Rental house with 2 bedrooms, 2 bathrooms, paved compound, ample parking, wall fence, specious compound, located in a cool neighborhood within well developed area with good security in Block 41 behind Best Bite Namanga.
Interested to have a look? Please schedule a DAY and HOUR for a visit or...
Mechi kati ya Morocco na Mauritania, kwa wale waliobahatika kuitazama mechi leo...Kuangaza kwangu macho nikamuona fundi wa Sevilla Munir El hadad akichezea timu ya taifa ya Morocco, nikabaki na mshangao...Je, ni mchezaji wa mataifa yote mawili Morroco na Spain kwa pamoja???
God bless you guy's
Maendeleo ya ujenzi wa Barabara ya Morocco-Mwenge km 4.5 inayojengwa kwa njia 4 mpya, service road, taa za Kisasa, mifereji mikubwa ya kupitisha maji ukiwa umefikia asilimia 70.35.
Mradi huu utapunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa magari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi pamoja na...
The Atlas/Morocco wanaandika historia ya kubeba ubingwa wa michuano ya CHAN mara mbili mfululizo.
2018 🏆
2020 🏆
Rekodi kwa miamba ya Atlas.
Baada ya kuitungua Mali 2-0 kwenye mchezo wa fainali ya CHAN, timu ya taifa ya Morocco inakuwa timu ya kwanza kutwaa taji hilo mara mbili mfululizo...
Kupita kwenye barabara murua kama hizi ndio maendeleo ya watu yanapothibitika.
Nimeona kipande cha Mwenge hadi Sayansi, taa murua kabisa zinafungwa itakuwa safi sana, hongera CCM.
Chadema uchaguzi umekwisha chapeni kazi sasa kutoka Mwenge hadi Ufipa street ni dakika 3 tu.
Maendeleo hayana vyama!
The Democratic Republic of Congo has reported recording its index case of coronavirus. The patient is a Belgian national who was under quarantine in the capital Kinshasa upon entry through the airport.
Authorities say he has since been isolated. DRC is currently quarantining passengers entering...
Tangu ahadi hii itolewa,nadhani sasa ni miezi tisa inakatika huku hakuna kinachoendelea kuhusu ujenzi wenyewe na kwa wale wanaotumia barabara ya Dar-es-Salaam kwenda Dodoma, watakuwa ni mashahidi wazuri kwani lile eneo lilliotengwa kwa ajli ya ujenzi wa uwanja huo liko tu na hamna...
Sehemu ya barabara ya Mwenge - Morocco inayoendelea kujengwa imefunikwa na maturubai kuizua isilowane na maji ya mvua.
Ingekuwa ni mkandarasi mzalendo ndiye kafanya hivi ningeanza kupata mashaka juu ya ubora wa hii barabara lakini kwa sababu inajengwa na Wajapani ngoja nimtafute yule rafiki...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa barabara nne mpya kutoka Morocco hadi Mwenge ambapo kukamilika kwa njia hizo kutafanya idadi ya barabara kufikia nane jambo linalotarajiwa kupunguza na ikiwezekana kumaliza tatizo la foleni kwenye...
Nilikutana na huyu msichana mrembo na decent kwelikweli baada ya misa ya Jumatano ya Majivu kipindi hiiki cha Kwaresma pale St Peters .Nilikuwa nawasha gari ili niondoke nikamuona anashangaashangaa pale parking nikamtania kwamba yeye ni mwanakondoo mwenzangu hivyo naweza nikamdrop huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.