauri kwa watu wenye mitaji mikononi,hasa wale wanaotoa na kuandika thread kuwa wana kiasi "flani cha pesa" Je wafanyie nini? Ukweli ni kwamba kila mtu hapo alipo ktk chochote anachofanya kumuingizia kipato anajua hela anayoitafuta anataka kuifanyia kitu...
  8. Teko Modise

    Hiki ni nini hapo mkononi?

    Alichovaa mlinzi wa Rais hapo mkononi ni nini?
  9. D

    Huduma ya Bank Mkononi: Pesa inatumika kama upepo, najuta kujiunga

    Sitakuwa na maneno Mengi! Hii ni ile huduma ya bank mkononi! Nilivyotaka kujiunga kale ka kahudumu ka benki kaliunganisha fasta fasta kwa bashasha! Kumbe wanajua inavyowalipa vizuri huduma hiyo! Nilifurahi sana kuunganisha bank mkononi ili kuepusha usumbufu wa kwenda bank/ATM. Lakini...
  10. KndNo1

    Bajeti ya gari za mkononi

    Gari za kununua mikononi kulingana na bajeti yako na kupata best bang kwa hela yako..! 2-5M Corolla/Sprinter.. Gari simple na ngumu.. GX 100..ukipata yenye 1G Matumizi ya mafuta yatakuwa juu kidogo.. Ila hautakuwa mnyonge barabarani..! Vits.. Ukipata ya 3 doors hapa ujiandae kukunja siti ili...
  11. Ubungo Mataa

    Mzigo mkononi, Pesa mfukoni

    WapambanaJi.. Nahitaji samaka wabichi aina ya Kambale (ukubwa wowote). Kiasi chochote nahitaji, kuanzia kilo 100, 200, 500 n.k kwa bei ya jumla, Nahitaji kutoka kwa wavuvi.. Bei maelewano (0783343629)
  12. Red Giant

    Nasikia si kweli kuwa simu za mkononi zinaongeza uwezekano wa kupigwa na radi

    Tz na sehemu nyingi kuna imani imeenea kuwa kutumia simu wakati wa radi kunaongeza uwezekano wa kupigwa na radi. Lakini katika kuangalia mitandaoni nimeona zinasema kuwa huu ni uzushi. Wanasema simu haina umeme wa kufanya ivutie radi. Lakini wamesema kuwa simu za mezani ni hatari wakati wa...
  13. Mmakedonia

    Pesa mkononi mwako kwa njia ya mtandao

    Mfumo ambao dunia imejiwekea wa kumtafsiri mtu na mtu au hata taifa na taifa kupitia vipato vyao (pesa) umekuwa ukiweka maswali mengi sana kichwani kwangu, moja kati ya swali ambalo mpaka leo bado sijapata majibu ni lile lililo kwa watu wengi kwamba "Hela zinatengenezwa wapi? Na ni kozi gani...
  14. Clark boots

    NMB Mkononi ina shida gani..?

    Wakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS. Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue...
  15. Z

    Watanzania tusijiaibishe. Tunamtetea anayejichukulia sheria mkononi kuua polisi?

    Japo yawezekana kuna mambo yanaweza kukidhi lakini siyo sahihi kuchukua bunduki na kuua police. Kama alidhurumiwa kwa nini hakuenda kulipoti police? Yani wanasiasa wa upinzani mnachanganya RAIA kabisa.mnamtetea anayejichulia sheria mkononi na kwenda kuua watu? You can not be serious?
  16. Its Pancho

    Challenge: show your hand watch.(saa ya mkononi)

    Kama challenge inavyosema Tafadhari tupia saa uliyovaa kwa sasa mkononi tuone. Nb hatupo hapa kudharau au kuangalia gharama na kukejeli wengine. N:B picha hii ya juu ni kwa hisani ya mtandao sina umiliki wowote.. Hata kama una goroka kama yangu usione aibu ndipo kamba yako ilipoishia. 🙏🙏
  17. S

    Serikali ianzishe Education Cost Sharing kupitia simu za mkononi kugharamia elimu ya msingi na elimu ya juu kwa Watanzania wote

    Kwanza naomba ieleweke hii sio kodi bali ni kuchangia elimu au tunaweza kuita kuchangia Mfuko wa Elimu kwa watanzania kugharamia elimu ya shule ya msingi na elimu ya juu. Napendekeza kila mtanzania mwenye kumiliki simu ya mkononi achangie shilingi 10,000 kwa mwaka mzima na fedha...
  18. Idugunde

    Wafanyakazi 3 wa Uhamiaji wasimamishwa kazi kwa kosa la kutumia nguvu dhidi ya Alex Raphael

    WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi Idara ya Uhamiaji, imewasimamisha kazi wafanyakazi watatu kutokana na tukio la Askari wa Uhamiaji kutumia nguvu dhidi ya Alex Raphael Kyai kama video fupi iliyosambaa katika mitandao ya kijamii. Akizungumza na wandishi wa habari leo Mei 30, 2021 Kamishina...
  19. kibovu

    Mwanamke agoma kufua kitambaa cha mkononi cha mmewe

    Habari ndugu zangu, Rafiki yangu kaja kuniomba ushauri ameenda kumtembelea mchumba wake jijini Dar es salaam . Jamaa angu kafika kaugua mafua makali akawa anamekea kitambaa chake cha mkononi kamasi hali ambayo mchumba wake alimtamkia hatoweza kukifua hicho kitambaa atafua mwenyewe jamaa...
  20. Miss Zomboko

    Matukio ya Wanawake kuuawa na wenza wao pamoja na vitendo vya kujichukulia sheria mkononi yanazidi kuongezeka

    Ripoti ya Haki za Binadamu inaonyesha kuwa matukio ya mauaji ya wanawake kuuliwa na wenzi wao kutokana na sababu mbalimbali kubwa ikiwa wivu wa mapenzi yaliongezeka zaidi mwaka 2020 ikililinganishwa na mwaka 2019. Kulingana na ripoti hiyo iliyotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kwa...
Back
Top Bottom