TWENDENI WATANZANIA TUKAPIGIE KURA MLIMA KILIMANJARO NA HIFADHI YETU YA SERENGETI.
Kwa mara nyingine tena Mlima wetu adhimu kabisa wa Kilimanjaro na Hifadhi yetu ya Taifa ya Serengeti imechaguliwa kuwania tuzo za Utalii duniani (World Travel Awards 2021) ambapo Mlima Kilimanjaro umechaguliwa...
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale pamoja na manung'uniko yanayoendelea kuhusu makenikia.
Husika na kichwa cha habari hapo juu tangu napata akili hadi sasa kumekuwa na maneno kuhusu mlima Kilimanjaro kuwa pale juu kileleni kuna shimo refu sana na inavyosemekana ndani ya shimo kuna maji na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.