Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi imejipanga kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ambayo yanaweza kulipuka katika kipindi hiki cha msimu wa mvua.
Hayo yamesemwa katika kikao kazi maalumu kilichofanyika katika Ukumbi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi kikiwa ni sehemu ya kuweka mikakati mahsusi ya...
BUKOBA, Kagera: Watu wanne wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya Bukoba Nshambya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera baada ya kuugua ugonjwa wa kipindupindu.
Mkuu wa Wilaya Bukoba, Erasto Sima amesema hadi kufikia January 8, 2024 tayari wamepokea wagonjwa wanne ambao wameonesha viashiria vya...
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda amezungumzia madai ya uwepo wa mlipuko wa maambukizi ya Kipindupindu katika Wilaya ya Bariadi Mkoani hapo akisema kuwa kilichotokea ni magonjwa ya tumbo na tayari Serikali inachukua hatua kisha akatoa ushauri kwa Wananchi.
Amesema hayo siku chache...
Ingawa viongozi wa Mkoa na Wilaya hawataki kutoa taarifa kwa jamii juu ya uwepo wa mlipuko wa ugonjwa wa kipindu pindu.
Ni kuwa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu imekubwa na visa wa mlipuko wa ugonjwa wa kipindu pindu.
Kata ambayo inatajwa kuathirika zaidi na ugonjwa huo ni Kata ya...
Rais Wavel Ramkalawan wa Ushelsheli ametangaza hali ya tahadhari Alhamisi, akiwaamuru raia wote isipokuwa wafanyakazi muhimu kubaki nyumbani, baada ya mlipuko katika duka moja la vilipuzi na mafuriko kutokana na mvua kubwa.
Taarifa ya Ikulu mjini Victoria, imetolewa kufuatia mlipuko mkubwa...
Kuna mafua makali yameongezeka hasa ukanda huu wa Pwani.
Nina uhakika wizara ya afya ina takwimu za kutosha. Tuambieni what is going on.
Enzi zile tungesema Corona.
Wizara ya Afya Tanzania
Kumetokea mlipuko wa ghafla sana wa wanawake kuota sharubu kwenye mashavu na ndevu jijini Dar.
Hali hii tuliizoea kwa wamama waliosogea umri, hasa 50’s na kuendela. Ila sasa inatokea kwa wadada wadogo tu.
Wizara ya afya, mmeanza kuchanganyia wadada homoni za testerone kwenye vidonge vya uzazi...
YAH: TAARIFA YA MLIPUKO WA UGONJWA WA SURUA KATIKA JIJI LA DODOMA
Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.
Mnajulishwa kuwapo na mlipuko wa Ugonjwa wa Surua katika Jiji la Dodoma. Na hili linatokana na sampuli zilizochukuliwa kuthibitika kuwa na maambukizi ya ugonjwa wa Suru ana hivyo kufanya...
Habari zenu wakuu.
Aisee hii ni hatari sana karibia kila mtu aliyenunu kiwanja maeneo yenyewe makorongo ni mwendo wa kuziba kwa takataka kuanzia Salasala, Kinzudi, Majengo, Marobo, Mivumoni, Goba na Madale imekuwa kama fashion vile.
Unakuta mtaa mzima unanuka harufu ya dampo na mainzi kama tupo...
Tañgu zama na zama ufaransa na hasa jiji la Paris ndio limekuwa linasifiwa kwa usafi na ustaarabu! Hata ukitembelea majiji mengine usafi kwa wafaransa ni jadi Yao !
Hao kunguni wametoka wapi ? Nini chanzo chake ? Kwa afrika mtu akiwa na kunguni hata mmoja kwenye shati yake ni tukio la aibu na...
Kumeibuka ugonjwa w a kuhara na kutapika na hivyo Kupelekea Wagonjwa kuwekwa kambi maalumu katika Kituo cha Afya cha Moshono.
Wagonjwa wote waliopata tatizo hilo la kuharisha na kutapika wamewekwa katika eneo maalumu na chini ya Uangalizi Maalum huku wengine wakiwa wamevalishwa phone? ampers...
Hali imekua hovyo Moscow, watu wametulia wanatazama michezo mubashara kwenye TV, ghafla wanashuhudia mlipuko pembeni.
The moment of the drone explosion in Moscow, which the authorities claimed was downed by electronic warfare, was caught on video during the broadcast of the Russian Rowing...
Polisi imesema mlipuko huo umetokana na bomu la kujitoa mhanga lililotokea Kaskazini Magharibi mwa Pakistan
Zaidi ya 100 wamejeruhiwa kati yao 17 hali zao ni vibaya, katika shambulio lililowalenga Wanachama wa chama cha Jamiat Ulema-e-Islam-Fazl (JUI-F) katika Mji wa Khar, karibu na mpaka wa...
Kama unaishi Dar, chukua tahadhari mapema maana kuna "mbu" mmoja hatari sana anayeeneza malaria kali ambayo inapelekea watu wanalazwa mpaka wodi za wagonjwa mahututi.
Hakikisha huachi kupuliza dawa ya kuua mbu kila jioni, na unalala kwenye chandarua salama kisicho na matundu yanayoingiza mbu.
Asalam ndugu wanajamii. Hapa ni kijijini, tuongee kama wanakijiji kahawani tusije Angamia.
Wakati wa hizi taarifa mbali mbali za kubanwa vifua kwa maradhi ambayo taarifa rasmi ya serikali imeyaweka katika tahadhari ya chini na yasiyo hatari kwa afya ya jamii, huku uraiani hali si njema...
Niende kwenye mada wanyamwezi ni nyoko si mwanaume si mwanamke mapenzi yao wote ya kichawi, mvuto na wito wa kutumia dawq kumuita unaemtaka.
Hivi mkoa wa tabora sikonge wanyamwezi huu upuuzi wameutoa wapi.
Kizinde changu kimewashinda kila walichojaribu wapi mwamba nimeiva.
Leteni visa...
Shirika la Afya duniani linasema kuna hatari kubwa ya magonjwa ya mlipuko kutoka Sudan na kusambaa kwingine.
Wanamgambo wa RSF wametwaa maabara ya kitaifa yenye sample mbalimbali za magonjwa hatari ya mlipuko yanayojumuisha Polio, Tetekuwanga, Kipindupindu na mengineyo zilizokuwa zimehifadhiwa...
Watu wawili wamefariki Dunia baada ya kutokea mlipuko katika godaoni la Kiwanda cha Sukari Mtibwa.
Lakini hadi sasa viongozi wa serikali na kiwanda wamegoma kuzungumzia chochote kuhusiana na tukio hilo lakini Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro imekiri kupokea maiti mbili za watu waliofariki...
Kupigana na maradhi mengine
Ikiwa katika mji magonjwa yalizidi kwa watu mkubwa wa mji hupigisha ramli kusudi apate njia ya kuzuia magonjwa hayo yasizidi, pia apate kufahamu ni mambo gani yaletayo magonjwa mjini mwake.
Mara nyingi waganga walikuwa wakiwaambia kuwa moto unaotumika mjini mwao...
Mlipuaji wa Bomu hilo lililojeruhi watu 157 amefanya tukio hilo akiwalenga askari Polisi ambao ndio wamekuwa wakisali kwa wingi katika Msikiti uliopo Peshawar katika eneo linalotumiwa na Wanasalama wa makao makuu kwa ajili ya ibada.
Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif amedai magaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.