Wazigua wenzangu kutoka Tanga wanasema "live only one day at a time"
Hivi unajua kwanini huwa tunapata sana stress au msongo wa mawazo? Kwasababu hatuishi katika siku moja kikamilifu,bali tunaishi jana,leo na kesho kwa wakati mmoja,,je amani utaitoa wapi? Furaha utaitoa wapi?
Yaani unaishi leo...