mrembo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mufti kuku The Infinity

    Kuna Mrembo kutoka Afrika Magharibi anataka kunitapeli huko mjini Gmail. Ngoja tuone

    Thread was deleted
  2. Hance Mtanashati

    Calisah "amvua nguo" mrembo, amchana kweupe

    Baada ya mrembo Shakila kutoka Kenya kusema kwamba kuanzia sasa na kuendelea eti atakuwa anatoza dollar 50 ambazo ni zaidi ya laki moja ya kitanzania ili akujibu tu meseji yako uliyo M DM. Sasa bhana Calisah akaja chaaap kumuumbua 🤣🤣🤣kumbe bwana huyo demu anajifanya staa kumbe naye wale wale...
  3. JanguKamaJangu

    Wahu (mke wa Nameless) ametimiza umri wa miaka 43 leo Machi, unakumbuka nini kuhusu huyu mrembo?

    Wahu, yule mke wa Nameless ametimiza umri wa miaka 43 leo Machi,2023 unakumbuka nini kuhusu huyu mrembo?
  4. Mtu Asiyejulikana

    Usione anatembea amependeza mrembo hivi. Usijaribu kabisa utajuta

    Eti umemwona mwanamke mrembo anapendeza ukavutiwa naye umtongoze? Basi jua unalolitafuta utalipata. Soon ukishakuwa naye tu utagundua ana matatizo ya kodi, mtoto au watoto, mzazi wake mgonjwa, anadaiwa. Anahitaji ada mzazi wake ameshindwa ,hana pesa ya matumizi na matatizo mengine kede wa...
  5. Pang Fung Mi

    Utundu na ubunifu wangu ndani ya 6X6 unavyowadatisha mashangazi warembo

    Wasalaam JF Jamani mapenzi ni utundu na ubunifu, hivi vitu ni sumaku ya mahaba, na hutiririsha chemichemi ya kugandwa kimahaba. Utundu na ubunifu wangu wa kutumia vidole vyangu vyote vya mikono na miguu ndani 6by5, 6by6, nimevuna dodo la kale au ukipenda mshangazi mrembo. Si kwingine ni hapa...
  6. Poker

    Mrembo Kim Nana kuja na strippers club!

    Mrembo matata nchini ambaye ni tajiri na ana connection na mamilionea wengi wa uingereza na marekani, sasa amepanga kuwekeza kwenye strippers club ili watu wapate burudani. Awali inasemekana kwamba club hiyo itamgharimu takribani bilioni zaidi ya 5 za kitanzia ili kukamilika na iwe na mwonekano...
  7. Stroke

    Baada ya muda mrefu sana hatimaye nimekutana na Binti Mrembo Mweusi Pee!

    Wakuu leo bwana nikasema niushangae huu mji ambao hauna hela na maisha yakiwa makali mno. Katika pita pita zangu nikakutana na binti mweusi pee yaani toto kiuno kama nyigu nywele kaziachia mgongoni hipsi kama mabinduki ya m23 jicho jeupeee tiii aisee. Damu yangu ikawa ya moto mno ukizingatia...
  8. Pang Fung Mi

    Mrembo wa chuo leo kakubali kwa matunzo ya laki moja kwa mwezi

    Hivi hii nchi ni hali ya uchumi ni tete au pesa yetu imepanda thamani, nilimtongoza binti mmoja ana 28 yrs yupo Chuo cha Mipango Dodoma, kimasihara tu nikamuomba namba maeneo ya NBC Benki nilikuwa natokea chako ni chako, nikamwambia wewe mrembo, njoo pls nikampaisha mbona mrembo sana ila sijui...
  9. Memtata

    Kisa cha mrembo Joyce

    Siku moja katika pitapita zangu nikakutana na rafiki zangu walevi wakakomaa twende kijiwe kimoja cha pombe. Kilikuwa ni kigrocery kidogo lakini kimechangamka hivi, japokuwa pombe nishaacha lakini nilivutiwa sana na hili eneo. Sio kwa uchangamfu bali ni baada ya kumuona muhudumu aliyekuja...
  10. Mpigamimba

    Upo kwenye daladala anaingia mrembo, unatarajia atakaa vizuri kwenye siti yenu nyie wawili tu, lakini akakupa mgongo

    Nilitafakari sana kichwa cha habari hii. Nipo kwenye basi kama nivyosema hapo, nimekaa zangu siti za double nikiwa dirishani, akaingia mrembo pisi kali ya hatari. Cha ajabu ikanikalia na miracle paaa! Upandeupande. Mishavu ikiwa juu ya mguu wangu paja, nikajisogeza ili asinikalie na baadhi...
  11. Pang Fung Mi

    Natafuta mchumba (mwanamke)

    Habari habari naingia na kiu na haja ya moyo. Nahitaji mwanamke binti asiye na mambo mengi asiye na mtoto (asiye legend wa labor), nyonyo ngumungumu sio nyonyo lala, si kwa ubaya awe mfanyakazi, mwanafunzi wa chuo, kamaliza form six, cheti, diploma, mhitimu. Japo ni kwa mapenzi ya kweli na...
  12. Lady Whistledown

    Zanzibar: Ashikiliwa kwa kujirekodi akiwatolea Lugha ya Maudhi Wazanzibari

    Jeshi la Polisi mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia Elizabeth Ngiba (32), kwa kosa la kujirekodi video kupitia Mtandao wa Tiktok na kutoa Lugha ya Maudhi dhidi ya Wazanzibar akiwaambia kwamba licha ya kujua kujistiri lakini Tabia zao ambazo hakuzitaja hazitofautiani na wengine na kuwataka...
  13. MSAGA SUMU

    Nyamongo kulikuwa na mwamba anaitwa Kenonke, historia yake inamfanya Jombi aonekane Mtoto mzuri

    Kwa miaka mitatu mfululizo niliamua kufanya utafiti wa kina maeneo ya Arusha, Mbeya na Mara, utafiti huu ulikuwa hasa ukiangalia kwa ukaribu maisha ya Nyokaa, Kenonke na Jombi. Nilikaa maeneo hayo yote kwa miezi 6, kuzungumza na watu waliokaa na hii miamba, wahanga wa matukio ya hawa jamaa nk...
  14. The unpaid Seller

    Wanawake hebu kuweni makini na ikulu zenu kama kukiwa na harufu inakata mzuka wote

    Peace be with you all, Week hii niko Dodoma kwa masuala fulani. Jana jioni baada ya mizunguko wakati narudi hotel (Morena hotel) kabla sijafika round about kutokea Mipango nikamuona kimwa asee kimwana haswaa. Demu ni mkali hatari sikua na mzuka na wanawake kutokana na deal fulani kwenda ovyo...
  15. mangyi

    Nawaza kupita na huyu mrembo

    Wakuu naamini mu wazima na mnaendelea vizuri na TOZO. Mimi nimekutana sana na visa vya kupendwa na wake za watu kimasihara sihara mpaka nahisi ni pepo. Wadada single nawapata kwa nadra sana. Ila kati ya hao wote kuna huyu mmoja ambae alitokea kuzama zaidi. Huyu binti ni mrembo haswa picha...
  16. Muaza saadala

    SoC02 Mbingu kumi na nne

    MBINGU KUMI NA NNE Tanzania ni binti mrembo wa Kiafrika ambaye kwa bahati mbaya alifiwa na wazazi wake pamoja na mdogo wake wa kiume akiwa na umri wa miaka kumi na mitano tu.Ilichukua masaa kadhaa tu kumfanya binti huyu mrembo kuuitikia upweke uliobisha hodi ndani ya nafsi yake na kumfanya...
  17. Pascal Mayalla

    Mwana JF, Binti Mdada Mzuri Mrembo, Juliana Shonza, leo ametokelezea sana na amechangia vizuri!. Mshuhudie kupitia Bunge Live!

    Wanabodi Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali. Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo...
  18. sinza pazuri

    Aaliyah ndio mwanamke mzuri na mrembo kuliko watangazaji wote wa kike East Africa

    Ana sura nzuri. Ni mrembo. Anapendeza kila nguo. Ana swaggs. Ana mvuto. Hakuna mtangazaji yoyote wa kike anaemfikia East Africa.
  19. Poker

    Mrembo na tajiri huddah Monroe ajinasibu yeye haachwi bali anaacha yeye!

    Huddah Monroe mrembo matata sana mwenye pesa kuliko star yoyote wa Tanzania amejinasibu kuwa hajawai kuachwa na mwanaume, na huwa yeye ndio anawaacha wanaume akishawachoka. Pia alipoulizwa nini hasa anapenda kwa anapokuwa kwenye 6*6 alikiri anapenda kunyonywa mbususu yake; na kama mwanaume ni...
  20. chimamii

    Nipokeeni binti mrembo

    Habari zenu mabwana na mabibi, nimekuja jukwaani kushirikiana nanyi. Nikaribisheni basi kwa bashashaa!
Back
Top Bottom