Ndg wanaboard, naombeni ushauri wenu maana ninawazo la biashara.
Nipo Geita, mtaji nilio nao ni 25M, nimepata machine ya kukoboa 25t/h, ya Kisasa.
Ambayo wanauza 8700usd. Inakuwa na:
1. Elevators zake 2
2. Destoner
3. Cleaner.
Pia inaoption ya kupata brown rice.
Shida yangu ni ushauri, je...