movie

Movie Movie is a 1978 American double bill directed by Stanley Donen. It consists of two films, Dynamite Hands, a boxing ring morality play, and Baxter's Beauties of 1933, a musical comedy, both starring the husband-and-wife team of George C. Scott and Trish Van Devere. A fake trailer for a flying-ace movie set in World War I entitled Zero Hour (also starring Scott) is shown between the double feature.
Barry Bostwick, Red Buttons, Art Carney and Eli Wallach also appear in both segments, with Harry Hamlin, Barbara Harris and Ann Reinking featured in one each. The script was written by Larry Gelbart and Sheldon Keller.

View More On Wikipedia.org
  1. Frank Wanjiru

    The best Marines Movie

    1. The Wall (II) (2017) 2. Hard Kill (2020) 3. Jarhead 3: The Siege (2016) 4. Kill, Die, Laugh (2017) 5. A Grunt's Life (2019) 6. We, the Marines (2017) 7. Dead Sea (2014) 8. Devil Dogs (2017) 9. You're the Enemy: Welcome Back! (2014) 10. Saber Rock (2017) 11. War Brides of Japan (2018) 12...
  2. KIBUGAmk

    Kiukweli Kanumba alikuwa ana mvuto wa kipekee

    Habari zenu wana JF, Tukirudi kipnd cha nyuma miaka ya 2010 soko la bongo muv lilikuwa lilikuw juu sana kuliko hata muziki lkn baada ya Kanumba kufariki soko kimeyumba mpaka sasa Japo kidogo, Ramata anajitahidi kurudisha ule umakini wa zamani kupitia tamthilia kama 'jua kali'. Lakini kiukweli...
  3. S

    My dream in Malawi, ndoto inayoweza kuwa movie bora kutoka Afrika 2024

    Wakuu niko usingizini najikuta mimi na wanajeshi wenzangu (japo mimi sio mwanajeshi) tumetumwa nchini Malawi kupeleleza mienendo ya kikundi cha uasi kinachoweza kuzusha vita katika nchi hiyo. Tukiwa katika kijiji kimoja ambacho kinakaliwa na waasi inatokea majeshi ya nchi hiyo wanashambulia...
  4. Eli Cohen

    Aisee SICARIO ni bonge moja la movie

    Lawyer wa kimexico ambae familia yake iliuliwa na boss wa kundi la madawa ya kulevya na uharifu anaamua kuungana na task force moja ya marekani huku yeye akiwasaidia intel za kuangusha drug cartels na yeye wakimsaidia kumfikia huyo boss mmoja wa cartel ambae aliteketeza familia yake. kuna part...
  5. Kaka yake shetani

    Movie ya The Beekeeper ni dongo kwa viongozi wakubwa ambao utumia wanao au watu kujitafutia pesa haramu kwa ajili madaraka yao

    movie ambayo inamuonesha jason mzee wa ngumi za kutosha ambaye ni mtandao wa siri wasio julikana ndani ya serikali nyingi duniani. tuje kwenye mada: kiufupi ukiangalia hii movie iliyotoka 2024 unaoneshwa makampuni ambayo yapo nyuma ya vigogo kama za mikopo umiza,utapeli kwenye mitandao na n.k...
  6. Cecil J

    Ipi ni soundtrack yako kali kwenye movie au series ulizowahi kuangalia?

    ....
  7. E

    Kuna Tamthilia huko leo ni siku ya Nne inaonyeshwa safari ya Dk 25 , Bongo movie mjitathimini

    Bongo movie mjitathimini , Tamthilia ya Huba leo ni siku ya nne inarusha scene ya safari toka Zanzibar to Dar . Humo ndani siku zote hizo nne hakuna cha maana kinarushwa humo ndani ya ndege zaidi ya majungu na vijembe . Mtalaumu sana watu hawafuatilii but mnaboa .
  8. The Burning Spear

    Pre GE2025 Mwenyekiti Momba anyeshewa na mvua akimtaka mhandisi kumaliza ujenzi wa shule mpya ya Naming'ongo

    Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya momba, Mathew Chikoti, akinyeshewa na mvua wakati wa ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Naming'ongo, na kuagiza mhandisi kuhakikisha ujenzi wa shule hiyo unakamilika haraka. Ziara hiyo ilikuwa chini ya kamati ya fedha, uongozi, na...
  9. Mjanja M1

    Kampuni ipi ya kuandaa Movie inakukosha?

    Kwa wapenzi wakuangalia Movies, ni Kampuni gani kati ya hizi ukiiona kwenye movie unakuwa na hamu ya kuangalia hiyo Movie. Mimi ni WB (Warner Bros) Boqin Naomba ubadilishe Thread Title isomeke "Kampuni ipi ya usambazaji Movie inakukosha?
  10. Kyambamasimbi

    Tujikumbushe Movie Kali Pendwa miaka hiyo ya 1980s-1990s na vibanda umiza kiingilio sh.10.

    Tujikumbushe Movie Pendwa na mabanda umiza ya video wakati huo miaka ya 80-90 wa screen chogo na VHS. Nakumbuka wakati nikiwa Mbeya Kuna sehemu ilikuwa inatwa kwa Mponzi watu walikuwa wanavaa hata hewa hamna sehemu nyingine panaitwa K.K.K kwa Mzee mmoja alikuwa anaitwa Mwakilembe ya Yasini huko...
  11. TUKANA UONE

    Kwa Mlioangalia Movie ya "OPPENHEIMER" naombeni mniambie kuna jipya gani huko? Naona kwenye tuzo za kimataifa inajinyakulia mituzo yakutosha!

    Salamu nimemwachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa!, Kwangu mambo yote ni Shega! Ndugu zangu naomba walio angalia movie ya OPPENHEIMER waniambie ni movie inayohusu kitu gani maana mimi huwa ni mgumu wa kuangalia movie hasa za huyo jamaa maana naonaga kama hakuna anachoweza...
  12. Mhaya

    Movie nyingi za Hollywood ni za kinabii

    Naomba nikwambie kitu kimoja. Wanasayansi hawapendi sana muvi kwa kuwa zinatoa siri zao nyingi sana. Yaani ni bora hata vitabu kuliko muvi, hawazipendi mno. Wakati watu wanatengeneza muvi. Sisi Waafrika tunasema; "Hizo muvi tu uongooooo." Bro! Unaambiwa siri za dunia hii halafu unasema ni...
  13. Lycaon pictus

    Monty Python-Life of Brian: Hakuna movie inachekesha kama hii

    Hawa wajinga wa Monty Python sijui walikuwa wanawaza nini. Watu wengi wamejikuta wamepata matatizo ya kiafya kwa kucheka sana baada ya kuangalia movie hii. https://youtu.be/yzgS61zgPEg?si=psfOA9T7CJVIPulO
  14. Vincenzo Jr

    Movie 🍿 ya After life

    Kama hujaicheki itafute kisa chake kina husu mdada mmoja hivi ambae alikuwa akizinguana na mumewe na kupelekea kupata msongo wa mawazo sana na pia bi dada alikuwa ni mwalimu wa chekechea sasa siku moja anakutana na mumewe kwenye mgahawa ili waombane radhi mkewe akakataa sasa siku anarudi...
  15. Faana

    Mkalimani wa Movie kwa Kiswahili kwenye Mabasi

    Hivi hakuna mamlaka inayosimamia na kuchuja kiasi cha uongo kilichomo kwenye movie ya kiingereza zinazotafsiriwa kwa Kiswahili humo kwenye mabasi nimemsikia akisema? My pleasure = hamna shida Let us go = nenda nyumbani How! = Wapi sasa
  16. Vincenzo Jr

    Unaijua movie ya "Some Like It Rare"?

    Inahusu mtu na mumewe walikuwa wanafanya biashara ya kuuza nyama za ng'ombe sasa walikuwa kama na mikosi hivii unajua kwa nini nyama zilikuwa azitoki yaani aziuziki zikibaki wakimpa mbwa wao alikuwa ali na azipendi pia sasa siku moja katika pitapita walikuwa wakitembea na gari yao walimgonga...
  17. Vincenzo Jr

    Unaijua movie ya limitless wewe?

    Kama hauja itazama itafute unakosa mambo mengi sana ina muhusu bwana mdogo edi mora ambaye alikuwa maskini choka mbaya sana hadi kukimbiwa na mkewe baadae anakuja kukutana na shemeji yake ana mpa dili kumbe ni dili hatari la vidonge vya dawa za kulevya ambavyo ukila unapata akili sana uki vikosa...
  18. MamaSamia2025

    Wasafi Festival ni maonyesho ya muziki au Bongo movie?

    Wakuu ninashangazwa na kinachoendelea kwenye kinachoitwa Wasafi festival. Ikumbukwe hili ni onyesho la muziki linaloendelea mikoa mbalimbali. Kuna jambo limejitokeza ambalo mimi limenishangaza ingawa wengi wanasema ni ubunifu. Kama Wasafi Festival ni tamasha la muziki inakuwaje wasanii...
  19. MK254

    Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

    Mkiambiwa makomando wa Israel ni moto wa kuotea mbali, yaani hapa kama movie, jamaa wameicheza kiaina aki ya nani nimefurahi hadi naumwa, hii itaandikwa kwenye vitabu na movie zitakua shot nyingi, makamu wa magaidi pia amekamatwa hai Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas. The Flotilla 13...
Back
Top Bottom