mkopo

  1. S

    Napenda kuendelea na elimu ya juu, ila mkopo bado nabahatisha. Kipi kifanyike ili usiwe wa kubahatisha?

    MAOMBI YENYE KUBAHATISHA kawaida kila mtu mwenye uhitaji ni lazima ajitutumue kuhakikisha anafanikiwa kwenye malengo yake alojiwekea kwa namna moja ama nyingne katika mazingira aliyopo na kulingana na hali alonayo. Ni mara nyingi nimesikia, nimejionea na nimejaribu nami pia katika kuhakikisha...
  2. Meneja Wa Makampuni

    Naomba kujuzwa jinsi ya kulipia elfu 30 kama ada ya kuombea mkopo bodi ya mikopo

    Wakuu, Naomba kujuzwa jinsi ya kulipia elfu 30 kama ada ya kuombea mkopo bodi ya mikopo. Kwa njia ya MPESA.
  3. Patriarch

    Kwa ufaulu huu, je anaweza kusoma degree pharmacy na kupata mkopo asilimia 100%?

    Wasaalam, Wakuu kama kichwa cha mada kinavyosema.. Kijana wa PCB, aliyepata division 2.11 with physics-C, chemistry-D, and Biology-D! anaweza kupata nafasi ya kusoma degree ya pharmacy na kupata mkopo asilimia mia.. Kama sivyo je course gani nzurii yenye channels za kujiajiri na kuajiriwa...
  4. Masiya

    Madirisha ya udahili TCU na mkopo HESLB yamefunguliwa: Je, JKT itawaruhusu vijana walio makambini kurudi kupeleka maombi?

    Kichwa cha uzi kinajieleza. Hadi leo sijaona dalili za vijana kupewa muda wa kurudi nyumbani ili wa process maombi yao kwa kushirikiana na familia zao. Miaka iliyopita nini kilifanyika?
  5. S

    HESLB wafungua maombi ya mkopo

    Bodi ya Mkopo imefungua leo usiku maombi ya Mikopo kwa wanafunzi. Fungua link hii kufanya applications. https://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/pre_applicant/ Kwa wakazi wa Tegeta, Boko , Bunju, Bagamoyo wafike internet cafe iliyopo boko chama kwa mawasiliano tuandikie email...
  6. Z

    Hivi HESLB wametoa mkopo wa elimu ya juu kwa Watumishi?

    Mkopo wa HESLB 2021 watumishi wanapewa?
  7. Lager

    Wapi naweza pata mkopo?

    Wapi naweza pata mkopo wa laki mbili na nusu itakuwa vizuri zaidi kama kuna site za online zinaweza toa mkopo maana sitarajii kukaa na mkopo huo kwa muda mrefu ni kitu fulani tu nakikamilisha ndani ya wiki then pesa husika inarudi. Msaada tafadhari.
  8. Michu99

    Msaada: Hatua za kuomba mkopo kwa Diploma

    Habari wakuu, Hivi zipi process za kuomba mkopo kwa Diploma ambao awana transcript yan maanisha ambao atújamalza semister ya mwisho. Msaada wakuu
  9. M

    Nahitaji watu wa kuandika bussinessplan na hesabu kwa ajili ya mkopo

    Kichwa cha habari kinajieleza. Nahitaji msaada huo kwa mtu mwenye uwezo wa kuandika bussiness plan pamoja na hesabu kwa ajili ya kuombea mkopo anitafute. Nitumie ujumbe kwa namba 0713664912 au Whatsup message kwa namba hiyohiyo.
  10. Mchokozi wa mambo

    Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu yatoa mwongo wa utoaji mikopo mwaka 2021/22

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB) imetoa mwongozo wa utoaji mikopo mwaka 2021/22 ambao inatakiwa kila mwombaji anatakiwa utumie tarehe 02-04/07/2021 kuusoma na kuelewa na kisha mfumo wa maombi utafunguliwa tarehe 05/07/2021. karibu hapa nimekuwekea pakua usome lakini pia ukiwa...
  11. L

    Waziri wa Elimu kwanini sheria ya bodi ya mkopo ina ubaguzi?

    1.Ilipoanzishwa VRF 6% mwaka 2013 ikatumiwa kwa wote hata wale waliokopa kabla ya 2013. 2. Ilipoanzishwa makato 15% mwaka 2016 ikatumika kwa wote hata wale waliokuwa wanakatwa kabla ya 2016. 3. Ilivyofutwa VRF 1st May 2021 na Rais Samia imeanza kutumika kuanzia mwezi huo huo May 2021. Huku...
  12. balimar

    Malalamiko ya Makato ya Deni la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Mwezi Juni, 2021

    Hello Wadau!! Tumekuwa na tatizo la upatikanaji wa Kilipia Mshahara (Salary Slip) kwa miezi kama miwili mfululizo Hatimae mwezi June Salary Slip zinapatikana kwa mtandao Nilichokiona ni kuongezeka kwa deni la Bodi ya Mikopo (HESLB) kwa zaidi ya 100% Hiki kinanifanya nijiulize Mosi, ni...
  13. I

    Msaada wa Mkopo wa dharula Tsh 150,000/=

    Solved
  14. KIBEBENYEKE

    Je, tunaweza kutumia cheti kimoja cha kifo kuombea mkopo?

    Baba mlezi amefariki ila sisi tupo wawili yaani mimi na mwanaye wa kumzaa; wote tunaomba mkopo wa elimu ya juu. Je, sote tunaweza kutumia cheti kimoja cha kifo kuombea mkopo?
  15. KIBEBENYEKE

    Nimemaliza kidato cha sita mwaka 2020 ila sijachukua cheti changu cha shule nahitaji kuomba mkopo je natakubaliwa bila kuambatanisha cheti hicho

    Nimemaliza kidato cha sita mwaka 2020 nahitaji kuomba mkopo mwaka huu je nitakubaliwa bila kuambatanisha cheti changu cha kidato cha sita maana shule niliyotoka nadaiwa ada.
  16. Remy Tem

    Je, discontinue anaweza kupata mkopo

    Jamani naomba mwenye uelewa wowote juu ya jambo hili anisaidie,Je discontinue student anaweza tena kupata mkopo kutoka heslb na ilishaawahi kutokea hivo? ahsanteni
  17. Remy Tem

    Unaweza kupata tena mkopo endapo utakuwa discontinued?

    Naomba kujuzwa kwa mwenye ufahamu. Swali langu ni kwamba kama ulipata mkopo kutoka (HESLB) na uka Disco ni kweli unaweza pata tena baada ya kulipa 25 asilimia?
  18. kidadari

    Kimya cha Bodi ya Mikopo kuhusu VRF kinaashiria nini?

    Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutangazia kuondolewa kwa tozo iliyokua inaumiza wanufaika wa mkopo hasa Wafanyakazi bado kumekua na kimya kingi kutoka bodi ya mkopo kuhusu maendeleo ya mchakato huo. Bodi walitoa taarifa kua wanarekabisha tozo hiyo kwa kuiondoa pia watahuisha...
  19. S

    Mkopo: Mshahara Tsh. 500,000/= mpaka Tsh. 700,000/= inaweza kupata maximum mkopo wa Tsh. ngapi?

    Habari wana jamvi kama kichwa kinavyosema hapo juu nina omba kujua ukiwa na mshahara wa laki 5 mpaka laki 7 ambayo ni take home, Unaweza kupata mkopo wa maximum kiasi gani? Na itabaki shilingi ngapi? Je, naweza kopa ikabaki Tsh. 100,000/= nitapata mkopo kiasi gani na nitalipa kwa muda gani? In...
  20. S

    Je, mkopeshaji anaweza kukamata mali ambayo mkopaji ameweika kama dhamana ya mkopo pasipo kupata idhini ya Mahakama?

    Habari wadau, Baadhi ya taasisi za kifedha zimekuwa na tabia ya kutishia ama kukamata mali ambazo wakopoja wameziweka kama dhamana. Swali langu ni je, iwapo mkopaji atashindwa kilipa mkopo wake kama walivyokubaliana katika mkataba wa kukopeshana, mkopeshaji anaweza kukamata mali ya mkopaji...
Back
Top Bottom