movie

Movie Movie is a 1978 American double bill directed by Stanley Donen. It consists of two films, Dynamite Hands, a boxing ring morality play, and Baxter's Beauties of 1933, a musical comedy, both starring the husband-and-wife team of George C. Scott and Trish Van Devere. A fake trailer for a flying-ace movie set in World War I entitled Zero Hour (also starring Scott) is shown between the double feature.
Barry Bostwick, Red Buttons, Art Carney and Eli Wallach also appear in both segments, with Harry Hamlin, Barbara Harris and Ann Reinking featured in one each. The script was written by Larry Gelbart and Sheldon Keller.

View More On Wikipedia.org
  1. Greatest Of All Time

    Movie gani imekubamba mwaka huu 2023 so far

    So far tunaelekea june kuugawa mwaka, mpaka sasa movie gani ya mwaka huu 2023 imekubamba? Mimi mpaka sasa kuna hii The covenant
  2. Artifact Collector

    Bongo movie hazifundishi ujasiri bali msisitizo upo kwenye mahusiano

    Kama ulishawah angalia bongo movie hata kwa uchache wake utagundua bongo movie hazifundishi ujasiri kabisa visa vyao karibia vyote ni vya mapenzi hii imepelekea kuwa na kizazi ambacho sio majasiri Tanzania hatuna majasiri kabisa hii ni kwa sababu mtoto anakua katika mazingira ambayo...
  3. M

    Tucheze mchezo wa picha kwa kutumia movie ulizowahi kuona

    Hapo juu ni picha ila kuna vifaa au vitu flani ulishakiona katika movie, taja movie zote 25 au baadhi, mfano: hapo kuna SAW na Enter the dragon.... Tiririka👇
  4. SirAlfred006

    Movie kali zaidi za kijeshi

    Kali mno
  5. BRN

    Movie zenye Maudhui ya Kula/Kuliwa Tunda Kimasihara

    Kama kichwa cha Uzi hapo juu na wale waliowahi kupitia Uzi wa kula Tunda Kimasihara wa rikiboy watakuwa wanaelewa ninachomaanisha. Hizi ni movie ambazo Maudhui yake yamehusisha washiriki wake kufanya ngono au kuwa wapenzi bila kutarajia kwa sababu mbali mbali,nitazitaja hapa na maelezo kidogo...
  6. Dcxkobe

    Chanel za movie

    Naomba msaada hv kwenye king,amuzi Cha Azam chenel za movie za kihindi zile zuri za. Mastar marufu Yan kiufupi movie za bollywood ninamba ngap au jina la chanel
  7. Wakili wa shetani

    Umewahi angalia movie na kutamani "Adui" ashinde?

    Habari ya kila movie watu wema kushinda inakera sana wakati mwingine. Maisha hayako hivyo kabisa. Na sometimes unakuta adui anapambania dili lake lifanikishe mara anatokea "mtu mwema" na kumuharibia. Inakata sana stimu. Kwanza kwenye maisha halisi watu wabaya wanashinda kuliko wema. Hii movie...
  8. Logikos

    The Killer (1989) - Moja ya kazi Nzuri Sana ya John Woo

    Kama haujaiona hii Movie nashauri iangalie ni movie moja Nzuri sana (Good Story; Good Actions; and a Bit Emotional) kwa kuogopa kutoa Spoilers ngoja nikupe Theme Song yake kama Dondoo....; Anyway katika Ma-directors maridadi John Woo na yeye ni Mtaalamu (From Mission Impossible mpaka A Better...
  9. Dasizo

    Kitu gani kilikufanya uache kuangalia Movi za kibongoi!? Na una lipi la kuwashauri?

    Kitu gani kilikufanya uache kuangalia Movi za kibongo? Na una lipi la kuwashauri?
  10. Dcxkobe

    Movie Bora za Kihindi kwa muda wote

    Hii n list ya movie za kihindi kwa mtazamo wangu naona ndio Bora kwa muda wote Bollywood hasa kwenye love story kama hutaielewa list yangu unaweza taja na zako zilizo kubamba kwangu movie Bora n 1. Dilwale dulhia lejeynge srk 2. Darr srk na sanny deol 3. Fida ya Shahid Kapoor 4. Pyaa...
  11. Zombie S2KIZZY

    Nigerian movie

    Binafsi kuanzia Sasa n shabik nambar uno wa muvi na series za kinaija Hawa jamaa wanajua na wanakuja kwa Kasi ya ajabu Kimzki wametushinda hata muvi pia wametushinda Ukitaka kuamin maneno yangu tafuta hizi baadh tu Gangs of Lagos Hey you Far from home Shanty town NB. Ukicomment ushuzi...
  12. kibenten

    Movie nzuri ya kuangalia mkiwa wawili wa jinsia tofauti

    Habari za muda huu wapendwa. Nimekuja kwenu naomba mnijuze kuhusu muvie iwe single au series ambayo ni nzuri kuangalia mkiwa na mpenzi wako tu. Yaani ambayo iko romantically [emoji39]. Mimi kuna series moja ambayo nadhani wengi wenu mnaifahamu inaitwa blood and sands (SPARTACUS). Hiyo kila...
  13. Dcxkobe

    Wazee wa Bollywood movie

    Wangap mnaikubuka hii movie dilwale dulhia lejeynge binafsi sijaona mpaka leo movie Bora ya love story kama iyo hasa ma song yake alafu kulikua na ka Alam. Fulan hv sharukhan alikua anapenda kupiga kwa kale ka gita kake kanatoa sauti Kama ya kengele fulan hv ebhana full burudani na zile...
  14. Rawahy

    Movie za bongo background music unakera

    Mimi ni mpenzi sana wa bongo movies ingawaje mimi sio mtanzania wala siishi Tanzania. Kuna moja linanikera sana katika movie hizo; ni background music. Inakuwa hata vigumu kusikia wanachosema waigizaji.
  15. Christopher Wallace

    Hii ni movie gani?

    Kwa wahenga tu, unakumbuka jina la hii movie...
  16. M

    Picha: Msanii wa bongo movie akiwa ametokelezea na mwenzake. Ila sasa🙄

  17. LA7

    Weka picha yoyote ya movie wakutajie majina

    Mimi naanza na hizi hapa nitajieni majina.
  18. LA7

    Kama ni kweli filamu zinalipa, kwanini Diamond asitengeneze movie?

    Yaani kiujumla Hutu jamaa sidhani kama hawezi kuigiza, Namshauri atengeneze movie Kali ambayo itakuwa kwenye viwango vya kimataifa. Naamini kila MTU kwa hapa bongo ataitazama ukiachana na kimataifa, japo Mimi sio mtaalam wa hii biashara ila itakuwa poaa akifanya hivyo kama wafanyavyo wasanii...
  19. amadala

    I took my boda for a movie

    Hello 👋 Ni upendo tu🥰 Muwakumbuke bodaboda wenu mnaowatumaga vitu vya nyumbani na safari za hapa na pale. Mwaka wa bodaboda huu wadada wameamua kuwabariki😎
  20. Superfly

    Hii ni Movie gani?

Back
Top Bottom